< 1 Nyakati 24 >
1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Ahora, las divisiones en que se agruparon los hijos de Aarón fueron estas: los hijos de Aarón, Nadab y Abiú, Eleazar e Itamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Pero Nadab y Abiú llegaron a su fin antes que su padre, y no tuvieron hijos; así hicieron Eleazar e Itamar el trabajo de los sacerdotes.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
Y David, con Sadoc de los hijos de Eleazar y Ahimelec de los hijos de Itamar, los repartió en sus puestos para su trabajo.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Y hubo más jefes entre los hijos de Eleazar que entre los hijos de Itamar; y así se agruparon: de los hijos de Eleazar había dieciséis, todos jefes de familia; y de los hijos de Itamar, jefes de familia, había ocho.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
Así que fueron agrupados, por decisión del Señor, uno con el otro; porque había gobernantes del lugar santo y gobernantes de la casa de Dios entre los hijos de Eleazar y los hijos de Itamar.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
Entonces Semaías, hijo de Nethanel, escriba, que era levita, escribió sus nombres por escrito: el rey estaba presente con los gobernantes, y el sacerdote Sadoc, y Ahimelec, hijo de Abiatar, y jefes de familia de los sacerdotes y los levitas; una familia tomada para Eleazar y luego una para Ithamar, y así sucesivamente.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
Y el primer nombre que salió fue el de Joiarib; el segundo jedaias;
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
El tercer Harim; el cuarto Seorim;
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
El quinto Malquias; el sexto Mijamin;
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
El séptimo Cos; el octavo Abías;
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
El noveno Jesúa; el décimo Secanías;
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
El undécimo Eliasib; el duodécimo Jaquim;
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
La decimotercera Hupa; el decimocuarto jesebeab;
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
La quinceava Bilga; la decimosexta Imer;
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
El decimoséptimo Hezir; el decimoctavo Afses;
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
El decimonoveno de Petaias; el vigésimo Hezequiel;
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
El vigésimo primero Jaquin; el vigésimo segundo Gamul;
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
El vigésimo tercer Delaía; el vigésimo cuarto Maazías.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
Así que fueron puestos en sus diferentes grupos, para tomar sus lugares en la casa del Señor, de acuerdo con las reglas establecidas por su padre Aarón, como el Señor, el Dios de Israel, le había dado órdenes.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Y del resto de los hijos de Leví: de los hijos de Amram, Subael; de los hijos de Subael, Jehdeías.
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
De los hijos de Rehabiah, Isias él mayor.
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
De los Izhar, Selomot; de los hijos de Selomot, Jahat.
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Y los hijos de Hebrón: Jerías el primero; Amarías, el segundo; Jahaziel el tercero; Jacaman, el cuarto.
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Los hijos de Uziel, Micaia; de los hijos de Miqueas, Samir.
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
El hermano de Miqueas, Isias; de los hijos de Isias, Zacarías.
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Los hijos de Merari: Mahli y Musi; Los hijos de Jaazías.
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Los hijos de Merari: de Jaazias, Soham y Zacur e Ibri.
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
De Mahli: Eleazar, que no tuvo hijos.
29 Wana wa Kishi: Yerameli
De Cis: los hijos de Kish, Jerahmeel.
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
Y los hijos de Musi: Mahli, Edar y Jerimot. Estos fueron los hijos de los levitas por sus familias.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
La selección se hizo de estos de la misma manera que de sus hermanos, los hijos de Aarón, estando presente David el rey, con Sadoc, y Ahimelec, y los jefes de familia de los sacerdotes y de los levitas.