< 1 Nyakati 25 >
1 Daudi na viongozi wa wafanyakazi wa hema la kuabudia walichaguliwa kwa kazi baadhi walikuwa wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni. Wanaume hawa walitabiri kwa vinubi, vifaa vya uzi, na upatu. Hii ni orodha ya wanaume walioifanya hii kazi:
David et les chefs de l'armée mirent à part pour le service certains des fils d'Asaph, d'Héman et de Jeduthun, qui devaient prophétiser avec des harpes, des instruments à cordes et des cymbales. Le nombre de ceux qui firent l'ouvrage selon leur service fut:
2 Kutoka wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania, na Asharela, wana wa Asafu, chini ya mwongozo wa Asafu, ambaye alitabiri chini ya uwangalizi wa mfalme.
des fils d'Asaph: Zaccur, Joseph, Nethaniah, et Asharelah. Les fils d'Asaph étaient sous la direction d'Asaph, qui prophétisait sur l'ordre du roi.
3 Kutoka wana wa Yeduthuni: Gedalia, Zeri, Yeshaia, Shimei, Hashabia, na Matithia, sita kwa ujumla, chini ya mwongozo wa baba yao Yeduthuni, ambaye alipiga kinubi kwa kutoa shukurani na kumsifu Yahweh.
De Jeduthun, les fils de Jeduthun: Guedalia, Zeri, Jeshaiah, Shimei, Hashabiah et Mattithiah, au nombre de six, sous la main de leur père Jeduthun, qui prophétisa en rendant grâces et en louant Yahvé avec la harpe.
4 Kutoka wana wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na yerimothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti Ezeri, yoshibekasha, Mallothi, Hothiri, na Mahaziothi.
Fils d'Héman: Bukkia, Matthania, Uzziel, Shebuel, Jerimoth, Hanania, Hanani, Eliatha, Giddalti, Romamti-Ezer, Joshbekashah, Mallothi, Hothir et Mahazioth.
5 Hawa wote walikuwa wana wa Hemani mfalme wa manabii. Mungu alimpa Hemani wana kumi na nne na mabinti watatu kwa ajili ya kumpa heshima.
Tous ceux-là étaient les fils d'Héman, le voyant du roi, pour prononcer les paroles de Dieu, pour élever la corne. Dieu donna à Héman quatorze fils et trois filles.
6 Hawa wote walikuwa chini ya mwongozo wa baba yao. Walikuwa ni waimbaji katika nyumba ya Yahweh, pamoja na upatu na vifaa vya uzi walivyohudumu katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya uwangalizi wa mfalme.
Tous ceux-là étaient sous les mains de leur père pour chanter dans la maison de l'Éternel, avec des cymbales, des instruments à cordes et des harpes, pour le service de la maison de Dieu: Asaph, Jeduthun et Héman étaient sous l'ordre du roi.
7 Wao na kaka zao walikuwa na uwelewa na walifundishwa kutengeneza muziki kwa Yahweh walikuwa na idadi ya 288.
Ils étaient au nombre de deux cent quatre-vingt-huit, avec leurs frères instruits dans le chant de l'Éternel, tous ceux qui étaient habiles.
8 Walirusha kura kwa majukumu yao, wote sawa, sawa kwa vijana na kwa wazee, kwa walimua na kwa wanafunzi.
Ils tirèrent au sort leurs fonctions, tous pareils, le petit comme le grand, le maître comme l'élève.
9 Sasa kuhusu wana wa Asafu: kura ya kwanza iliangukia katika familia ya Yusufu; ya pili iliangukia katika familia ya Gedalia, idadi ya watu kumi na mbili;
Le premier lot échut à Asaph, Joseph; le second à Guedalia, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
10 ya tatu iliangukia kwa Zakuri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le troisième à Zaccur, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
11 ya nne iliangukia kwa Izri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le quatrième à Izri, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
12 ya tano iliangukia kwa Nethania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le cinquième à Nethania, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
13 ya sita iliangukia kwa Bukia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le sixième à Bukkiah, ses fils et ses frères, au nombre de douze;
14 ya saba iliangukia kwa Yesharela, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le septième à Jesharela, ses fils et ses frères, au nombre de douze
15 ya nane iliangukia kwa Yeshaia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le huitième, à Jeshaiah, ses fils et ses frères, douze;
16 ya tisa iliangukia kwa Matania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le neuvième, à Mattaniah, ses fils et ses frères, douze;
17 ya kumi iliangukia kwa Shimei, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le dixième, à Shimei, ses fils et ses frères, douze;
18 ya kumi na moja iliangukia kwa Azareli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le onzième, à Azarel, ses fils et ses frères, douze;
19 ya kumi na mbili iliangukia kwa Hashabia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le douzième, à Hashabiah, ses fils et ses frères, douze;
20 ya kumi na tatu iliangukia kwa Shubaeli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
pour le treizième, à Shubael, ses fils et ses frères, douze;
21 ya kumi na nne iliangukia kwa Matithia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le quatorzième, à Mattithiah, ses fils et ses frères, douze;
22 ya kumi na tano iliangukia kwa Yeromothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le quinzième, à Jeremoth, ses fils et ses frères, douze;
23 ya kumi na sita iliangukia kwa Hanania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le seizième, à Hanania, ses fils et ses frères, douze;
24 ya kumi na saba iliangukia kwa Yoshibekasha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le dix-septième, à Joshbekashah, ses fils et ses frères, douze;
25 ya kumi na nane iliangukia kwa Hanani, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le dix-huitième, à Hanani, ses fils et ses frères, douze;
26 ya kumi na tisa iliangukia kwa Malothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le dix-neuvième, à Mallothi, ses fils et ses frères, douze;
27 ya ishirini iliangukia kwa Eliatha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le vingtième, à Eliatha, ses fils et ses frères, douze;
28 ya ishirini na moja iliangukia kwa Hothiri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le vingt et unième, à Hothir, ses fils et ses frères, douze;
29 ya ishirini na mbili iliangukia kwa Gidalti, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le vingt-deuxième, à Giddalti, ses fils et ses frères, douze;
30 ya ishirini na tatu iliangukia kwa Mahaziothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
le vingt-troisième, à Mahazioth, ses fils et ses frères, douze;
31 ya ishirini na nne iliangukia kwa Romamti Eza, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili.
le vingt-quatrième, à Romamti-Ezer, ses fils et ses frères, douze.