< 1 Nyakati 27 >

1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Dette er Israels barn efter deres tall, med deres familiehoder og høvedsmennene over tusen og over hundre og deres tilsynsmenn, som tjente kongen i alt som vedkom hær-delingene; disse hær-delinger tiltrådte og fratrådte skiftevis hver måned gjennem hele året, og hver deling var på fire og tyve tusen mann.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Over den første hær-deling, som gjorde tjeneste i den første måned, stod Jasobam, Sabdiels sønn, og til hans deling hørte fire og tyve tusen mann;
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
han var en av Peres' efterkommere, den øverste av alle hærførerne som gjorde tjeneste i den første måned.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Over den hær-deling som gjorde tjeneste i den annen måned, stod ahohitten Dodai; ved hans deling var fyrsten Miklot, og til hans deling hørte fire og tyve tusen mann.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Den tredje hærfører, som gjorde tjeneste i den tredje måned, var Benaja, presten Jojadas sønn, som var den øverste, og til hans deling hørte fire og tyve tusen mann;
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
denne Benaja var en helt blandt de tretti og stod over de tretti, og ved hans hær-deling var hans sønn Ammisabad.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Den fjerde, som gjorde tjeneste i den fjerde måned, var Asael, Joabs bror, og efter ham hans sønn Sebadja, og til hans hær-deling hørte fire og tyve tusen mann.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Den femte, som gjorde tjeneste i den femte måned, var høvdingen Samhut, jisrahitten, og til hans hærdeling hørte fire og tyve tusen mann.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Den sjette, som gjorde tjeneste i den sjette måned, var Ira, Ikkes' sønn, fra Tekoa, og til hans hærdeling hørte fire og tyve tusen mann.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Den syvende, som gjorde tjeneste i den syvende måned, var pelonitten Heles av Efra'ims barn, og til hans hær-deling hørte fire og tyve tusen mann.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Den åttende, som gjorde tjeneste i den åttende måned, var husatitten Sibbekai av serahittenes ætt, og til hans hær-deling hørte fire og tyve tusen mann.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Den niende, som gjorde tjeneste i den niende måned, var Abieser fra Anatot, av Benjamins stamme, og til hans hær-deling hørte fire og tyve tusen mann.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Den tiende, som gjorde tjeneste i den tiende måned, var Maharai fra Netofa, av serahittenes ætt, og til hans hær-deling hørte fire og tyve tusen mann.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Den ellevte, som gjorde tjeneste i den ellevte måned, var Benaja fra Piraton, av Efra'ims barn, og til hans hær-deling hørte fire og tyve tusen mann.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Den tolvte, som gjorde tjeneste i den tolvte måned, var Heldai fra Netofa, av Otrliels ætt, og til hans hær-deling hørte fire og tyve tusen mann.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
Israels stammefyrster var: for rubenittene Elieser, Sikris sønn, for simeonittene Sefatja, Ma'akas sønn,
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
for Levi Hasabja, Kemuels sønn, for Arons ætt Sadok,
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
for Juda Elihu, en av Davids brødre, for Issakar Omri, Mikaels sønn,
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
for Sebulon Jismaja, Obadjas sønn, for Naftali Jerimot, Asriels sønn,
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
for Efra'ims barn Hosea, Asasjas sønn, for den halve Manasse stamme Joel, Pedajas sønn,
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
for den halve Manasse stamme i Gilead Jiddo, Sakarjas sønn, for Benjamin Ja'asiel, Abners sønn,
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
for Dan Asar'el, Jerohams sønn. Dette var høvdingene for Israels stammer.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
Men David tok ikke tall på dem som var under tyve år; for Herren hadde sagt at han vilde gjøre Israel tallrikt som himmelens stjerner.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Joab, Serujas sønn, begynte å telle, men fullendte det ikke, og Guds vrede kom over Israel for dette, og tallet blev ikke opført i manntallet i kong Davids krønike.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
Opsynet over kongens skatter hadde Asmavet, Adiels sønn, over forrådene på marken, i byene og landsbyene og i festningstårnene Jonatan, Ussias sønn,
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
over dem som arbeidet på marken og dyrket jorden, Esri, Kelubs sønn,
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
over vingårdene Sime'i fra Rama, over vinforrådene i vingårdene sifmitten Sabdi,
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
over oljetrærne og morbærtrærne i lavlandet Ba'al-Hanan fra Geder, over oljeforrådene Joas,
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
over storfeet som beitet i Saron, Sitrai fra Saron, over storfeet i dalene Safat, Adlais sønn,
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
over kamelene ismaelitten Obil, over aseninnene Jehdeja fra Meronot
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
og over småfeet hagaritten Jasi; alle disse var opsynsmenn over kong Davids eiendeler.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
Davids farbror Jonatan var hans rådgiver; han var en forstandig og skriftlærd mann. Jehiel, Hakmonis sønn, var hos kongens sønner.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
Akitofel var kongens rådgiver, og arkitten Husai var kongens venn.
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
Efter Akitofel kom Jojada, Benajas sønn, og Ebjatar. Joab var kongens hærfører.

< 1 Nyakati 27 >