< 1 Nyakati 26 >

1 Huu ulikuwa mgawanyiko wa walinzi wa lango: Kutoka kwa Wakora, Meshelemia mwana wa Kore, wa uzao wa Asafu.
Dørvogternes Skifter var følgende: af Koraiterne Mesjelemja, en Søn af Kore af Abi'asafs Sønner.
2 Meshelemia alikuwa na wana wa kiume: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wapili, Zebadia watatu, Yathinieli wanne,
Mesjelemja havde Sønner: Zekarja den førstefødte, Jediael den anden, Zebadja den tredje, Jatniel den fjerde,
3 Elamu watano, Yehohanani wasita, Eliehoenai wasaba.
Elam den femte, Johanan den sjette og Eljoenaj den syvende.
4 Obedi alikuwa na wana wa kiume: Shemaia wa kwanza, Yehozabadi wapili, Yoa watatu, na Sakari wanne, na Nethanieli watano,
Obed-Edom havde Sønner: Sjemaja den førstefødte, Jozabad den anden, Joa den tredje, Sakar den fjerde, Netan'el den femte,
5 Amieli wasita, Isakari wasaba, Peulethai wanane, kwa kuwa Mungu alimbariki Obedi Edomu.
Ammiel den sjette, Issakar den syvende og Pe'ulletaj den ottende; thi Gud havde velsignet ham.
6 Kwa Shemaia mwanae walizawa wana walio tawala familia zao; walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Hans Søn Sjemaja fødtes Sønner, som var Herskere i deres Fædrenehus, da de var dygtige Folk.
7 Wana wa Shemaia walikuwa Othini, Refaeli, Obedi, na Elizabadi. Ndugu zake Elihu na Semakia walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Sjemajas Sønner var: Otni, Refael, Obed, Elzabad og hans Brødre, dygtige Folk, Elihu og Semakja;
8 Hawa wote walikuwa uzao wa Obedi Edomu. Wao na wanao na ndugu zao walikuwa wanaume wenye uwezo wa kufanya wajibu wao katika huduma ya hema la kuabudia. Palikuwa na sitini na mbili walio kuwa na undugu na Obedi Edomu.
alle disse hørte tillige med deres Sønner og Brødre til Obed-Edoms Sønner, dygtige Folk med Evner til Tjenesten, i alt to og tresindstyve Efterkommere af Obed-Edom.
9 Meshelemia alikuwa na wana na ndugu, wanaume wenye uwezo, jumla ya kumi na nane.
Mesjelemja havde Sønner og Brødre, dygtige Folk, atten.
10 Hosa, mzao wa Merari, alikuwa na wana: Shimiri kiongozi (japo hakuwa mzaliwa wa kwanza, baba yake alimfanya kiongozi),
Hosa at Meraris Sønner havde Sønner: Sjimri, som var Overhoved — thi skønt han ikke var den førstefødte, gjorde hans Fader ham til Overhoved —
11 Hilikia wapili, Tebalia watatu, Zekaria wanne. Wote wa wana wa Hosa na ndugu walikuwa kumi na tatu kwa idadi.
Hilkija den anden, Tebalja den tredje og Zekarja den fjerde. Hosas Sønner og Brødre var i alt tretten.
12 Huu mgawanyiko wa walinzi wa lango, sambamba na viongozi, ulikuwa na majukumu, kama ndugu zao, kutumika katika nyumba ya Yahweh.
Disse Dørvogternes Skifter, deres Overhoveder sammen med deres Brødre, blev Vagttjenesten overdraget, og saaledes gjorde de Tjeneste i HERRENS Hus;
13 Walirusha kura, wadogo kwa wakubwa, kulingana na familia zao, kwa kila lango.
og om hver enkelt Port kastede de Lod mellem smaa som store, efter deres Fædrenehuse.
14 Kura ilipo rushwa kwa lango la mashariki, ilimuangukia Shelemia. Kisha wakarusha kura kwa Zekaria mwana wake, mshauri makini, na kura yake ikatokea lango la kaskazini.
Loddet for Østporten ramte Sjelemja. Ogsaa for hans Søn Zekarja, en klog Raadgiver, kastede man Lod, og Loddet traf Nordporten.
15 Kwa Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala.
For Obed-Edom traf det Sydporten og for hans Sønner Forraadskamrene.
16 Shufimu na Hosa walipangiwa lango la magharibi pamoja na lango la Shalekethi, kwa barabara ya juu. Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia.
Og for Hosa traf Loddet Vestporten tillige med Sjalleketporten ved Vejen, der fører opad, den ene Vagtpost ved den anden.
17 Kwa mashariki walikuwa Walawi sita, kaskazini kwa siku moja, kusini kwa siku moja, na nyumba za ghala wawili.
Mod Øst var der seks Leviter, mod Nord daglig fire, mod Syd daglig tre, ved hvert af Forraadskamrene to,
18 Katika ua kuelekea magharibi wanne walipangwa, wanne barabarani, na wawili katika ua.
ved Parbar mod Vest var der fire ved Vejen, to ved Parbar.
19 Haya yalikuwa magawanyiko ya walinzi wa lango. Palijazwa na uzao wa Kora na Merari.
Det var Dørvogternes Skifter af Koraiternes og Meraris Efterkommere.
20 Miongoni mwa Walawi, Ahija alikuwa kiongozi wa hazina ya nyumba ya Mungu, na hazina ya vitu vya Yahweh.
Deres Brødre Leviterne, som havde Tilsyn med Guds Hus's Skatkamre og Skatkamrene til Helliggaverne:
21 Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae,
Ladans Sønner, Gersoniternes Efterkommere gennem Ladan, Overhovederne for Gersoniten Ladans Fædrenehuse: Jehieliterne.
22 Zethamu, na Yoeli kaka yake, aliyesimamia ghala za nyumba ya Yahweh.
Jehieliternes Sønner Zetam og hans Broder Joel havde Tilsynet med HERRENS Hus's Skatte.
23 Kulikuwa na askari walio chukuliwa kwa koo za Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli.
Af Amramiterne, Jizhariterne, Hebroniterne og Uzzieliterne
24 Shebueli mwana wa Gerishomu mwana wa Musa, alikuwa msimamizi wa nyumba za ghala.
var Sjubael, en Søn af Moses's Søn Gersom, Overopsynsmand over Skattene.
25 Ndugu zake wa ukoo wa Eliezeri walikuwa Rehabia mwanae, mwana wa Rehabia Yeshaia, mwana wa Yeshaia Yoramu, mwana wa Yoramu Zikiri, na mwana wa Zikiri Shelomothi.
Hans fra Eliezer nedstammende Brødre: Hans Søn Rehabja, hans Søn Jesja'ja, hans Søn Joram, hans Søn Zikri, hans Søn Sjelomit.
26 Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa nyumba zote za ghala zinazo hifadhi vitu vyote vya Yahweh, ambavyo Daudi mfalme, viongozi wa familia, wakuu wa maelfu na mamia, na wakuu wa jeshi walivyo vitenga.
Denne Sjelomit og hans Brødre havde Tilsynet med de Skatte af Helliggaver, som Kong David, Fædrenehusenes Overhoveder, Tusind- og Hundredførerne og Hærførerne havde helliget —
27 Walitenga vitu walivyo vichukuwa kwenye mapambano kwa ajili ya kutunza nyumba ya Yahweh.
de havde helliget dem af Krigsbyttet til Hjælp ved Bygningen at HERRENS Hus —
28 Pia walikuwa wahusika wa kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh na Samweli nabii, Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Zeruia. Kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh kilikuwa chini ya ulinzi wa shelomothi na ndugu zake.
og med alt, hvad Seeren Samuel, Saul, Kisj's Søn, Abner, Ners Søn, og Joab, Zerujas Søn, havde helliget; alt, hvad der var helliget, var betroet Sjelomit og hans Brødre.
29 Wa uzao wa Izhari, Kenania na wana wake walikuwa wahusika wa mambo ya ndani ya Israeli. Walikuwa maafisa na waamuzi.
Af Jizhariterne udtoges Konanja og hans Sønner til Arbejdet ude i Israel som Fogeder og Dommere.
30 Wa uzao wa Hebroni, Hashabia na kaka zake, wanaume wenye uwezo 1, 700, walikuwa wahusika wa kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme. Walikuwa upande wa mgharibi mwa Yordani.
Af Hebroniterne var Hasjabja og hans Brødre, 1700 dygtige Folk, sat til at varetage alt, hvad der vedrørte HERRENS Tjeneste og Kongens Tjeneste i Israel vesten for Jordan.
31 Kutoka uzao wa Hebroni, Yeriya alikuwa kiongozi wa uzao wake, walihesabiwa kutoka orodha za familia zao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi walitathimini kumbukumbu na kugundua miongoni mwao wanaume wa uwezo katika Yazeri ya Gileadi.
Til Hebroniterne hørte Jerija, Overhovedet for Hebroniterne, efter deres Nedstamning, efter Fædrenehusene — i Davids fyrretyvende Regeringsaar blev der iværksat en Undersøgelse angaaende dem, og der fandtes dygtige Folk iblandt dem i Ja'zer i Gilead —
32 Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme.
og hans Brødre, 2700 dygtige Folk, Overhoveder for Fædrenehusene; dem satte Kong David over Rubeniterne, Gaditerne og Manasses halve Stamme til at varetage alle Sager, som vedrørte Gud og Kongen.

< 1 Nyakati 26 >