< 1 Nyakati 24 >
1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
Et quant aux enfants d'Aaron, ce sont ici leurs départements. Les enfants d'Aaron furent, Nadab, Abihu, Eléazar et Ithamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Mais Nadab et Abihu moururent en la présence de leur père, et n'eurent point d'enfants; et Eléazar et Ithamar exercèrent la sacrificature.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
Or David les distribua, savoir, Tsadoc, qui était des enfants d'Eléazar; et Ahimélec, qui était des enfants d'Ithamar, pour leurs charges, dans le service qu'ils avaient à faire.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Et quand on les distribua, on trouva un beaucoup plus grand nombre des enfants d'Eléazar pour être Chefs de famille, que des enfants d'Ithamar, y ayant eu des enfants d'Eléazar, seize Chefs, selon leurs familles, et [n'y en ayant eu que] huit, des enfants d'Ithamar, selon leurs familles.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
Et on fit leurs départements par sort, les entremêlant les uns parmi les autres; car les Gouverneurs du Sanctuaire, et les Gouverneurs [de la maison] de Dieu furent tirés tant des enfants d'Eléazar, que des enfants d'Ithamar.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
Et Sémahja fils de Nathanaël scribe, qui était de la Tribu de Lévi, les mit par écrit en la présence du Roi, des principaux [du peuple], de Tsadoc le Sacrificateur, d'Ahimélec, fils d'Abiathar, et des Chefs des pères [des familles] des Sacrificateurs, et de celles des Lévites. Le [chef] d'une maison de père se tirait pour Eléazar, et celui qui était tiré [après], se tirait pour Ithamar.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
Le premier sort donc échut à Jéhojarib, le second à Jédahia,
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
Le troisième à Harim, le quatrième à Sehorim,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
Le cinquième à Malkija, le sixième à Mijamin,
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
Le septième à Kots, le huitième à Abija,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
Le neuvième à Jésuah, le dixième à Sécania,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
L'onzième à Eliasib, le douzième à Jakim,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
Le treizième à Huppa, le quatorzième à Jésébab,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
Le quinzième à Bilga, le seizième à Immer,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
Le dix-septième à Hézir, le dix-huitième à Pitsets,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
Le dix-neuvième à Péthahja, le vingtième à Ezéchiel,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
Le vingt et unième à Jakim, et le vingt et deuxième à Gamul,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
Le vingt et troisième à Délaja, le vingt et quatrième à Mahazia.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
Tel fut leur dénombrement pour le service qu'ils avaient à faire, lorsqu'ils entraient dans la maison de l'Eternel, selon qu'il leur avait été ordonné par Aaron leur père, comme l'Eternel le Dieu d'Israël le lui avait commandé.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
Et quant aux enfants de Lévi qu'il y avait eu de reste des enfants de Hamram, il y eut Subaël, et des enfants de Subaël Jehdéja.
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
De ceux de Réhabia, des enfants, [dis-je], de Réhabia, Jisija était le premier.
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
Des Jitsharites, Sélomoth; des enfants de Sélomoth, Jahath.
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Et des enfants de Jérija, Amaria le second; Jahaziël le troisième, Jékamham le quatrième.
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
Des enfants de 'Huziël, Mica; des enfants de Mica, Samir.
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
Le frère de Mica, était Jisija; des enfants de Jisija, Zacharie.
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
Des enfants de Mérari, Mahli, et Musi. Des enfants de Jahazija, son fils.
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
Des enfants [donc] de Mérari, de Jahazija, son fils, et Soham, Zaccur et Hibri.
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
De Mahli, Eléazar, qui n'eut point de fils.
29 Wana wa Kishi: Yerameli
De Kis, les enfants de Kis, Jérahméël.
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
Et des enfants de Musi, Mahli, Héder, et Jérimoth. Ce sont là les enfants des Lévites, selon les maisons de leurs pères.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
Et ils jetèrent pareillement les sorts selon le nombre de leurs frères les enfants d'Aaron, en la présence du Roi David, de Tsadoc, et d'Ahimélec, et des Chefs des pères [des familles] des Sacrificateurs et des Lévites; les Chefs des pères [de famille] correspondant à leurs plus jeunes frères.