< 1 Nyakati 24 >
1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
E quanto aos filhos de Aarão, estes foram as suas divisões: os filhos de Aarão foram Nadab, e Abihu, e Eleazar e Ithamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
E morreram Nadab e Abihu antes de seu pae, e não tiveram filhos: e Eleazar e Ithamar administravam o sacerdocio.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
E David os repartiu, como tambem a Zadok, dos filhos de Eleazar, e Ahimelech, dos filhos de Ithamar, segundo o seu officio no seu ministerio.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
E achou-se que eram muitos mais os filhos de Eleazar entre os chefes de familias do que os filhos de Ithamar, quando os repartiram: dos filhos de Eleazar dezeseis chefes das casas dos paes, mas dos filhos de Ithamar, segundo as casas de seus paes, oito.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
E os repartiram por sortes, uns com os outros; porque houve maioraes do sanctuario e maioraes da casa de Deus, assim d'entre os filhos de Eleazar, como d'entre os filhos de Ithamar.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
E os registou Semaias, filho de Nathanael, o escrivão d'entre os levitas, perante o rei, e os principes, e Zadok, o sacerdote, e Ahimelech, filho de Abiathar, e os chefes dos paes entre os sacerdotes, e entre os levitas: uma d'entre as casas dos paes se tomou para Eleazar, e se tomou outra para Ithamar.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
E saiu a primeira sorte a Jojarib, a segunda a Jedaias,
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
A terceira a Harim, a quarta a Seorim,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
A quinta a Malchias, a sexta a Mihamin.
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
A setima a Hakkos, a oitava a Abias,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
A nona a Jesua, a decima a Sechanias,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
A undecima a Eliasib, a duodecima a Jakim,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
A decima terceira a Huppa, a decima quarta a Jesebeab,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
A decima quinta a Bilga, a decima sexta a Immer,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
A decima setima a Hezir, a decima oitava a Happises,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
A decima nona a Petahias, a vigesima a Jehezkel,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
A vigesima primeira a Jachin, a vigesima segunda a Gamul,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
A vigesima terceira a Delaias, a vigesima quarta a Maazias.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
O officio d'estes no seu ministerio era entrar na casa do Senhor, segundo lhes fôra ordenado por Aarão seu pae, como o Senhor Deus de Israel lhe tinha ordenado.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
E do resto dos filhos de Levi: dos filhos de Amram, Subael: dos filhos de Subael, Jehdias.
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
Quanto a Rehabias: dos filhos de Rehabias Issias era chefe;
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
Dos isharitas, Selomoth; dos filhos de Selomoth, Jahoth;
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
E dos filhos de Hebron, Jerias o primeiro, Amarias o segundo, Jahaziel o terceiro, Jekamam o quarto;
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Dos filhos de Uziel, Micha; dos filhos de Micha, Samir;
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
O irmão de Micha, Issias; dos filhos de Issias, Zacharias;
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Os filhos de Merari, Maheli e Musi; dos filhos de Jaazias, Beno;
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Os filhos de Merari de Jaazias, Beno, e Soham, e Zaccur, e Hibri;
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
De Maheli, Eleazar: e este não teve filhos.
29 Wana wa Kishi: Yerameli
Quanto a Kis: dos filhos de Kis, Jerahmeel;
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
E os filhos, de Musi, Maheli, e Eder, e Jerimoth; estes foram os filhos dos levitas, segundo as suas casas paternas.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
E tambem elles lançaram sortes egualmente com seus irmãos, os filhos de Aarão, perante o rei David, e Zadok, e Ahimelech, e os chefes dos paes entre os sacerdotes e entre os levitas: o chefe da casa dos paes e bem assim seu irmão menor.