< 1 Nyakati 27 >

1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Daytoy ti listaan dagiti mangidadaulo iti pamilia dagiti Israelita, dagiti pangulo ti rinibribu ken ginasgasut, kasta met dagiti opisial ti armada a nagserbi iti ari kadagiti nadumaduma a wagas. Tunggal bunggoy a mannakigubat ket nagserbi iti binulan iti las-ud ti makatawen. Tunggal bunggoy ket addaan iti 24, 000 a lallaki.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo ti bunggoy iti umuna a bulan ket ni Jasobeam a putot a lalaki ni Zabdiel. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
Maysa isuna kadagiti kaputotan ni Perez ken mangidadaulo kadagiti amin nga opisial ti armada para iti umuna a bulan.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo iti bunggoy para ti maikadua a bulan ket ni Dodai, manipud iti puli a nagtaud kenni Ahoa. Ni Miklot ti maikaddua iti saad. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo ti armada ti maikatlo a bulan ket ni Benaias a putot a lalaki ni Jehoyada, a padi ken mangidadaulo. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
Daytoy ti Benaias a nangidaulo iti tallopulo, ken kadagiti tallopulo. Adda iti bunggoyna ni Ammizabad a putotna a lalaki.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo iti maikauppat a bulan ket ni Asael, a kabsat ni Joab. Ni Zebadia a putotna a lalaki ti simmukat kenkuana a nagbalin a pangulo. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo ti maikalima a bulan ket ni Samut a kaputotan ni Izra. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo ti maikainnem a bulan ket ni Ira a putot a lalaki ni Ikkes, manipud Tekoa. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo ti maikapito a bulan ket ni Helez, a Pelonita, manipud kadagiti tattao ti Efraim. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo ti maikawalo a bulan ket ni Sibbecai a Husatita, manipud iti puli a nagtaud kenni Zera. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo ti maikasiam a bulan ket ni Abiezer nga Anatotita, manipud iti tribu ti Benjamin. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo ti maikasangapulo a bulan ket ni Maharai a manipud iti siudad ti Netofa, manipud iti puli a nagtaud kenni Zera. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo ti maikasangapulo ket maysa a bulan ket ni Benaias manipud iti siudad ti Piraton, manipud iti tribu ni Efraim. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
Ti pangulo iti maikasangapulo ket dua a bulan ket ni Heldai manipud iti siudad ti Netofa, manipud iti puli a nagtaud kenni Otniel. Adda 24, 000 a lallaki iti bunggoyna.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
Dagitoy dagiti mangidadaulo kadagiti tribu ti Israel: Para iti tribu ti Ruben, ni Eliazer a putot a lalaki ni Zicri ti mangidadaulo. Para iti tribu ti Simeon, ni Sefatias a putot a lalaki ni Maaca ti mangidadaulo.
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
Para iti tribu ti Levi, ni Hasabias a putot a lalaki ni Kemuel ti mangidadaulo, ken indauloan ni Zadok dagiti kaputotan ni Aaron.
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
Para iti tribu ti Juda, ni Elihu, a maysa kadagiti kabsat ni David ti mangidadaulo. Para iti tribu ti Issacar, ni Omri a putot a lalaki ni Micael ti mangidadaulo.
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
Para iti tribu ti Zabulon, ni Ismaias a putot a lalaki ni Obadias ti mangidadaulo. Para iti tribu ti Neftali, ni Jeremot a putot a lalaki ni Azariel ti mangidadaulo.
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
Para iti tribu ti Efraim, ni Osias a putot a lalaki ni Azazias ti mangidadaulo. Para iti kagudua ti tribu ti Manasses, ni Joel a putot a lalaki ni Pedaias ti mangidadaulo.
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
Para iti kagudua a tribu ti Manasses idiay Galaad, ni Iddo a putot a lalaki ni Zacarias ti mangidadaulo. Para iti tribu ti Benjamin, ni Jaasiel a putot a lalaki ni Abner ti mangidadaulo.
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
Para iti tribu tii Dan, ni Azarel a putot a lalaki ni Jeroham ti mangidadaulo. Dagitoy dagiti nangidadaulo kadagiti tribu ti Israel.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
Saan a binilang ni David dagiti agtawen iti duapulo wenno ub-ubing pay, gapu ta inkari ni Yahweh a paaduenna ti Israel a kas kadagiti bituen ti langit.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Rinugian ni Joab a putot a lalaki ni Zeruias a binilang dagiti lallaki, ngem saan a nalpas. Nagdissuor ti pungtot iti Israel gapu iti daytoy. Daytoy a bilang ket saan a naisurat iti Cronicas ni Ari David.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
Ni Azmavet a putot a lalaki ni Adiel ti nangaywan kadagiti gamgameng ti ari. Ni Jonatan a putot a lalaki ni Uzzias ti nangaywan kadagiti pangiduldulinan kadagiti away, kadagiti siudad, ken kadagiti bario, ken kadagiti torre nga adda kadagiti alad.
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
Ni Ezri a putot a lalaki ni Kelub ti nangaywan kadagiti mannalon, dagiti nangarado iti daga.
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
Ni Simei manipud Rama ti nangaywan kadagiti kaubasan, ken ni Zabdi manipud iti Sepam ti nangaywan kadagiti ubas ken kadagiti pangiduldulinan iti arak.
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
Ni Baal Hanan manipud Geder ti nangaywan kadagiti kayo ti olibo ken dagiti kayo ti sikamoro nga adda kadagiti patad, ken ni Joas ti nangaywan kadagiti pangiduldulinan iti lana.
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
Ni Sitrai manipud Saron ti nangaywan kadagiti arban a naipaarab idiay Saron, ken ni Safat a putot a lalaki ni Adlai ti nangaywan kadagiti arban nga adda kadagiti tanap.
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
Ni Obil nga Ismaelita ti nangaywan kadagiti kamelio, ken ni Jedayas manipud Meronotita ti nangaywan kadagiti kabaian nga asno. Ni Jaziz nga Hagrita ti nangaywan kadagiti karnero.
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
Isuda amin iti nangay-aywan kadagiti sanikua ni Ari David.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
Ni Jonatan, nga uliteg ni David, ket maysa a mammagbaga, agsipud ta masirib isuna ken maysa nga eskriba. Ni Jeiel a putot ni Hachmoni ti nangaywan kadagiti putot a lallaki ti ari
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
Ni Ahitofel ti mammagbaga ti ari, ken ni Husai manipud kadagiti Arkita ti nasinged a mammagbaga ti ari.
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
Simmukat iti saad ni Ahitofel da Jehoyada a putot a lalaki ni Benaias kenni Abiatar. Ni Joab ti pangulo iti armada ti ari.

< 1 Nyakati 27 >