< 1 Nyakati 24 >

1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Harunoğulları'nın bağlı oldukları bölükler: Harun'un oğulları: Nadav, Avihu, Elazar, İtamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Nadav'la Avihu babalarından önce, oğul sahibi olamadan öldüler. Onun için Elazar'la İtamar kâhinlik yaptılar.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
Davut Elazar soyundan Sadok'la İtamar soyundan Ahimelek'in yardımıyla Harunoğulları'nı yaptıkları göreve göre bölüklere ayırdı.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Elazaroğulları arasında İtamaroğulları'ndan daha çok önder olduğundan, buna göre bölündüler: Elazaroğulları'ndan on altı boy başı, İtamaroğulları'ndan ise sekiz boy başı çıktı.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
Gerek Elazaroğulları, gerekse İtamaroğulları arasında kutsal yerden ve Tanrı'yla ilgili hizmetlerden sorumlu önderler vardı. Bu yüzden atanmaları kayırılmaksızın kurayla yapıldı.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
Levili Netanel oğlu Yazman Şemaya, kralın ve görevlileri Kâhin Sadok, Aviyatar oğlu Ahimelek, kâhinler ve Levililer'in boy başlarının gözü önünde kura çekimini kaydetti. Kura sırayla, bir Elazar ailesinden, bir İtamar ailesinden çekildi.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
Birinci kura Yehoyariv'e düştü, İkincisi Yedaya'ya.
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
Üçüncüsü Harim'e, Dördüncüsü Seorim'e,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
Beşincisi Malkiya'ya, Altıncısı Miyamin'e,
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
Yedincisi Hakkos'a, Sekizincisi Aviya'ya,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
Dokuzuncusu Yeşu'ya, Onuncusu Şekanya'ya,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
On birincisi Elyaşiv'e, On ikincisi Yakim'e,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
On üçüncüsü Huppa'ya, On dördüncüsü Yeşevav'a,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
On beşincisi Bilga'ya, On altıncısı İmmer'e,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
On yedincisi Hezir'e, On sekizincisi Happises'e,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
On dokuzuncusu Petahya'ya, Yirmincisi Yehezkel'e,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
Yirmi birincisi Yakin'e, Yirmi ikincisi Gamul'a,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
Yirmi üçüncüsü Delaya'ya, Yirmi dördüncüsü Maazya'ya düştü.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
İsrail'in Tanrısı RAB'bin buyruğu uyarınca ataları Harun'un verdiği ilkelere göre RAB'bin Tapınağı'na gidip görev yapma sırası buydu.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Öbür Levililer: Amramoğulları'ndan Şuvael, Şuvaeloğulları'ndan Yehdeya.
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
Rehavyaoğulları'ndan önder Yişşiya.
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
Yisharoğulları'ndan Şelomot, Şelomotoğulları'ndan Yahat.
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Hevron'un oğulları: İlk oğlu Yeriya, ikincisi Amarya, üçüncüsü Yahaziel, dördüncüsü Yekamam.
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Uzziel'in oğlu: Mika. Mika'nın oğlu: Şamir.
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
Mika'nın kardeşi: Yişşiya. Yişşiya'nın oğlu: Zekeriya.
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Merarioğulları: Mahli, Muşi, Yaaziya.
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Merari'nin torunlarından Yaaziya'nın oğulları: Şoham, Zakkur, İvri.
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
Mahli'den: Elazar. Elazar'ın oğlu olmadı.
29 Wana wa Kishi: Yerameli
Kiş'ten: Kiş oğlu Yerahmeel.
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
Muşi'nin oğulları: Mahli, Eder, Yerimot. Levi soyundan gelen boylar bunlardır.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
Bunlar da kardeşleri Harunoğulları gibi, Kral Davut'un, Sadok'un, Ahimelek'in, kâhinler ve Levililer'in boy başlarının gözü önünde kura çekti. Büyük boy başları da, kardeşleri olan küçük boy başları da kura çektiler.

< 1 Nyakati 24 >