< 1 Nyakati 26 >

1 Huu ulikuwa mgawanyiko wa walinzi wa lango: Kutoka kwa Wakora, Meshelemia mwana wa Kore, wa uzao wa Asafu.
Quanto aos repartimentos dos porteiros, dos korahitas foi Meselemias, filho de Kore, dos filhos de Asaph.
2 Meshelemia alikuwa na wana wa kiume: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wapili, Zebadia watatu, Yathinieli wanne,
E foram os filhos de Meselemias: Zacarias o primogênito, Jediael o segundo, Zebadias o terceiro, Jathniel o quarto,
3 Elamu watano, Yehohanani wasita, Eliehoenai wasaba.
Elam o quinto, Johanan o sexto, Elioenai o sétimo.
4 Obedi alikuwa na wana wa kiume: Shemaia wa kwanza, Yehozabadi wapili, Yoa watatu, na Sakari wanne, na Nethanieli watano,
E os filhos de Obed-Edom foram: Semaias o primogênito, Jozabad o segundo, Joah o terceiro, e Sachar o quarto, e Nathanael o quinto,
5 Amieli wasita, Isakari wasaba, Peulethai wanane, kwa kuwa Mungu alimbariki Obedi Edomu.
Ammiel o sexto, Issacar o sétimo, Peullethai o oitavo: porque Deus o tinha abençoado.
6 Kwa Shemaia mwanae walizawa wana walio tawala familia zao; walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Também a seu filho Semaias nasceram filhos, que dominaram sobre a casa de seu pai; porque foram varões valentes.
7 Wana wa Shemaia walikuwa Othini, Refaeli, Obedi, na Elizabadi. Ndugu zake Elihu na Semakia walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Os filhos de Semaias: Othni, e Raphael, e Obed, e Elzabad, seus irmãos, homens valentes: Elihu e Semachias.
8 Hawa wote walikuwa uzao wa Obedi Edomu. Wao na wanao na ndugu zao walikuwa wanaume wenye uwezo wa kufanya wajibu wao katika huduma ya hema la kuabudia. Palikuwa na sitini na mbili walio kuwa na undugu na Obedi Edomu.
Todos estes foram dos filhos de Obed-Edom; eles e seus filhos, e seus irmãos, homens valentes de força para o ministério: por todos sessenta e dois, de Obed-edom.
9 Meshelemia alikuwa na wana na ndugu, wanaume wenye uwezo, jumla ya kumi na nane.
E os filhos e os irmãos de Mesalemias, homens valentes, foram dezoito.
10 Hosa, mzao wa Merari, alikuwa na wana: Shimiri kiongozi (japo hakuwa mzaliwa wa kwanza, baba yake alimfanya kiongozi),
E de Hosa, dentre os filhos de Merari, foram os filhos: Simri o chefe (ainda que não era o primogênito, contudo seu pai o constituiu chefe),
11 Hilikia wapili, Tebalia watatu, Zekaria wanne. Wote wa wana wa Hosa na ndugu walikuwa kumi na tatu kwa idadi.
Hilkias o segundo, Tabalias o terceiro, Zacarias o quarto: todos os filhos e irmãos de Hosa foram treze.
12 Huu mgawanyiko wa walinzi wa lango, sambamba na viongozi, ulikuwa na majukumu, kama ndugu zao, kutumika katika nyumba ya Yahweh.
Destes se fizeram as turmas dos porteiros, entre os chefes dos homens da guarda, igualmente com os seus irmãos, para ministrarem na casa do Senhor.
13 Walirusha kura, wadogo kwa wakubwa, kulingana na familia zao, kwa kila lango.
E lançaram sortes, assim os pequenos como os grandes, segundo as casas de seus pais, para cada porta.
14 Kura ilipo rushwa kwa lango la mashariki, ilimuangukia Shelemia. Kisha wakarusha kura kwa Zekaria mwana wake, mshauri makini, na kura yake ikatokea lango la kaskazini.
E caiu a sorte do oriente a Selemias: e lançou-se a sorte por seu filho Zacarias, conselheiro entendido, e saiu-lhe a sorte do norte.
15 Kwa Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala.
E por Obed-edom a do sul: e por seus filhos a casa das tesourarias.
16 Shufimu na Hosa walipangiwa lango la magharibi pamoja na lango la Shalekethi, kwa barabara ya juu. Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia.
Por Suppim e Hosa a do ocidente, com a porta Sallecheth, junto ao caminho da subida: uma guarda defronte doutra guarda.
17 Kwa mashariki walikuwa Walawi sita, kaskazini kwa siku moja, kusini kwa siku moja, na nyumba za ghala wawili.
Ao oriente seis levitas; ao norte quatro por dia, ao sul quatro por dia, porém às tesourarias de dois em dois.
18 Katika ua kuelekea magharibi wanne walipangwa, wanne barabarani, na wawili katika ua.
Em Parbar ao ocidente: quatro junto ao caminho, dois junto a Parbar.
19 Haya yalikuwa magawanyiko ya walinzi wa lango. Palijazwa na uzao wa Kora na Merari.
Estas são as turmas dos porteiros dentre os filhos dos korahitas, e dentre os filhos de Merari.
20 Miongoni mwa Walawi, Ahija alikuwa kiongozi wa hazina ya nyumba ya Mungu, na hazina ya vitu vya Yahweh.
E quanto aos levitas: Ahias tinha cargo dos tesouros da casa de Deus e dos tesouros das coisas sagradas.
21 Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae,
Quanto aos filhos de Ladan, filhos de Ladan gersonita: de Ladan gersonita, foi chefe dos pais Jehieli.
22 Zethamu, na Yoeli kaka yake, aliyesimamia ghala za nyumba ya Yahweh.
Os filhos de Jehieli: Zetham e Joel, seu irmão; estes tinham cargo dos tesouros da casa do Senhor.
23 Kulikuwa na askari walio chukuliwa kwa koo za Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli.
Para os amramitas, para os isharitas, para os hebronitas, para os ozielitas.
24 Shebueli mwana wa Gerishomu mwana wa Musa, alikuwa msimamizi wa nyumba za ghala.
E Sebuel, filho de Gersom, o filho de Moisés, era maioral dos tesouros.
25 Ndugu zake wa ukoo wa Eliezeri walikuwa Rehabia mwanae, mwana wa Rehabia Yeshaia, mwana wa Yeshaia Yoramu, mwana wa Yoramu Zikiri, na mwana wa Zikiri Shelomothi.
E seus irmãos foram, da banda de Eliezer, Rehabias seu filho, e Isaias seu filho, e Jorão seu filho, e Zichri seu filho, e Selomith, seu filho.
26 Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa nyumba zote za ghala zinazo hifadhi vitu vyote vya Yahweh, ambavyo Daudi mfalme, viongozi wa familia, wakuu wa maelfu na mamia, na wakuu wa jeshi walivyo vitenga.
Este Selomith e seus irmãos tinham cargo de todos os tesouros das coisas sagradas que o rei David e os chefes dos pais, capitães de milhares, e de centenas, e capitães do exército tinham consagrado.
27 Walitenga vitu walivyo vichukuwa kwenye mapambano kwa ajili ya kutunza nyumba ya Yahweh.
Dos despojos das guerras as consagraram, para repararem a casa do Senhor.
28 Pia walikuwa wahusika wa kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh na Samweli nabii, Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Zeruia. Kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh kilikuwa chini ya ulinzi wa shelomothi na ndugu zake.
Como também tudo quanto tinha consagrado Samuel o vidente, e Saul filho de Kis, e Abner filho de Ner, e Joab filho de Zeruia: tudo quanto quem quer tinha consagrado estava debaixo da mão de Selomith e seus irmãos.
29 Wa uzao wa Izhari, Kenania na wana wake walikuwa wahusika wa mambo ya ndani ya Israeli. Walikuwa maafisa na waamuzi.
Dos isharitas, Chenanias, e seus filhos foram postos sobre Israel para a obra de fora, por oficiais e por juízes.
30 Wa uzao wa Hebroni, Hashabia na kaka zake, wanaume wenye uwezo 1, 700, walikuwa wahusika wa kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme. Walikuwa upande wa mgharibi mwa Yordani.
Dos hebronitas foram Hasabias e seus irmãos, homens valentes, mil e setecentos, que tinham cargo dos ofícios em Israel, de aquém do Jordão para o ocidente, em toda a obra do Senhor, e para o serviço do rei
31 Kutoka uzao wa Hebroni, Yeriya alikuwa kiongozi wa uzao wake, walihesabiwa kutoka orodha za familia zao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi walitathimini kumbukumbu na kugundua miongoni mwao wanaume wa uwezo katika Yazeri ya Gileadi.
Dos hebronitas era Jerias o chefe dos hebronitas, de suas gerações entre os pais: no ano quarenta do reino de David se buscaram e acharam entre eles varões valentes em Jaezer de Gilead.
32 Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme.
E seus irmãos, homens valentes, dois mil e setecentos, chefes dos pais: e o rei David os constituiu sobre os rubenitas e os gaditas, e a meia tribo dos manassitas, para todos os negócios de Deus, e para todos os negócios do rei.

< 1 Nyakati 26 >