< 1 Nyakati 24 >

1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Torej to so oddelki Aronovih sinov. Aronovi sinovi: Nadáb, Abihú, Eleazar in Itamár.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Toda Nadáb in Abihú sta umrla pred njunim očetom in nista imela otrok, zato sta duhovniško službo opravljala Eleazar in Itamár.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
David jih je razdelil, tako Cadóka izmed Eleazarjevih sinov kot Ahiméleha izmed Itamárjevih sinov, glede na njihovo opravilo v njihovi službi.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Med Eleazarjevimi sinovi pa se je našlo več vodilnih mož kakor med Itamárjevimi sinovi; in tako so bili razdeljeni. Med Eleazarjevimi sinovi je bilo šestnajst vodilnih mož iz hiše njihovih očetov in osem med Itamárjevimi sinovi, glede na hišo njihovih očetov.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
Tako so bili razdeljeni z žrebom, ena vrsta z drugo; za upravitelje svetišča in upravitelje Božje hiše so bili izmed Eleazarjevih sinov in izmed Itamárjevih sinov.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
Netanélov sin Šemajá, pisar, eden izmed Lévijevcev, jih je popisal pred kraljem, princi, duhovnikom Cadókom in Abjatárjevim sinom Ahimélehom in pred vodji očetov duhovnikov in Lévijevcev. Ena glavna družina je bila vzeta za Eleazarja in ena je bila vzeta za Itamárja.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
Torej prvi žreb je izšel za Jojaríba, drugi za Jedajája,
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
tretji za Haríma, četrti za Seoríma,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
peti za Malkijája, šesti za Mijamína,
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
sedmi za Koca, osmi za Abíja,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
deveti za Ješúa, deseti za Šehanjája,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
enajsti za Eljašíba, dvanajsti za Jakíma,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
trinajsti za Hupája, štirinajsti za Ješebába,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
petnajsti za Bilgája, šestnajsti za Imêrja,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
sedemnajsti za Hezírja, osemnajsti za Hapicéca,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
devetnajsti za Petahjája, dvajseti za Jehezkéla,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
enaindvajseti za Jahína, dvaindvajseti za Gamúla,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
triindvajseti za Delajája, štiriindvajseti za Maazjája.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
To so bili njihovi vrstni redi v njihovi službi, da pridejo v Gospodovo hišo, glede na njihov način, pod njihovim očetom Aronom, kakor mu je zapovedal Gospod, Izraelov Bog.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Preostali izmed Lévijevih sinov so bili tile: izmed Amrámovih sinov Šubaél, izmed Šubaélovih sinov Jehdejá.
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
Glede Rehabjá, izmed sinov Rehabjá je bil prvi Jišijá.
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
Izmed Jichárovcev Šelomot, izmed Šelomotovih sinov Jahat.
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Hebrónovi sinovi: prvi Jerijá, drugi Amarjá, tretji Jahaziél in četrti Jekamám.
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Izmed Uziélovih sinov Miha, izmed Mihovih sinov Šamír.
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
Mihov brat je bil Jišijá, izmed Jišijájevih sinov Zeharjá.
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Meraríjevi sinovi so bili Mahlí in Muší. Jaazijájevi sinovi: Beno.
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Merarijevi sinovi po Jaazijáju: Beno, Šohám, Zahúr in Ibri.
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
Iz Mahlíja je prišel Eleazar, ki ni imel sinov.
29 Wana wa Kishi: Yerameli
Glede Kiša: Kišev sin je bil Jerahmeél.
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
Tudi Mušíjevi sinovi: Mahlí, Eder in Jerimót. To so bili sinovi Lévijevcev po hiši njihovih očetov.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
Tudi ti so metali žrebe nasproti svojih bratov, Aronovih sinov, v prisotnosti kralja Davida, Cadóka, Ahiméleha in vodje očetov duhovnikov in Lévijevcev, celo glavnim očetom nasproti njihovim mlajšim bratom.

< 1 Nyakati 24 >