< 1 Nyakati 3 >
1 Sasa hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa kwake huko Hebroni: mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni, kwa Ahinoamu kutoka Yezreeli; wa pili alikuwa Danieli, kwa Abigaili kutoka Karmeli;
Davids Sønner, som fødtes ham i Hebron, var følgende: Ammon, den førstefødte, som han havde med Ahinoam fra Jizre'el, den anden Daniel, med Abigajil fra Karmel,
2 watatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa ni Maaka, binti wa Talmai mfalme wa Geshuri. Wanne alikuwa ni Adoniya mwana wa Hagithi;
den tredje Absalom, en Søn af Ma'aka, Kong Talmaj af Gesjurs Datter, den fjerde Adonija, Haggits Søn,
3 watano alikuwa ni Shefatia kwa Abitali, wasita alikuwa ni Ithraeamu kwa Egla mkewe.
den femte Sjefafja, som han havde med Abital, den sjette Jitream, som han havde med sin Hustru Egla.
4 Hawa sita walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni, alipo tawala miaka saba na miezi sita. Kisha akatawala miaka thelathini na mitatu huko Yerusalemu.
Seks fødtes ham i Hebron, hvor han herskede syv År og seks Måneder. Tre og tredive År herskede han i Jerusalem.
5 Hawa wana wa nne, kwa Bathshua binti wa Amieli, walizaliwa kwake huko Yerusalemu: Shamua, Nathani, na Sulemani.
Følgende fødtes ham i Jerusalem: Sjim'a, Sjobab, Natan og Salomo, hvilke fire han havde med Ammiels Datter Batsjua;
6 Wana tisa wengine wa Daudi walikuwa ni: Ibhari, Elishua, Elipeleti,
fremdeles Jibhar, Elisjama, Elifelet,
8 Elishama, na Elifeleti.
Elisjama. Be'eljada og Elifelet, i alt ni.
9 Hawa walikuwa wana wa Daudi, pasipo kuwehesababu wana wa masuria wake. Tamari alikuwa dada yao.
Det var alle Davids Sønner foruden Medhustruernes Sønner; og Tamar var deres Søster.
10 Mwana wa Sulemani alikuwa ni Rehoboamu. Mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya. Mwana wa Abiya alikuwa Asa. Mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati.
Salomos Søn Rehabeam, hans Søn Abija, hans Søn Asa, hans Søn Josafat,
11 Mwana wa Yehoshafati alikuwa Yoramu. Mwana wa Yoramu alikuwa Ahazia. Mwana wa Ahazia alikuwa Yoashi.
hans Søn Joram, hans Søn Ahazja, hans Søn Joas,
12 Mwana wa Yoashi alikuwa Amazia. Mwana wa Amazia alikuwa Azaria. Mwana wa Azaria alikuwa Yothamu.
hans Søn Amazja, hans Søn Azarja, hans Søn Jotam,
13 Mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi. Mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia. Mwana wa Hezekia alikuwa Manase.
hans Søn Akaz, hans Søn Ezekias, hans Søn Manasse,
14 Mwana wa Manase alikuwa Amoni. Mwana wa Amoni alikuwa Yosia.
hans Søn Amon, hans Søn Josias.
15 Wana wa Yosia aliyekuwa mzaliwa wake wa kwanza ni Yohana, wapili Yehoyakimu, mwanae watatu Sedekia, na mwanae wanne Shalumu.
Josias's Sønner: Johanan, den førstefødte, den anden Jojakim, den tredje Zedekias, den fjerde Sjallum.
16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yehoyakini na Sedekia.
Jojakims Sønner: Hans Søn Jekonja, hans Søn Zedekias.
17 Wana wa YehoYakini, mateka, walikuwa Shealtieli,
Den fængslede Jekonjas Sønner: Hans Søn Sjealtiel,
18 Malkiramu, Pedaya, Shenezari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia.
Malkiram, Pedaja, Sjen'azzar, Jekamja, Hosjama og Nedabja.
19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli na Shimei. Wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania; Shelomithi alikuwa dada yao.
Pedajas Sønner: Zerubbabel og Sjim'i. Zerubbabels Sønner: Mesjullam og Hananja og deres Søster Sjelomit.
20 Wanae watano walikuwa Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushabu Hesedi.
Mesjullams Sønner: Hasjuba, Ohel, Berekja, Hasadja og Jusjab Hesed, fem.
21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya. Mwanawe alikuwa Refaya, na uzao wake zaidi walikuwa ni Arnani, Obadia, na Shekania.
Hananjas Sønner: Pelatja, Jesja'ja, Refaja, Arnan, Obadja og Sjekanja.
22 Mwana wa Shekania alikuwa Shemaya. Wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati.
Sje'kanjas Sønner: Sjemaja, Hattusj, Jig'al, Baria, Nearja og Sjafat, seks.
23 Wana watatu wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizekia, na Azrikamu.
Nearjas Sønner: Eljoenaj, Hizkija og Azrikam, tre.
24 Wana saba wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohana, Delaya, na Anani.
Eljoenajs Sønner: Hodavja, Eljasjib, Pelaja, Akkub, Johanan, Delaja og Anani, syv.