< 1 Nyakati 25 >

1 Daudi na viongozi wa wafanyakazi wa hema la kuabudia walichaguliwa kwa kazi baadhi walikuwa wana wa Asafu, Hemani, na Yeduthuni. Wanaume hawa walitabiri kwa vinubi, vifaa vya uzi, na upatu. Hii ni orodha ya wanaume walioifanya hii kazi:
So Dauid and the captaines of the armie separated for the ministerie the sonnes of Asaph, and Heman, and Ieduthun, who should sing prophesies with harpes, with violes, and with cymbales, and their nomber was euen of the men for the office of their ministerie, to wit,
2 Kutoka wana wa Asafu: Zakuri, Yosefu, Nethania, na Asharela, wana wa Asafu, chini ya mwongozo wa Asafu, ambaye alitabiri chini ya uwangalizi wa mfalme.
Of the sonnes of Asaph, Zaccur, and Ioseph, and Nethaniah, and Asharelah the sonnes of Asaph were vnder the hand of Asaph, which sang prophesies by the commission of the King.
3 Kutoka wana wa Yeduthuni: Gedalia, Zeri, Yeshaia, Shimei, Hashabia, na Matithia, sita kwa ujumla, chini ya mwongozo wa baba yao Yeduthuni, ambaye alipiga kinubi kwa kutoa shukurani na kumsifu Yahweh.
Of Ieduthun, the sonnes of Ieduthun, Gedaliah, and Zeri, and Ieshaiah, Ashabiah and Mattithiah, six, vnder the hands of their father: Ieduthun sang prophecies with an harpe, for to giue thankes and to praise the Lord.
4 Kutoka wana wa Hemani: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na yerimothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, Romamti Ezeri, yoshibekasha, Mallothi, Hothiri, na Mahaziothi.
Of Heman, the sonnes of Heman, Bukkiah, Mattaniah, Vzziel, Shebuel, and Ierimoth, Hananiah, Hanani, Eliathah, Giddalti, and Romamtiezer, Ioshbekashah, Mallothi, Hothir, and Mahazioth.
5 Hawa wote walikuwa wana wa Hemani mfalme wa manabii. Mungu alimpa Hemani wana kumi na nne na mabinti watatu kwa ajili ya kumpa heshima.
All these were the sonnes of Heman, the Kings Seer in the wordes of God to lift vp the horne: and God gaue to Heman fourtene sonnes and three daughters.
6 Hawa wote walikuwa chini ya mwongozo wa baba yao. Walikuwa ni waimbaji katika nyumba ya Yahweh, pamoja na upatu na vifaa vya uzi walivyohudumu katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni, na Hemani walikuwa chini ya uwangalizi wa mfalme.
All these were vnder the hande of their father, singing in the house of the Lord with cymbales, violes and harpes, for the seruice of the house of God, and Asaph, and Ieduthun, and Heman were at the Kings commandement.
7 Wao na kaka zao walikuwa na uwelewa na walifundishwa kutengeneza muziki kwa Yahweh walikuwa na idadi ya 288.
So was their nomber with their brethre that were instruct in ye songs of the Lord, euen of al that were cunning, two hundreth foure score and eight.
8 Walirusha kura kwa majukumu yao, wote sawa, sawa kwa vijana na kwa wazee, kwa walimua na kwa wanafunzi.
And they cast lottes, charge against charge, aswel small as great, the cunning man as the scholer.
9 Sasa kuhusu wana wa Asafu: kura ya kwanza iliangukia katika familia ya Yusufu; ya pili iliangukia katika familia ya Gedalia, idadi ya watu kumi na mbili;
And the first lot fell to Ioseph which was of Asaph, the second, to Gedaliah, who with his brethren and his sonnes were twelue.
10 ya tatu iliangukia kwa Zakuri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The third, to Zaccur, he, his sonnes and his brethren were twelue.
11 ya nne iliangukia kwa Izri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The fourth, to Izri, he, his sonnes and his brethren twelue.
12 ya tano iliangukia kwa Nethania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The fift, to Nethaniah, he, his sonnes and his brethren twelue.
13 ya sita iliangukia kwa Bukia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The sixt, to Bukkiah, he, his sonnes and his brethren twelue.
14 ya saba iliangukia kwa Yesharela, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The seuenth, to Iesharelah, he, his sonnes and his brethren twelue.
15 ya nane iliangukia kwa Yeshaia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The eight, to Ieshaiah, he, his sonnes and his brethren twelue.
16 ya tisa iliangukia kwa Matania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The ninth, to Mattaniah, he, his sonnes and his brethren twelue.
17 ya kumi iliangukia kwa Shimei, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The tenth, to Shimei, he, his sonnes and his brethren twelue.
18 ya kumi na moja iliangukia kwa Azareli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The eleuenth, to Azareel, he, his sonnes and his brethren twelue.
19 ya kumi na mbili iliangukia kwa Hashabia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The twelft, to Ashabiah, he, his sonnes and his brethren twelue.
20 ya kumi na tatu iliangukia kwa Shubaeli, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The thirteenth, to Shubael, he, his sonnes and his brethren twelue.
21 ya kumi na nne iliangukia kwa Matithia, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The fourtenth, to Mattithiah, he, his sonnes and his brethren twelue.
22 ya kumi na tano iliangukia kwa Yeromothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The fifteenth, to Ierimoth, he, his sonnes and his brethren twelue.
23 ya kumi na sita iliangukia kwa Hanania, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The sixteenth, to Hananiah, he, his sonnes and his brethren twelue.
24 ya kumi na saba iliangukia kwa Yoshibekasha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The seuenteenth, to Ioshbekashah, he, his sonnes and his brethren twelue.
25 ya kumi na nane iliangukia kwa Hanani, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The eighteenth, to Hanani, he, his sonnes and his brethren twelue.
26 ya kumi na tisa iliangukia kwa Malothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The ninteenth, to Mallothi, he, his sonnes and his brethren twelue.
27 ya ishirini iliangukia kwa Eliatha, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The twentieth, to Eliathah, he, his sonnes and his brethren twelue.
28 ya ishirini na moja iliangukia kwa Hothiri, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The one and twentieth, to Hothir, he, his sonnes and his brethren twelue.
29 ya ishirini na mbili iliangukia kwa Gidalti, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The two and twentieth, to Giddalti, he, his sonnes and his brethren twelue.
30 ya ishirini na tatu iliangukia kwa Mahaziothi, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili;
The three and twentieth, to Mahazioth, he, his sonnes and his brethren twelue.
31 ya ishirini na nne iliangukia kwa Romamti Eza, wana wake na ndugu zake, idadi ya watu kumi na mbili.
The foure and twentieth, to Romamti-ezer, he, his sonnes and his brethren twelue.

< 1 Nyakati 25 >