< 1 Nyakati 27 >
1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Вот сыны Израилевы по числу их, главы семейств, тысяченачальники и стоначальники и управители, которые по отделениям служили царю во всех делах, приходя и отходя каждый месяц, во все месяцы года. В каждом отделении было их по двадцать четыре тысячи.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Над первым отделением, для первого месяца, начальствовал Иашовам, сын Завдиила; в его отделении было двадцать четыре тысячи;
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
он был из сынов Фареса, главный над всеми военачальниками в первый месяц.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Над отделением второго месяца был Додай Ахохиянин; в отделении его был и князь Миклоф, и в его отделении было двадцать четыре тысячи.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Третий главный военачальник, для третьего месяца, Ванея, сын Иодая, священника, и в его отделении было двадцать четыре тысячи:
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
этот Ванея - один из тридцати храбрых и начальник над ними, и в его отделе находился Аммизавад, сын его.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Четвертый, для четвертого месяца, был Асаил, брат Иоава, и по нем Завадия, сын его, и в его отделении двадцать четыре тысячи.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Пятый, для пятого месяца, князь Шамгуф Израхитянин, и в его отделении двадцать четыре тысячи.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Шестой, для шестого месяца, Ира, сын Иккеша, Фекоянин, и в его отделении двадцать четыре тысячи.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Седьмой, для седьмого месяца, Хелец Пелонитянин, из сынов Ефремовых, и в его отделении двадцать четыре тысячи.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Восьмой, для восьмого месяца, Совохай Хушатянин, из племени Зары, и в его отделении двадцать четыре тысячи.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Девятый, для девятого месяца, Авиезер Анафофянин, из сыновей Вениаминовых, и в его отделении двадцать четыре тысячи.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Десятый, для десятого месяца, Магарай Нетофафянин, из племени Зары, и в его отделении двадцать четыре тысячи.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Одиннадцатый, для одиннадцатого месяца, Ванея Пирафонянин, из сынов Ефремовых, и в его отделении двадцать четыре тысячи.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Двенадцатый, для двенадцатого месяца, Хелдай Нетофафянин, из потомков Гофониила, и в его отделении двадцать четыре тысячи.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
А над коленами Израилевыми, - у Рувимлян главным начальником был Елиезер, сын Зихри; у Симеона - Сафатия, сын Маахи;
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
у Левия - Хашавия, сын Кемуила; у Аарона - Садок;
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
у Иуды - Елиав, из братьев Давида; у Иссахара - Омри, сын Михаила;
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
у Завулона - Ишмаия, сын Овадии; у Неффалима - Иеримоф, сын Азриила;
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
у сыновей Ефремовых - Осия, сын Азазии; у полуколена Манассиина - Иоиль, сын Федаии;
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
у полуколена Манассии в Галааде - Иддо, сын Захарии; у Вениамина - Иаасиил, сын Авенира;
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
у Дана - Азариил, сын Иерохама. Вот вожди колен Израилевых.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
Давид не делал счисления тех, которые были от двадцати лет и ниже, потому что Господь сказал, что Он умножит Израиля, как звезды небесные.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Иоав, сын Саруи, начал делать счисление, но не кончил. И был за это гнев Божий на Израиля, и не вошло то счисление в летопись царя Давида.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
Над сокровищами царскими был Азмавеф, сын Адиилов, а над запасами в поле, в городах, и в селах и в башнях - Ионафан, сын Уззии;
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
над занимающимися полевыми работами, земледелием - Езрий, сын Хелува;
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
над виноградниками - Шимей из Рамы, а над запасами вина в виноградниках Завдий из Шефама;
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
над маслинами и смоковницами в долине - Баал-Ханан Гедеритянин, а над запасами деревянного масла - Иоас;
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
над крупным скотом, пасущимся в Шароне - Шитрай Шаронянин, а над скотом в долинах - Шафат, сын Адлая;
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
над верблюдами - Овил Исмаильтянин; над ослицами - Иехдия Меронифянин;
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
над мелким скотом - Иазиз Агаритянин. Все эти были начальниками над имением, которое было у царя Давида.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
Ионафан, дядя Давидов, был советником, человек умный и писец; Иехиил, сын Хахмониев, был при сыновьях царя;
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
Ахитофел был советником царя; Хусий Архитянин - другом царя;
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
после же Ахитофела Иодай, сын Ванеи, и Авиафар, а Иоав был военачальником у царя.