< 1 Nyakati 27 >

1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
and son: descendant/people Israel to/for number their head: leader [the] father and ruler [the] thousand and [the] hundred and official their [the] to minister [obj] [the] king to/for all word: thing [the] division [the] to come (in): come and [the] to come out: come month in/on/with month to/for all month [the] year [the] division [the] one twenty and four thousand
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
upon [the] division [the] first to/for month [the] first Jashobeam son: child Zabdiel and upon division his twenty and four thousand
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
from son: descendant/people Perez [the] head: leader to/for all ruler [the] Hosts to/for month [the] first
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
and upon division [the] month [the] second Dodai [the] Ahohite and division his and Mikloth [the] leader and upon division his twenty and four thousand
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
ruler [the] army [the] third to/for month [the] third Benaiah son: child Jehoiada [the] priest head: leader and upon division his twenty and four thousand
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
he/she/it Benaiah mighty man [the] thirty and upon [the] thirty and division his Ammizabad son: child his
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
[the] fourth to/for month [the] fourth Asahel Asahel brother: male-sibling Joab and Zebadiah son: child his after him and upon division his twenty and four thousand
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[the] fifth to/for month [the] fifth [the] ruler Shamhuth [the] Izrahite and upon division his twenty and four thousand
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[the] sixth to/for month [the] sixth Ira son: child Ikkesh [the] Tekoa and upon division his twenty and four thousand
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[the] seventh to/for month [the] seventh Helez [the] Pelonite from son: child Ephraim and upon division his twenty and four thousand
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[the] eighth to/for month [the] eighth Sibbecai [the] Hushathite to/for Zerahite and upon division his twenty and four thousand
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[the] ninth to/for month [the] ninth Abiezer [the] Anathoth (to/for son: descendant/people [Ben]jaminite *Q(K)*) and upon division his twenty and four thousand
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[the] tenth to/for month [the] tenth Maharai [the] Netophathite to/for Zerahite and upon division his twenty and four thousand
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
eleven ten to/for eleven ten [the] month Benaiah [the] Pirathon from son: child Ephraim and upon division his twenty and four thousand
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[the] two ten to/for two ten [the] month Heldai [the] Netophathite to/for Othniel and upon division his twenty and four thousand
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
and upon tribe Israel to/for Reubenite leader Eliezer son: child Zichri to/for Simeon Shephatiah son: child Maacah
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
to/for Levi Hashabiah son: child Kemuel to/for Aaron Zadok
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
to/for Judah Elihu from brother: male-sibling David to/for Issachar Omri son: child Michael
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
to/for Zebulun Ishmaiah son: child Obadiah to/for Naphtali Jeremoth son: child Azriel
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
to/for son: descendant/people Ephraim Hoshea son: child Azaziah to/for half tribe: staff Manasseh Joel son: child Pedaiah
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
to/for half [the] Manasseh Gilead [to] Iddo son: child Zechariah to/for Benjamin Jaasiel son: child Abner
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
to/for Dan Azarel son: child Jeroham these ruler tribe Israel
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
and not to lift: count David number their to/for from son: aged twenty year and to/for beneath for to say LORD to/for to multiply [obj] Israel like/as star [the] heaven
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Joab son: child Zeruiah to profane/begin: begin to/for to count and not to end: finish and to be in/on/with this wrath upon Israel and not to ascend: rise [the] number in/on/with number word: deed [the] day to/for king David
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
and upon treasure [the] king Azmaveth son: child Adiel and upon [the] treasure in/on/with land: country in/on/with city and in/on/with village and in/on/with tower Jonathan son: child Uzziah
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
and upon to make: do work [the] land: country to/for service: work [the] land: soil Ezri son: child Chelub
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
and upon [the] vineyard Shimei [the] Ramathite and upon which/that in/on/with vineyard to/for treasure [the] wine Zabdi [the] Shiphmite
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
and upon [the] olive and [the] sycamore which in/on/with Shephelah Baal-hanan Baal-hanan [the] Gederite and upon treasure [the] oil Joash
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
and upon [the] cattle [the] to pasture in/on/with Sharon (Shitrai *Q(K)*) [the] Sharonite and upon [the] cattle in/on/with valley Shaphat son: child Adlai
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
and upon [the] camel Obil [the] Ishmaelite and upon [the] she-ass Jehdeiah [the] Meronothite
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
and upon [the] flock Jaziz [the] Hagri all these ruler [the] property which to/for king David
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
and Jonathan beloved: male relative David to advise man to understand and secretary he/she/it and Jehiel son: child Hachmoni with son: child [the] king
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
and Ahithophel to advise to/for king and Hushai [the] Archite neighbor [the] king
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
and after Ahithophel Jehoiada son: child Benaiah and Abiathar and ruler army to/for king Joab

< 1 Nyakati 27 >