< 1 Nyakati 26 >

1 Huu ulikuwa mgawanyiko wa walinzi wa lango: Kutoka kwa Wakora, Meshelemia mwana wa Kore, wa uzao wa Asafu.
Thoh tawt rhoek kah boelnah tah, Korah lamkah he Asaph koca, Kore capa Meshelemiah.
2 Meshelemia alikuwa na wana wa kiume: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wapili, Zebadia watatu, Yathinieli wanne,
Meshelemiah koca lamkah Zekhariah te a cacuek, Jediael te a pabae, Zebadiah te a pathum, Jathniel te a pali.
3 Elamu watano, Yehohanani wasita, Eliehoenai wasaba.
Elam te a panga, Jehohanan te a parhuk, Elioenai te a parhih.
4 Obedi alikuwa na wana wa kiume: Shemaia wa kwanza, Yehozabadi wapili, Yoa watatu, na Sakari wanne, na Nethanieli watano,
Obededom koca la Shemaiah a cacuek, Jehozabad te a pabae, Joah te a pathum, Sakar te a pali, Nethanel te a panga.
5 Amieli wasita, Isakari wasaba, Peulethai wanane, kwa kuwa Mungu alimbariki Obedi Edomu.
Ammiel te a parhuk, Issakhar te a parhih, Peulthai te a parhet tih anih te Pathen loh yoethen a paek.
6 Kwa Shemaia mwanae walizawa wana walio tawala familia zao; walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Anih capa Shemaiah kah ca sak rhoek tah amamih khaw tatthai hlangrhalh la a om uh dongah a napa imkhui ah ukkung rhoek la om uh.
7 Wana wa Shemaia walikuwa Othini, Refaeli, Obedi, na Elizabadi. Ndugu zake Elihu na Semakia walikuwa wanaume wenye uwezo mbali mbali.
Shemaiah koca rhoek la Othni, Rephael, Obed, a manuca Elzabad, tatthai capa Elihu neh Semakiah.
8 Hawa wote walikuwa uzao wa Obedi Edomu. Wao na wanao na ndugu zao walikuwa wanaume wenye uwezo wa kufanya wajibu wao katika huduma ya hema la kuabudia. Palikuwa na sitini na mbili walio kuwa na undugu na Obedi Edomu.
He boeih he Obededom koca lamkah ni. Amamih neh a ca rhoek khaw, a manuca rhoek khaw, thothuengnah dongah thadueng neh hlang tatthai la om uh. Obededom lamkah he sawmrhuk panit lo.
9 Meshelemia alikuwa na wana na ndugu, wanaume wenye uwezo, jumla ya kumi na nane.
Meshelemiah koca rhoek neh a manuca rhoek te khaw tatthai capa hlai rhet om.
10 Hosa, mzao wa Merari, alikuwa na wana: Shimiri kiongozi (japo hakuwa mzaliwa wa kwanza, baba yake alimfanya kiongozi),
Merari koca lamkah Hosah taengah khaw Shimri koca he boeilu om van. Anih te caming la om pawt sitoe cakhaw a napa loh anih te boeilu la a khueh.
11 Hilikia wapili, Tebalia watatu, Zekaria wanne. Wote wa wana wa Hosa na ndugu walikuwa kumi na tatu kwa idadi.
Hilkiah te a pabae, Tabaliah te a pathum, Zekhariah te a pali. Hosah koca neh a manuca rhoek he a pum la hlai thum lo.
12 Huu mgawanyiko wa walinzi wa lango, sambamba na viongozi, ulikuwa na majukumu, kama ndugu zao, kutumika katika nyumba ya Yahweh.
He rhoek he thoh tawt rhoek kah boelnah ni. BOEIPA im ah thohtat ham voeivang kah a manuca rhoek bangla rhaltawt tongpa boeilu la omuh.
13 Walirusha kura, wadogo kwa wakubwa, kulingana na familia zao, kwa kila lango.
Kangham khaw tanoe bangla vongka, vongka ah a napa rhoek imkhui neh hmulung a naan pa uh.
14 Kura ilipo rushwa kwa lango la mashariki, ilimuangukia Shelemia. Kisha wakarusha kura kwa Zekaria mwana wake, mshauri makini, na kura yake ikatokea lango la kaskazini.
Te vaengah Shelemiah ham hmulung te khocuk la a tlak pah tih lungmingnah neh aka uen a capa Zekhariah ham hmulung a naan uh vaengah tah a hmulung te tlangpuei la a tlak pah.
15 Kwa Obedi Edomu kulipangiwa lango la kusini, na wanae walipangiwa nyumba za ghala.
Obededom ham te tuithim ah, anih koca rhoek ham te rhueng im ah.
16 Shufimu na Hosa walipangiwa lango la magharibi pamoja na lango la Shalekethi, kwa barabara ya juu. Lindo lilikabiidhiwa kwa kila familia.
Shuppim ham neh Hosah ham tah khotlak kah thongim aka pan longpuei kah Shalleketh vongka neh thongim voeivang ah.
17 Kwa mashariki walikuwa Walawi sita, kaskazini kwa siku moja, kusini kwa siku moja, na nyumba za ghala wawili.
Levi te khocuk ah parhuk tih tlangpuei ah khaw hnin at ham te pali, tuithim ah khaw hnin at ham te pali, rhueng im ah panit, panit.
18 Katika ua kuelekea magharibi wanne walipangwa, wanne barabarani, na wawili katika ua.
Imhlai ham te khotlak kah longpuei ah pali, imhlai ah panit.
19 Haya yalikuwa magawanyiko ya walinzi wa lango. Palijazwa na uzao wa Kora na Merari.
He tah thoh tawt Korah koca lamkah neh Merari koca kah boelnah ni.
20 Miongoni mwa Walawi, Ahija alikuwa kiongozi wa hazina ya nyumba ya Mungu, na hazina ya vitu vya Yahweh.
Levi Ahijah long tah Pathen im kah thakvoh neh hmuencim kah thakvoh te a hung.
21 Wazao wa Ladani, walitoka kwa Gerishoni kupitia kwake na walio kuwa viongozi wa familia za Ladani Mgerishoni, walikuwa Yehieli na wanae,
Gershon ca rhoek lamkah Ladan koca ah he Ladan tah a napa rhoek kah a lu la om. Gershon Ladan lamloh Jehieli om.
22 Zethamu, na Yoeli kaka yake, aliyesimamia ghala za nyumba ya Yahweh.
Jehieli koca lamkah Zetham neh a mana Joel loh BOEIPA im kah thakvoh a hung.
23 Kulikuwa na askari walio chukuliwa kwa koo za Amramu, Izhari, Hebroni, na uzieli.
Amrami lamkah khaw, Izhari lamkah khaw, Khebroni lamkah khaw, Ozziel lamkah khaw omuh.
24 Shebueli mwana wa Gerishomu mwana wa Musa, alikuwa msimamizi wa nyumba za ghala.
Moses capa Gershom koca Shubael khaw thakvoh soah rhaengsang la om.
25 Ndugu zake wa ukoo wa Eliezeri walikuwa Rehabia mwanae, mwana wa Rehabia Yeshaia, mwana wa Yeshaia Yoramu, mwana wa Yoramu Zikiri, na mwana wa Zikiri Shelomothi.
A manuca Eliezer lamloh a capa Rehabiah, a capa Isaiah, a capa Joram, a capa Zikhri, a capa Shelmoth neh Shelomith.
26 Shelomothi na ndugu zake walikuwa wasimamizi wa nyumba zote za ghala zinazo hifadhi vitu vyote vya Yahweh, ambavyo Daudi mfalme, viongozi wa familia, wakuu wa maelfu na mamia, na wakuu wa jeshi walivyo vitenga.
Shelmoth neh a manuca rhoek he khaw hmuencim kah thakvoh boeih soah omuh. Te tah manghai David neh a napa rhoek kah a lu rhoek, thawngkhat neh yakhat mangpa rhoek, caempuei mangpa rhoek loh a ciim coeng.
27 Walitenga vitu walivyo vichukuwa kwenye mapambano kwa ajili ya kutunza nyumba ya Yahweh.
Caemtloek lamkah neh kutbuem dong lamkah khaw BOEIPA im a duel vaengkah hamla a ciim uh.
28 Pia walikuwa wahusika wa kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh na Samweli nabii, Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Zeruia. Kila kitu kilicho tengwa kwa ajili ya Yahweh kilikuwa chini ya ulinzi wa shelomothi na ndugu zake.
A cungkuem te khohmu Samuel, Kish capa Saul, Ner capa Abner, Zeruiah capa Joab loh a ciim. A cungkuem te Shelomith neh a manuca rhoek kut ah a ciim.
29 Wa uzao wa Izhari, Kenania na wana wake walikuwa wahusika wa mambo ya ndani ya Israeli. Walikuwa maafisa na waamuzi.
Izhari lamkah Kenaniah neh anih koca rhoek tah Israel rhamvoel kah bitat dongah rhoiboei neh laitloek la omuh.
30 Wa uzao wa Hebroni, Hashabia na kaka zake, wanaume wenye uwezo 1, 700, walikuwa wahusika wa kazi ya Yahweh na kazi ya mfalme. Walikuwa upande wa mgharibi mwa Yordani.
Khebroni lamkah Hashabiah neh a manuca rhoek he tatthai capa thawng khat ya rhih om tih Jordan khotlak rhalvangan kah Israel te BOEIPA kah bitat neh manghai kah thothuengnah cungkuem dongah aka cawhkung la om.
31 Kutoka uzao wa Hebroni, Yeriya alikuwa kiongozi wa uzao wake, walihesabiwa kutoka orodha za familia zao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi walitathimini kumbukumbu na kugundua miongoni mwao wanaume wa uwezo katika Yazeri ya Gileadi.
Khebroni lamkah Khebroni boeilu Jeriah loh a napa rhoek kah a rhuirhong neh David kah ram ah kum sawmli a toem uh hatah amih khuikah tatthai hlangrhalh rhoek te Gilead Jazer ah a hmuh.
32 Yerija alikuwa na ndugu 2, 700, walio kuwa viongozi wenye uwezo katika familia. Daudi aliwafanya waangalizi wa makabila ya Rubeni na Gadi, na nusu kabila la Manase, kwa kila jambo linalo muhusu Mungu, na kwa mambo ya mfalme.
A manuca rhoek khaw, a napa boeilu rhoek neh tatthai capa thawng hnih ya rhih om. Te dongah amih te David manghai loh Reuben, Gad, Manasseh koca rhakthuem soah Pathen kah olka cungkuem neh manghai olka dongkah ham a khueh.

< 1 Nyakati 26 >