< 1 Nyakati 27 >

1 Hii ni orodha ya familia za viongozi wa Israeli, wakuu wa maelfu na mamia, pamoja na maafisa wa jeshi walio mtumikia mfalme kwa namna tofauti. Kila kikosi cha jeshi kilitumika mwenzi hadi mwezi kwa mwaka mzima. Kila kikosi kilikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
And [the] people of Israel - to number their [the] heads of the fathers and [the] commanders of the thousands - and the hundreds and officials their who serve the king to every - matter of the divisions which come and which go out month by month to all [the] months of the year the division one [was] twenty and four thousand.
2 Kwa mwezi wa kwanza wa kikosi alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
[was] over The division first for the month first Jashobeam [the] son of Zabdiel and [were] with division his twenty and four thousand.
3 Alikuwa miongoni mwa uzao wa Perezi na mhusika wa maafisa wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.
One of [the] descendants of Perez the chief of all [the] commanders of the armies for the month first.
4 Juu ya kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai, wa ukoo wa uliotoka kwa Ahoa. Mikilothi alikuwa wa pili kwa cheo. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
And [was] over [the] division of - the month second Dodai the Ahohite and division his and Mikloth [was] the leader and [were] with division his twenty and four thousand.
5 Mkuu wa jeshi wa mwezi wa tatu alikuwa Benaia mwana wa Yehoiada, kuhani na kiongozi. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[was] [the] commander of The army third for the month third Benaiah [the] son of Jehoiada the priest chief and [were] with division his twenty and four thousand.
6 Huyu ni Benaia aliye kuwa kiongozi wa wale thelathini na juu ya wale thelathini. Amizabadi mwanae alikuwa katika kikosi chake.
That Benaiah [was] [the] mighty [man] of the thirty and [was] over the thirty and division his Ammizabad son his.
7 Mkuu kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli kaka wa Yoabu. Zebadia mwanae akawa mkuu baada yake. Katika kikosi chake kulikuwa na wanaume elfu ishirini na nne.
[was] the Fourth for the month fourth Asah-el [the] brother of Joab and Zebadiah son his [was] after him and [were] with division his twenty and four thousand.
8 Mkuu kwa mwezi wa tano alikuwa Shamihuthi, mzao wa Izra. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[was] the Fifth for the month fifth the leader Shamhuth the Izrahite and [were] with division his twenty and four thousand.
9 Mkuu kwa mwezi wa sita alikuwa Ira mwana wa Ikeshi, kutoka Tekoa. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[was] the Sixth for the month sixth Ira [the] son of Ikkesh the Tekoite and [were] with division his twenty and four thousand.
10 Mkuu kwa mwezi wa saba alikuwa Helezi Mpeloni, kutoka watu wa Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[was] the Seventh for the month seventh Helez the Pelonite one of [the] descendants of Ephraim and [were] with division his twenty and four thousand.
11 Mkuu kwa mwezi wa nane alikuwa Sibekai Mhushathi, kutoka ukoo ulitoka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[was] the Eighth for the month eighth Sibbecai the Hushathite of the Zerahite[s] and [were] with division his twenty and four thousand.
12 Mkuu kwa mwezi wa tisa alikuwa Abi Ezeri Manathothi, kutoka kwa kabila la Benjamini. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[was] the Ninth for the month ninth Abiezer the Anathothite (of the Ben - jaminite[s] *Q(K)*) and [were] with division his twenty and four thousand.
13 Mkuu kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai kutoka mji wa Netofa, kutoka ukoo ulio toka kwa Zera. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[was] the Tenth for the month tenth Maharai the Netophathite of the Zerahite[s] and [were] with division his twenty and four thousand.
14 Mkuu kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaia kutoka mji wa Pirathoni, kutoka kabila la Efraimu. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
[was] one [plus] Ten for [the] one [plus] ten the month Benaiah the Pirathonite one of [the] descendants of Ephraim and [were] with division his twenty and four thousand.
15 Mkuu kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Helidai kutoka mji wa Netopafa, kutoka ukoo uliotoka kwa Othinieli. Katika kikosi chake walikuwa wanaume elfu ishirini na nne.
The two [plus] ten for two [plus] ten the month Heldai the Netophathite of Othniel and [were] with division his twenty and four thousand.
16 Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kwa kabila la Rubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Simeoni, Shefatia mwana wa Maka alikuwa kiongozi.
And over [the] tribes of Israel for the Reubenite[s] [was] chief Eliezer [the] son of Zikri. For the Simeonite[s] Shephatiah [the] son of Maacah.
17 Kwa kabila la Lawi, Hashinia mwana wa Kemueli alikuwa kiongozi, na Zadoki aliongoza uzao wa Aruni.
For Levi Hashabiah [the] son of Kemuel for Aaron Zadok.
18 Kwa kabila la Yuda, Elihu, mmoja wa kaka zake Daudi, alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Isakari, Omri mwana wa Mikaeli alikuwa kiongozi.
For Judah Elihu one of [the] brothers of David for Issachar Omri [the] son of Michael.
19 Kwa kabila la Zebuluni, Ishimaia mwana wa Obadia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Naftali, Yeremothi mwana wa Azirieli alikuwa kiongozi.
For Zebulun Ishmaiah [the] son of Obadiah for Naphtali Jerimoth [the] son of Azriel.
20 Kwa kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Azazia alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaia alikuwa kiongozi.
For [the] sons of Ephraim Hoshea [the] son of Azaziah for [the] half of [the] tribe of Manasseh Joel [the] son of Pedaiah.
21 Kwa nusu kabila la Manase lililo Gileadi, Ido mwana wa Zekaria alikuwa kiongozi. Kwa kabila la Benjamini, Yaasieli mwana wa Abneri alikuwa kiongozi.
For [the] half of Manasseh Gilead towards Iddo [the] son of Zechariah. For Benjamin Jaasiel [the] son of Abner.
22 Kwa kabila la Dani, Azareli mwana wa Yerohamu alikuwa kiongozi. Hawa walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli.
For Dan Azarel [the] son of Jeroham these [were] [the] commanders of [the] tribes of Israel.
23 Daudi hakuwa hesabu wenye umri wa miaka ishirini au chini zaidi, kwasababu Yahweh alihaidi kuongeza Israeli kama nyota za mbinguni.
And not he took David number their from a son of twenty year[s] and downwards for he had said Yahweh to multiply Israel like [the] stars of the heavens.
24 Yoabu mwana wa Zeruia alianza kuhesabu wanaume, lakini hakumaliza. Gadhabu iliangukia Israeli kwa hili. Hii idadi haikuandikwa kwenye nyakati za mfalme Daudi.
Joab [the] son of Zeruiah he began to count and not he finished and it was by this wrath [was] towards Israel and not it went up the number in [the] number of [the] words of the days of the king David.
25 Azimavethi mwana wa Adieli alikuwa mhusika wa hazina za mfalme. Yonathani mwana wa Uzia alikuwa juu ya nyumba za ghala katika mashamba, kwenye miji, na vijijini, na kwenye minara iliyo imarishwa.
And [was] over [the] storehouses of the king Azmaveth [the] son of Adiel. And [was] over the storehouses in the open country in the cities and in the villages and in the towers Jonathan [the] son of Uzziah.
26 Ezri mwana wa Kelubi alikuwa juu ya mashamba, hao walio lima ardhi.
And [was] over [the] doers of [the] work of the field for [the] labor of the ground Ezri [the] son of Kelub.
27 Shimei kutoka Rama alikuwa juu ya mashamba ya mizabibu, na Zabdi kutoka Shefamu alikuwa juu ya mizabibu na mhifadhi wa mvinyo.
And [was] over the vineyards Shimei the Ramathite and [was] over [that] which [was] in the vineyards to [the] storehouses of the wine Zabdi the Shiphmite.
28 Mwangalizi wa miti mizeituni na miti ya mikuyu iliyo kuwa bondeni alikuwa Baali Hanani kutoka Gederi, na juu ya nyumba za ghala za mafuta alikuwa Yoashi.
And [was] over the olive trees and the sycamore-fig trees which [were] in the Shephelah Baal-Hanan the Gederite. And [was] over [the] storehouses of the oil Joash.
29 Juu ya mifugo iliyo kuwa inalishwa huko Sharoni alikuwa Shitrai kutoka Sharoni, na juu ya mifugo iliyo kuwa mabondeni alikuwa Shafati mwana wa Adlai.
And [was] over the cattle which grazed in Sharon (Shirtai *Q(K)*) the Sharonite and [was] over the cattle in the valleys Shaphat [the] son Adlai.
30 Msimamizi wa ngamia alikuwa Obili Mishimaeli, na juu ya punda wakike alikuwa Yehideia kutoka Meronothi. Juu ya mifugo alikuwa Yazizi Mhagri.
And [was] over the camels Obil the Ishmaelite and [was] over the she-asses Jehdeiah the Meronothite.
31 Hawa wote walikuwa wasimamizi wa mali za Mfalme Daudi.
And [was] over the flock[s] Jaziz the Hagrite all these [were] [the] officials of the property which [belonged] to the king David.
32 Yonathani, mjomba wake Daudi alikuwa mshauri, sababu alikuwa na busara na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakimoni aliwajali watoto wa mfalme.
And Jonathan [the] uncle of David [was] a counselor [was] a man understanding and a scribe he and Jehiel [the] son of Hacmoni [was] with [the] sons of the king.
33 Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai kutoka watu wa Waariki alikuwa mshauri wake wa siri.
And Ahithophel [was] a counselor of the king. And Hushai the Arkite [was] [the] friend of the king.
34 Nafasi ya Ahithofeli ilichukuliwa na Yehoiada mwana wa Benaia, na Abiathari. Yoabu alikuwa mkuu wa jeshi la mfalme.
And [was] after Ahithophel Jehoiada [the] son of Benaiah and Abiathar and [was the] commander of [the] army of the king Joab.

< 1 Nyakati 27 >