< 1 Nyakati 26 >

1 Huu ulikuwa mgawanyiko wa walinzi wa lango: Kutoka kwa Wakora, Meshelemia mwana wa Kore, wa uzao wa Asafu.
Longkha karingkungnaw thaw kâreinae teh, Korah koehoi Asaph casaknaw Kore capa Meshelemiah.
2 Meshelemia alikuwa na wana wa kiume: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wapili, Zebadia watatu, Yathinieli wanne,
Meshelemiah casak koehoi Zekhariah teh a ca camin, apâhni e teh Jediael, apâthum e teh Zebadiah, apali e teh Jathniel,
3 Elamu watano, Yehohanani wasita, Eliehoenai wasaba.
apanga e teh Elam, ataruk e teh Jehohanan, asari e teh Elioenai,
4 Obedi alikuwa na wana wa kiume: Shemaia wa kwanza, Yehozabadi wapili, Yoa watatu, na Sakari wanne, na Nethanieli watano,
Obededom casaknaw teh a camin Shemaiah, apâhni e teh Jehozabad, apâthum e teh Joah, apali e teh Sakar, apanga e teh Nethanel,
5 Amieli wasita, Isakari wasaba, Peulethai wanane, kwa kuwa Mungu alimbariki Obedi Edomu.
ataruk e teh Ammiel, asari e teh Issakhar, ataroe e teh Peulthai, ahni teh Cathut ni yawhawi a poe.
6 Kwa Shemaia mwanae walizawa wana walio tawala familia zao; walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Shemaiah casaknaw thung hoi hai imthung kahrawinaw ao van. Bangkongtetpawiteh, tarankahawi ni teh athakaawme taminaw lah ao awh.
7 Wana wa Shemaia walikuwa Othini, Refaeli, Obedi, na Elizabadi. Ndugu zake Elihu na Semakia walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Shemaiah capanaw teh Othni, Rephael, Obed, a hmaunawngha Elzabad, hno katetthai capa Elihu hoi Semakiah.
8 Hawa wote walikuwa uzao wa Obedi Edomu. Wao na wanao na ndugu zao walikuwa wanaume wenye uwezo wa kufanya wajibu wao katika huduma ya hema la kuabudia. Palikuwa na sitini na mbili walio kuwa na undugu na Obedi Edomu.
Hetnaw teh Obededom casaknaw doeh. A capanaw hoi a hmaunawnghanaw teh thaw ka tawk thai poung e lah ao. Obed-edomnaw teh 62 touh a pha awh.
9 Meshelemia alikuwa na wana na ndugu, wanaume wenye uwezo, jumla ya kumi na nane.
Meshelemiah casaknaw hoi a hmaunawngha a thakaawm capa 18 touh ao awh.
10 Hosa, mzao wa Merari, alikuwa na wana: Shimiri kiongozi (japo hakuwa mzaliwa wa kwanza, baba yake alimfanya kiongozi),
Merari casak koehoi Hosah ni hai capanaw a tawn. Shimri te camin la ao hoeh nakunghai a na pa ni kacuepoung lah a ta.
11 Hilikia wapili, Tebalia watatu, Zekaria wanne. Wote wa wana wa Hosa na ndugu walikuwa kumi na tatu kwa idadi.
Apâhni e teh Hilkiah, apâthum e teh Tabaliah, apali e teh Zekhariah. Hosah casak hoi a hmaunawnghanaw abuemlah 13 touh a pha.
12 Huu mgawanyiko wa walinzi wa lango, sambamba na viongozi, ulikuwa na majukumu, kama ndugu zao, kutumika katika nyumba ya Yahweh.
Hetnaw teh a hmaunawnghanaw patetlah BAWIPA e im dawk thaw ka tawk e longkha ka ring hanelah ao awh.
13 Walirusha kura, wadogo kwa wakubwa, kulingana na familia zao, kwa kila lango.
Kacue kanaw a imthungnaw lahoi longkha tangkuem ring hanelah cungpam a rayu awh.
14 Kura ilipo rushwa kwa lango la mashariki, ilimuangukia Shelemia. Kisha wakarusha kura kwa Zekaria mwana wake, mshauri makini, na kura yake ikatokea lango la kaskazini.
Kanîtholae cungpam teh Shelemiah a bo. A lungkaang poung e lawkcengkung capa Zekhariah hanelah cungpam a rayu awh teh tung lae hah a coe.
15 Kwa Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala.
Akalae Obededom a coe dawk hnopai tanae im teh a capanaw ni coe e lah ao.
16 Shufimu na Hosa walipangiwa lango la magharibi pamoja na lango la Shalekethi, kwa barabara ya juu. Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia.
Shuppim hoi Hosah ni coe e teh kanîloumlae takhangnae Shalleketh longkha hoi thongim a voivang lae hah doeh.
17 Kwa mashariki walikuwa Walawi sita, kaskazini kwa siku moja, kusini kwa siku moja, na nyumba za ghala wawili.
Kanîtholae Levihnaw 6 touh ao awh teh, hnin touh dawk atunglah 4, akalah 4, hahoi hnoim dawk 2, reirei ao.
18 Katika ua kuelekea magharibi wanne walipangwa, wanne barabarani, na wawili katika ua.
Kanîloumlae hoi rapan thung kâen nahanelah 4 touh, kalupnae thung 2 touh.
19 Haya yalikuwa magawanyiko ya walinzi wa lango. Palijazwa na uzao wa Kora na Merari.
Hetnaw teh Korah e capanaw hoi Merari e capanaw, longkha ka ring hanelah a kapek e naw doeh.
20 Miongoni mwa Walawi, Ahija alikuwa kiongozi wa hazina ya nyumba ya Mungu, na hazina ya vitu vya Yahweh.
Levihnaw thung hoi Ahijah teh Cathut im dawk hnopai poe e karingkung lah ao.
21 Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae,
Ladan e catounnaw teh Ladan koehoi Gershonnaw lah kaawm e lah ao. Gershonnaw ni Ladan imthung dawk kahrawikung lah ao awh. Hotnaw teh
22 Zethamu, na Yoeli kaka yake, aliyesimamia ghala za nyumba ya Yahweh.
Jehieli casak koehoi Zetham hoi a nawngha Joel teh BAWIPA im dawk e hnopai karingkung lah ao.
23 Kulikuwa na askari walio chukuliwa kwa koo za Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli.
Amram koehoi hai, Izhar koehoi hai, Hebron koehoi hai, Uzziel koehoi hai ao awh.
24 Shebueli mwana wa Gerishomu mwana wa Musa, alikuwa msimamizi wa nyumba za ghala.
Mosi capa Gershom casak Shubael hai hnopai karingkungnaw dawk kacue lah ao.
25 Ndugu zake wa ukoo wa Eliezeri walikuwa Rehabia mwanae, mwana wa Rehabia Yeshaia, mwana wa Yeshaia Yoramu, mwana wa Yoramu Zikiri, na mwana wa Zikiri Shelomothi.
Eliezer dawk hoi a hmaunawnghanaw teh Eliezer capa Rehabiah, a capa Isaiah, a capa Joram, a capa Zikhri, a capa Shelmoth.
26 Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa nyumba zote za ghala zinazo hifadhi vitu vyote vya Yahweh, ambavyo Daudi mfalme, viongozi wa familia, wakuu wa maelfu na mamia, na wakuu wa jeshi walivyo vitenga.
Shelomoth hoi a hmaunawnghanaw hai siangpahrang Devit hoi a imthung kahrawikung ransa 1000 kaukkung bawi, 100 touh kaukkung bawi lah ao awh. Ransabawinaw ni a poe e hnopai karingkung lah ao awh.
27 Walitenga vitu walivyo vichukuwa kwenye mapambano kwa ajili ya kutunza nyumba ya Yahweh.
Taran a tuknae koe e lawphno a sin awh e teh, BAWIPA e im pathoup nahanelah a poe awh.
28 Pia walikuwa wahusika wa kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh na Samweli nabii, Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Zeruia. Kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh kilikuwa chini ya ulinzi wa shelomothi na ndugu zake.
Kahmawtkung Samuel hoi Kish capa Sawl, Ner capa Abner, Zeruiah capa Joab tinaw ni a poe tangcoung e naw hoi poe hanelah kaawm e hnonaw teh Shelomoth hoi a hmaunawnghanaw e kut dawk a kuem awh.
29 Wa uzao wa Izhari, Kenania na wana wake walikuwa wahusika wa mambo ya ndani ya Israeli. Walikuwa maafisa na waamuzi.
Izharnaw dawk hoi Kenaniah hoi a capanaw teh Jerusalem rapan alawilae Isarelnaw dawk kahrawikungnaw hoi lawkcengkungnaw lah ao awh.
30 Wa uzao wa Hebroni, Hashabia na kaka zake, wanaume wenye uwezo 1, 700, walikuwa wahusika wa kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme. Walikuwa upande wa mgharibi mwa Yordani.
Hebronnaw dawk hoi Hashabiah hoi a hmaunawnghanaw teh hno katetthai e tami 17000 touh teh Jordan namran kanîloumlah BAWIPA e thawnaw hoi siangpahrang e thawnaw dawk Isarel ram karingkungnaw lah ao awh.
31 Kutoka uzao wa Hebroni, Yeriya alikuwa kiongozi wa uzao wake, walihesabiwa kutoka orodha za familia zao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi walitathimini kumbukumbu na kugundua miongoni mwao wanaume wa uwezo katika Yazeri ya Gileadi.
Hebronnaw koehoi Jerijah teh Hebronnaw e a na pa a tâconae patetlah kahrawikung lah ao. Devit a bawinae kum 40 touh a pha navah, Gilead ram e Jazer vah ahnimouh thung dawk e athakaawme hoi tarankahawi e moikapap a hmu awh.
32 Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme.
Cathut hane hoi siangpahrang e thaw dawkvah, Reuben, Gad, Manasseh casaknaw tangawn lathueng kahrawikungnaw hah Devit ni a ta. Imthungnaw ka hrawi hane dawk hoi hno katetthai e a hmaunawnghanaw teh 2, 700 touh a pha. awh.

< 1 Nyakati 26 >