< 1 Nyakati 26 >

1 Huu ulikuwa mgawanyiko wa walinzi wa lango: Kutoka kwa Wakora, Meshelemia mwana wa Kore, wa uzao wa Asafu.
Glede na oddelke vratarjev je bil od Kórahovcev Mešelemjá, sin Koréja izmed Asáfovih sinov.
2 Meshelemia alikuwa na wana wa kiume: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wapili, Zebadia watatu, Yathinieli wanne,
Mešelemjájevi sinovi so bili prvorojenec Zeharjá, drugi Jediaél, tretji Zebadjá, četrti Jatniél,
3 Elamu watano, Yehohanani wasita, Eliehoenai wasaba.
peti Elám, šesti Johanán, sedmi Eljoenáj.
4 Obedi alikuwa na wana wa kiume: Shemaia wa kwanza, Yehozabadi wapili, Yoa watatu, na Sakari wanne, na Nethanieli watano,
Poleg tega so bili Obéd Edómovi sinovi prvorojenec Šemajá, drugi Jozabád, tretji Joáh, četrti Sahár, peti Netanél,
5 Amieli wasita, Isakari wasaba, Peulethai wanane, kwa kuwa Mungu alimbariki Obedi Edomu.
šesti Amiél, sedmi Isahár in osmi Peuletáj, kajti Bog ga je blagoslovil.
6 Kwa Shemaia mwanae walizawa wana walio tawala familia zao; walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Tudi njegovemu sinu Šemajáju so bili rojeni sinovi, ki so vladali po hiši svojih očetov, kajti bili so močni junaški možje.
7 Wana wa Shemaia walikuwa Othini, Refaeli, Obedi, na Elizabadi. Ndugu zake Elihu na Semakia walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Šemajájevi sinovi: Otní, Refaél, Obéd, Elzabád, katerega bratje so bili močni možje, Elihú in Semahjá.
8 Hawa wote walikuwa uzao wa Obedi Edomu. Wao na wanao na ndugu zao walikuwa wanaume wenye uwezo wa kufanya wajibu wao katika huduma ya hema la kuabudia. Palikuwa na sitini na mbili walio kuwa na undugu na Obedi Edomu.
Vseh teh izmed Obéd Edómovih sinov in njihovih bratov, sposobnih mož za službo je bilo dvainšestdeset.
9 Meshelemia alikuwa na wana na ndugu, wanaume wenye uwezo, jumla ya kumi na nane.
Mešelemjá je imel sinove in brate, močne može, osemnajst.
10 Hosa, mzao wa Merari, alikuwa na wana: Shimiri kiongozi (japo hakuwa mzaliwa wa kwanza, baba yake alimfanya kiongozi),
Tudi Hosá, izmed Meraríjevih otrok, je imel sinove: vodja Šimrí, (kajti čeprav ni bil prvorojenec, ga je vendar njegov oče naredil za vodjo)
11 Hilikia wapili, Tebalia watatu, Zekaria wanne. Wote wa wana wa Hosa na ndugu walikuwa kumi na tatu kwa idadi.
drugi Hilkijá, tretji Tebaljá, četrti Zeharjá. Vseh sinov Hosájevih bratov je bilo trinajst.
12 Huu mgawanyiko wa walinzi wa lango, sambamba na viongozi, ulikuwa na majukumu, kama ndugu zao, kutumika katika nyumba ya Yahweh.
Med temi so bili oddelki vratarjev, celó med vodilnimi možmi so imeli straže, da služijo eden nasproti drugemu v Gospodovi hiši.
13 Walirusha kura, wadogo kwa wakubwa, kulingana na familia zao, kwa kila lango.
Metali so žrebe, tako majhni kakor veliki, glede na hišo njihovih očetov, za vsaka velika vrata.
14 Kura ilipo rushwa kwa lango la mashariki, ilimuangukia Shelemia. Kisha wakarusha kura kwa Zekaria mwana wake, mshauri makini, na kura yake ikatokea lango la kaskazini.
Žreb proti vzhodu je zadel Šelemjája. Potem so metali žrebe za Zeharjá, njegovega sina, modrega svetovalca in njegov žreb je izšel proti severu.
15 Kwa Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala.
Za Obéd Edóma in za njegove sinove od Asupimove hiše proti jugu.
16 Shufimu na Hosa walipangiwa lango la magharibi pamoja na lango la Shalekethi, kwa barabara ya juu. Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia.
Šupímu in Hosáju je žreb izšel proti zahodu z velikimi vrati Šaléheta, pri tlakovani pešpoti vzpona, straža proti straži.
17 Kwa mashariki walikuwa Walawi sita, kaskazini kwa siku moja, kusini kwa siku moja, na nyumba za ghala wawili.
Proti vzhodu je bilo šest Lévijevcev, štirje na dan proti severu, štirje na dan proti jugu in proti Asupimu dva in dva.
18 Katika ua kuelekea magharibi wanne walipangwa, wanne barabarani, na wawili katika ua.
Pri Parbarju proti zahodu, štirje pri tlakovani pešpoti in dva pri Parbarju.
19 Haya yalikuwa magawanyiko ya walinzi wa lango. Palijazwa na uzao wa Kora na Merari.
To so oddelki vratarjev med Koréjevimi sinovi in med Meraríjevimi sinovi.
20 Miongoni mwa Walawi, Ahija alikuwa kiongozi wa hazina ya nyumba ya Mungu, na hazina ya vitu vya Yahweh.
Izmed Lévijevcev je bil Ahíja nad zakladnicami Božje hiše in nad zakladnicami posvečenih stvari.
21 Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae,
Glede Ladánovih sinov: sinovi Geršónca Ladána, poglavarji očetov, celó od Geršónca Ladána, je bil Jehielí.
22 Zethamu, na Yoeli kaka yake, aliyesimamia ghala za nyumba ya Yahweh.
Jehielíjeva sinova: Zetám in njegov brat Joél, ki sta bila nad zakladnicami Gospodove hiše.
23 Kulikuwa na askari walio chukuliwa kwa koo za Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli.
Izmed Amrámovcev, Jichárovcev, Hebróncev in Uziélovcev
24 Shebueli mwana wa Gerishomu mwana wa Musa, alikuwa msimamizi wa nyumba za ghala.
je bil Šebuél, Geršómov sin, Mojzesov sin, vladar nad zakladnicami.
25 Ndugu zake wa ukoo wa Eliezeri walikuwa Rehabia mwanae, mwana wa Rehabia Yeshaia, mwana wa Yeshaia Yoramu, mwana wa Yoramu Zikiri, na mwana wa Zikiri Shelomothi.
Njegovi bratje po Eliézerju: njegov sin Rehabjá, njegov sin Ješajá, njegov sin Jorám, njegov sin Zihrí in njegov sin Šelomít.
26 Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa nyumba zote za ghala zinazo hifadhi vitu vyote vya Yahweh, ambavyo Daudi mfalme, viongozi wa familia, wakuu wa maelfu na mamia, na wakuu wa jeshi walivyo vitenga.
Ta Šelomít in njegovi bratje so bili nad vsemi zakladnicami posvečenih stvari, ki so jih kralj David, vodje očetov, tisočniki, stotniki in poveljniki vojske posvetili.
27 Walitenga vitu walivyo vichukuwa kwenye mapambano kwa ajili ya kutunza nyumba ya Yahweh.
Od plenov, dobljenih v bitkah, so jih posvetili za vzdrževanje Gospodove hiše.
28 Pia walikuwa wahusika wa kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh na Samweli nabii, Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Zeruia. Kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh kilikuwa chini ya ulinzi wa shelomothi na ndugu zake.
In vse, kar so videc Samuel, Kišev sin Savel, Nerov sin Abnêr in Cerújin sin Joáb posvetili in kdorkoli je posvetil katerokoli stvar, so bile te pod roko Šelomíta in njegovih bratov.
29 Wa uzao wa Izhari, Kenania na wana wake walikuwa wahusika wa mambo ya ndani ya Israeli. Walikuwa maafisa na waamuzi.
Izmed Jichárovcev so bili Kenanjá in njegovi sinovi za zunanja opravila nad Izraelom, za častnike in sodnike.
30 Wa uzao wa Hebroni, Hashabia na kaka zake, wanaume wenye uwezo 1, 700, walikuwa wahusika wa kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme. Walikuwa upande wa mgharibi mwa Yordani.
In izmed Hebróncev Hašabjá in njegovi bratje, junaški možje, tisoč sedemsto, so bili častniki med tistimi iz Izraela na tej strani Jordana proti zahodu v vseh Gospodovih opravilih in v kraljevi službi.
31 Kutoka uzao wa Hebroni, Yeriya alikuwa kiongozi wa uzao wake, walihesabiwa kutoka orodha za familia zao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi walitathimini kumbukumbu na kugundua miongoni mwao wanaume wa uwezo katika Yazeri ya Gileadi.
Med Hebrónovci je bil vodja Jerijá, torej med Hebrónovci glede na rodove svojih očetov. V štiridesetem letu Davidovega kraljevanja so jih iskali in med njimi so našli močne junaške može pri Jazêr Gileádu.
32 Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme.
Njegovih bratov, junaških mož, je bilo dva tisoč in sedemsto vodij očetov, ki jih je David postavil [za] vladarje nad Rubenovci, Gádovci in polovico Manásejevega rodu, za vsako zadevo glede Boga in kraljevih zadev.

< 1 Nyakati 26 >