< 1 Nyakati 27 >
1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
А Ізра́їлеві сини, за їхнім число́м, го́лови ба́тьківських родів і тисячники, і сотники та їхні уря́дники служили царе́ві щодо всякої справи відділів, що прихо́див та відхо́див місяць у місяць для всіх місяців року; один ві́дділ мав двадцять і чотири тисячі.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Над першим відділом, на перший місяць — Яшов'ам, син Завдіїлів, а на відділ його — двадцять і чотири тисячі.
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
Він був з Перецових синів, голова всіх військо́вих зверхників на перший місяць.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
А над відділом другого місяця — Ахохівець Додай, а володар його відділу — Міклот; а на його відділ ішло двадцять і чотири тисячі.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Третій зверхник війська на третій місяць — священик Беная, голова, а на його відділ — двадцять і чотири тисячі.
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
Цей Беная — ли́цар із тридцяти й над тридцятьма́; а над його ві́дділом був син його Аммізавад.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Четвертий на місяць четвертий — Асаїл, брат Йоавів, а по ньо́му син його Зевадія; а на його ві́дділ — двадцять і чотири тисячі.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
П'ятий на місяць п'ятий — зверхник ізрах'янин Шамут, а на його відділ — двадцять і чотири тисячі.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Шо́стий на місяць шостий — Іра, син текоянина Іккеша, а на його відділ — двадцять і чотири тисячі.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Сьо́мий на місяць сьомий — пелонянин Хелец з Єфремових синів, а на його відділ — двадцять і чотири тисячі.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Во́сьмий на місяць восьмий — хушанин Сіббехай з Зерахівців, а на його відділ — двадцять і чотири тисячі.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Дев'ятий на місяць дев'ятий — анатонянин Авіезер з Веніяминівців, а на його відділ — двадцять і чотири тисячі.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Десятий на місяць десятий — нетоф'янин Магарай з Зерахівців, а на його відділ — двадцять і чотири тисячі.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Одина́дцятий на одина́дцятий місяць — пір'атонянин Беная з Єфремових синів, а на його ві́дділ — двадцять і чотири тисячі.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Дванадцятий на дванадцятий місяць — нетоф'янин Хелдай з Отніїла, а на його відділ — двадцять і чотири тисячі.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
А над Ізраїлевими племе́нами були: для Руви́мівців — володар Еліезер, син Зіхрі; для Симеонівців — Шефатія, син Маахи.
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
Для Левія — Хашавія, син Кемуїла, для Ааро́на — Садо́к.
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
Для Юди — Елігу, з Давидових братів, для Іссаха́ра — Омрі, син Михаїлів.
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
Для Завуло́на — Їшмая, син Овадії, для Нефталима — Єрімот син Азріїлів.
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
Для Єфремових синів — Осі́я, син Азазії, для половини Манасіїного племени — Йоїл, син Педаї.
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
Для половини Манасії в Ґілеаді — Їддо, син Захарія, для Веніямина — Яасіїл, син Авнерів.
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
Для Дана — Азаріїл, син Єрохамів. Оце зве́рхникн Ізраїлевих племен.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
А Давид не перелічи́в їхнього числа від віку двадцяти літ і нижче, бо Господь сказав був, що розмно́жить Ізраїля, як зорі небесні.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Йоа́в, син Церуїн, зачав був лічи́ти, та не скінчив. І був за те гнів на Ізраїля, і не ввійшло те число в число хроніки царя Давида.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
А над ска́рбами царськи́ми — Азмавет, Адіїлів син, а над ска́рбами на полі, у міста́х, і в се́лах та в ба́штах — Єгонатан, син Уззійї.
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
А над тими, що робили польову́ роботу, для праці, на землі — Езрі, син Келувів.
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
А над виноградниками — рам'янин Шім'ї, а над тим, що в виноградниках для запа́сів вина — шефам'янин Завді.
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
А над оливками та над сикомо́рами, що в Шефелі, — ґедерянии Баал-Ханан; а над ска́рбами оливи — Йоаш.
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
А над великою худобою, що пасеться в Шароні, — шаронянин Шітрай, а над великою худобою в доли́нах — Шафат, син Адлаїв.
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
А над верблю́дами — їзмаїльтянин Овіл, а над осли́цями — меронотянин Єхдея.
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
А над дрібно́ю худобою — гаґрянин Язіз. Усі оці — зверхники мастку, що мав цар Давид.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
А Йонатан, Давидів дядько, був радник, він чоловік розумний та писар. А Єхіїл, син Нахмоніїв, був із царськи́ми сина́ми.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
А Ахітофель — радник цареві, а арк'янин Хушай — при́ятель царів.
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
А по Ахітофелю — Єгояда, син Бенаї, та Евіятар, а зве́рхник царсько́го ві́йська — Йоав.