< 1 Nyakati 26 >

1 Huu ulikuwa mgawanyiko wa walinzi wa lango: Kutoka kwa Wakora, Meshelemia mwana wa Kore, wa uzao wa Asafu.
А редови вратарски беху: од синова Корејевих беше Меселемија син Корејев између синова Асафових;
2 Meshelemia alikuwa na wana wa kiume: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wapili, Zebadia watatu, Yathinieli wanne,
А синови Меселемијини: Захарија првенац, Једаило други, Завадија трећи, Јатнило четврти,
3 Elamu watano, Yehohanani wasita, Eliehoenai wasaba.
Елам пети, Јоанан шести, Елиоинај седми;
4 Obedi alikuwa na wana wa kiume: Shemaia wa kwanza, Yehozabadi wapili, Yoa watatu, na Sakari wanne, na Nethanieli watano,
И Овид-Едомови синови: Семаја првенац, Јозавад други, Јоах трећи и Сихар четврти и Натанаило пети,
5 Amieli wasita, Isakari wasaba, Peulethai wanane, kwa kuwa Mungu alimbariki Obedi Edomu.
Амило шести, Исахар седми, Феултај осми; јер га благослови Бог.
6 Kwa Shemaia mwanae walizawa wana walio tawala familia zao; walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
И Семаји, сину његовом, родише се синови, који старешоваху у дому оца свог, јер беху добри јунаци.
7 Wana wa Shemaia walikuwa Othini, Refaeli, Obedi, na Elizabadi. Ndugu zake Elihu na Semakia walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Синови Семајини: Готније и Рафаило и Овид и Елзавад браћа његова, храбри људи, Елиуј и Семахија.
8 Hawa wote walikuwa uzao wa Obedi Edomu. Wao na wanao na ndugu zao walikuwa wanaume wenye uwezo wa kufanya wajibu wao katika huduma ya hema la kuabudia. Palikuwa na sitini na mbili walio kuwa na undugu na Obedi Edomu.
Сви ови беху од синова Овид-Едомових, и они и синови њихови и браћа њихова, сви храбри људи, крепки за службу, беше их шездесет и два од Овид-Едома.
9 Meshelemia alikuwa na wana na ndugu, wanaume wenye uwezo, jumla ya kumi na nane.
А Меселемијиних синова и браће, храбрих људи, беше осамнаест.
10 Hosa, mzao wa Merari, alikuwa na wana: Shimiri kiongozi (japo hakuwa mzaliwa wa kwanza, baba yake alimfanya kiongozi),
А Осини синови, од синова Мераријевих: Симрије поглавар, премда не беше првенац, али га отац постави поглаварем;
11 Hilikia wapili, Tebalia watatu, Zekaria wanne. Wote wa wana wa Hosa na ndugu walikuwa kumi na tatu kwa idadi.
Хелкија други, Тевалија трећи, Захарија четврти; свих синова и браће Осине беше тринаест.
12 Huu mgawanyiko wa walinzi wa lango, sambamba na viongozi, ulikuwa na majukumu, kama ndugu zao, kutumika katika nyumba ya Yahweh.
Од њих беху редови вратарски по поглаварима да чувају стражу наизменце с браћом својом служећи у дому Господњем.
13 Walirusha kura, wadogo kwa wakubwa, kulingana na familia zao, kwa kila lango.
Јер меташе жреб за малог као и за великог по домовима својих отаца, за свака врата.
14 Kura ilipo rushwa kwa lango la mashariki, ilimuangukia Shelemia. Kisha wakarusha kura kwa Zekaria mwana wake, mshauri makini, na kura yake ikatokea lango la kaskazini.
И паде жреб на исток Селимији; а Захарији, сину његовом, мудром саветнику, кад бацише жреб, паде му жреб на север;
15 Kwa Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala.
А Овид-Едому на југ, а синовима његовим на ризницу;
16 Shufimu na Hosa walipangiwa lango la magharibi pamoja na lango la Shalekethi, kwa barabara ya juu. Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia.
Суфиму и Оси на запад с вратима салехетским на путу који иде горе; стража беше према стражи:
17 Kwa mashariki walikuwa Walawi sita, kaskazini kwa siku moja, kusini kwa siku moja, na nyumba za ghala wawili.
С истока шест Левита; са севера четири на дан; с југа на дан четири; а код ризнице по два;
18 Katika ua kuelekea magharibi wanne walipangwa, wanne barabarani, na wawili katika ua.
На Парвару са запада четири на путу, два код Парвара.
19 Haya yalikuwa magawanyiko ya walinzi wa lango. Palijazwa na uzao wa Kora na Merari.
То су редови вратарски међу синовима Корејевим и синовима Мераријевим.
20 Miongoni mwa Walawi, Ahija alikuwa kiongozi wa hazina ya nyumba ya Mungu, na hazina ya vitu vya Yahweh.
И ови још беху Левити: Ахија над благом дома Божијег, над благом од посвећених ствари.
21 Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae,
Од синова Ладанових између синова Гирсонових од Ладана, између главара домова отачких од Ладана сина Гирсоновог беше Јехило,
22 Zethamu, na Yoeli kaka yake, aliyesimamia ghala za nyumba ya Yahweh.
Синови Јехилови: Зетам и Јоило брат му беху над благом дома Господњег;
23 Kulikuwa na askari walio chukuliwa kwa koo za Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli.
Од синова Амрамових, Исарових, Хевронових, Озилових,
24 Shebueli mwana wa Gerishomu mwana wa Musa, alikuwa msimamizi wa nyumba za ghala.
Беше Севуило, син Гирсона сина Мојсијевог старешина над благом.
25 Ndugu zake wa ukoo wa Eliezeri walikuwa Rehabia mwanae, mwana wa Rehabia Yeshaia, mwana wa Yeshaia Yoramu, mwana wa Yoramu Zikiri, na mwana wa Zikiri Shelomothi.
А браћа његова од Елијезера: Реавија син му, а његов син Јесаија, а његов син Јорам, а његов син Зихрије, а његов син Селомит;
26 Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa nyumba zote za ghala zinazo hifadhi vitu vyote vya Yahweh, ambavyo Daudi mfalme, viongozi wa familia, wakuu wa maelfu na mamia, na wakuu wa jeshi walivyo vitenga.
Овај Селомит и браћа његова беху над свим благом од посвећених ствари, које посвети цар Давид и поглавари домова отачких и хиљадници и стотиници и војводе;
27 Walitenga vitu walivyo vichukuwa kwenye mapambano kwa ajili ya kutunza nyumba ya Yahweh.
Од ратова и од плена посветише да се оправи дом Господњи;
28 Pia walikuwa wahusika wa kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh na Samweli nabii, Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Zeruia. Kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh kilikuwa chini ya ulinzi wa shelomothi na ndugu zake.
И шта год беше посветио Самуило виделац и Саул, син Кисов и Авенир син Ниров и Јоав син Серујин; ко год посвећиваше, даваше у руке Селомиту и браћи његовој.
29 Wa uzao wa Izhari, Kenania na wana wake walikuwa wahusika wa mambo ya ndani ya Israeli. Walikuwa maafisa na waamuzi.
Од синова Исарових: Хенанија и синови његови беху над спољашњим пословима у Израиљу, управитељи и судије.
30 Wa uzao wa Hebroni, Hashabia na kaka zake, wanaume wenye uwezo 1, 700, walikuwa wahusika wa kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme. Walikuwa upande wa mgharibi mwa Yordani.
Од синова Хевронових Асавија и браћа његова, хиљаду и седам стотина храбрих људи, беху над Израиљем с ове стране Јордана на истоку за сваки посао Господњи и за службу царску.
31 Kutoka uzao wa Hebroni, Yeriya alikuwa kiongozi wa uzao wake, walihesabiwa kutoka orodha za familia zao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi walitathimini kumbukumbu na kugundua miongoni mwao wanaume wa uwezo katika Yazeri ya Gileadi.
Између синова Хевронових беше Јерија, поглавар синовима Хевроновим по породицама њиховим и домовима отачким. Четрдесете године царовања Давидовог потражише их и нађоше међу њима храбрих јунака у Јазиру галадском.
32 Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme.
И браће његове, храбрих људи, беше две хиљаде и седам стотине главара у домовима отачким; и постави их цар Давид над синовима Рувимовим и Гадовим и половином племена Манасијиног за све послове Божије и царске.

< 1 Nyakati 26 >