< 1 Nyakati 27 >

1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Сынове же Израилевы но числу своему, началницы отечеств, тысящницы и сотницы и книгочии служащии царю, и на всякое слово царево по разделением, и на всякое слово входящаго и исходящаго, месяц от месяца, во вся месяцы лета разделение едино, двадесять четыре тысящы.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
И над первым разделением в первый месяц бысть Извоаз сын Завдиилов, в разделении его двадесять четыре тысящы:
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
от сынов Фаресовых, началник всем князем воинства месяца перваго.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
И над разделением месяца втораго Додай Екхотский и над разделением его, и Макеллоф вождь, и в разделении его двадесять четыре тысящи, князи силы.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Третий месяца третияго Ванеа сын Иодаев, иже священник началный, и в разделении его двадесять четыре тысящы:
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
сей Ванеа крепчайший между тридесятми, и над тридесятми: и над разделением его Завад сын его.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Четвертый месяца четвертаго Асаил брат Иоавль, и Завадиа сын его и братия, и в полце его двадесять четыре тысящы.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Пятый пятаго месяца началник Самаоф сын Иезраев, и в полце его двадесять и четыре тысящы.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Шестый месяца шестаго Одуиа сын Еккисов Фекуитянин, и в полце его двадесять и четыре тысящы.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Седмый месяца седмаго Хеллис иже от Фалуса, от сынов Ефремлих, и в полце его двадесять и четыре тысящы.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Осмый месяца осмаго Совохай Усафитянин, от колена Зараина, и в полце его двадесять и четыре тысящы.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Девятый месяца девятаго Авиезер, иже от Анафофа, от земли Вениамини, и в полце его двадесять и четыре тысящы.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Десятый месяца десятаго Меирай, иже от Нетофафита, от колена Зараина, и в полце его двадесять и четыре тысящы.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Первыйнадесять месяца первагонадесять Ванаиа, иже от Фарафона, от сынов Ефремлих и в полце его двадесять и четыре тысящы.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Вторыйнадесять месяца вторагонадесять Холдиа, иже от Нетофафита, от колена Гофониилева, и в полце его двадесять и четыре тысящы.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
И над племены Израилевыми, Рувиму вождь Елиезер, сын Зехриев: Симеону Сафатиа, сын Мааха:
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
Левию Асавиа, сын Камуилев: Аарону Садок:
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
Иуде Елиав от братий Давидовых: Иссахару Амри, сын Михаилов:
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
Завулону Самаиа, сын Авдиев: Неффалиму Иеримоф, сын Озииль:
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
Ефрему Осий, сын Озазиев: полуплемени Манассиину Иоиль, сын Фадеев:
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
полуплемени Манассиину сущему в земли Галаадстей Иаддай сын Завадиин: сыном Вениаминим Иасиил, сын Авениров:
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
Дану Азариил, сын Иорамов. Сии быша началницы племеном Израилевым.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
Не хоте же Давид счести их от двадесятилетнаго и нижае: зане рече Господь умножити Израиля, яко звезды небесныя.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Иоав же сын Саруиев нача сочитати люди, и не соверши: сего ради бысть гнев Божий на Израиля: и не внесеся сочисление в книгу словес царя Давида.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
Над сокровищи же царскими бысть Асмоф сын Одиилев: и над сокровищи, иже на нивах и в селех, и в весех и в столпех, Ионафан сын Озиев:
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
и над земледелатели землю делающими Ездрай сын Хелувов:
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
и над селы Семей Армафейский: и над сокровищами виноградными Замвдиа сын Сефамиев:
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
над маслинами же и над черничием, иже бяху на полях, Валанан Гедоритянин: над сокровищи елеа Иоас:
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
над скоты же, иже пасяхуся в Сароне, Сатрай Саронитянин: и над волы, иже во юдолех, Софат сын Адаин:
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
над велблюды же Увиа Исмаилтянин: над ослы же Иадиа, иже от Марафона:
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
и над овцами Иоас Агаритин. Вси тии началницы имений Давида царя.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
Ионафан же дядя Давидов (бысть) советник, муж мудр и книжен сый: и Иеиль сын Ахаманиев бе с сынами царевыми.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
Ахитофел советник царев, и Хусиа первейший друг царев,
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
и по (нем) Ахитофеле бысть (близ)) Иодай сын Ванеин и Авиафар: и Иоав началный воевода царев.

< 1 Nyakati 27 >