< 1 Nyakati 24 >

1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Inilah rombongan-rombongan anak-anak Harun. Anak-anak Harun ialah Nadab, Abihu, Eleazar dan Itamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Tetapi Nadab dan Abihu mati lebih dahulu dari pada ayah mereka dengan tidak mempunyai anak laki-laki, maka yang memegang jabatan imam ialah Eleazar dan Itamar.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
Daud, bersama-sama Zadok dari bani Eleazar dan Ahimelekh dari bani Itamar, membagi-bagi mereka menurut jabatan mereka dalam penyelenggaraan ibadah.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Lalu ternyata bahwa di antara keturunan Eleazar ada lebih banyak kepala kaum dari pada di antara keturunan Itamar, sebab itu orang membagi-bagi mereka sebagai berikut: untuk bani Eleazar enam belas orang kepala puak, tetapi untuk bani Itamar delapan orang kepala puak.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
Dan orang membagi-bagi mereka dengan membuang undi tanpa mengadakan perbedaan, sebab ada "pemimpin-pemimpin kudus" dan "pemimpin-pemimpin Allah", baik di antara keturunan Eleazar maupun di antara keturunan Itamar.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
Dan Semaya bin Netaneel, panitera itu, seorang Lewi, menulis nama mereka di depan raja, di depan pembesar-pembesar, imam Zadok, Ahimelekh bin Abyatar dan di depan kepala-kepala puak para imam dan orang Lewi; setiap kali satu puak diambil dari Eleazar, dan demikian pula satu puak dari Itamar.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
Undian yang pertama jatuh pada Yoyarib; yang kedua pada Yedaya;
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
yang ketiga pada Harim; yang keempat pada Seorim;
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
yang kelima pada Malkia; yang keenam pada Miyamin;
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
yang ketujuh pada Hakos; yang kedelapan pada Abia;
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
yang kesembilan pada Yesua; yang kesepuluh pada Sekhanya;
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
yang kesebelas pada Elyasib; yang kedua belas pada Yakim;
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
yang ketiga belas pada Hupa; yang keempat belas pada Yesebeab;
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
yang kelima belas pada Bilga; yang keenam belas pada Imer;
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
yang ketujuh belas pada Hezir; yang kedelapan belas pada Hapizes;
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
yang kesembilan belas pada Petahya; yang kedua puluh pada Yehezkel;
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
yang kedua puluh satu pada Yakhin; yang kedua puluh dua pada Gamul;
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
yang kedua puluh tiga pada Delaya; yang kedua puluh empat pada Maazya.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
Itulah jabatan mereka dalam menyelenggarakan ibadah setelah mereka masuk rumah TUHAN, sesuai dengan peraturan yang diberikan kepada mereka dengan perantaraan Harun, bapa leluhur mereka, seperti yang diperintahkan kepadanya oleh TUHAN, Allah Israel.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Golongan yang masih tinggal dari bani Lewi, dari anak-anak Amram ialah Subael, dari anak-anak Subael ialah Yehdeya;
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
dari anak-anak Rehabya ialah Yisia, seorang kepala;
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
dari orang Yizhar ialah Selomot; dari anak-anak Selomot ialah Yahat.
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Anak-anak Hebron ialah Yeria, seorang kepala, Amarya, anak yang kedua, Yahaziel, anak yang ketiga, dan Yekameam, anak yang keempat.
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Anak Uziel ialah Mikha; dari anak-anak Mikha ialah Samir.
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
Saudara Mikha ialah Yisia; dari anak-anak Yisia ialah Zakharia.
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Keturunan Merari ialah Mahli dan Musi, juga anak-anak Yaazia, anaknya.
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Keturunan Merari dari pihak Yaazia, anaknya, ialah Syoham, Zakur dan Hibri.
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
Dari Mahli ialah Eleazar; dia ini tidak mempunyai anak.
29 Wana wa Kishi: Yerameli
Dari Kish: anak Kish, yakni Yerahmeel.
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
Anak-anak Musi ialah Mahli, Eder dan Yerimot. Itulah bani Lewi menurut puak mereka.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
Mereka inipun, sama seperti saudara-saudara sesuku mereka, anak-anak Harun, membuang undi di depan raja Daud, di depan Zadok, Ahimelekh dan para kepala puak, para imam dan orang Lewi. Dalam hal ini seorang kepala puak sama dengan saudaranya yang terkecil.

< 1 Nyakati 24 >