< 1 Nyakati 24 >
1 Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
La ordo de la Aaronidoj: la filoj de Aaron: Nadab, Abihu, Eleazar, kaj Itamar.
2 Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
Nadab kaj Abihu mortis pli frue ol ilia patro, kaj filojn ili ne havis; kaj Eleazar kaj Itamar fariĝis pastroj.
3 Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
La ordon aranĝis David, kaj Cadok el la idoj de Eleazar, kaj Aĥimeleĥ el la idoj de Itamar, laŭ iliaj oficoj ĉe ilia servado.
4 Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
Montriĝis, ke inter la idoj de Eleazar estis pli granda nombro da viroj, ol inter la idoj de Itamar. Oni dividis ilin: por la idoj de Eleazar estis dek ses ĉefoj de patrodomoj, kaj por la idoj de Itamar ok patrodomoj.
5 Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
Oni dividis ilin per lotado, ambaŭ partojn paralele, ĉar la estroj de la sanktejo kaj la estroj en la aferoj de Dio estis el la idoj de Eleazar kaj el la idoj de Itamar.
6 Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
Kaj enskribis ilin Ŝemaja, filo de Netanel, skribisto el la Levidoj, antaŭ la reĝo kaj la estroj, antaŭ la pastro Cadok, antaŭ Aĥimeleĥ, filo de Ebjatar, kaj antaŭ la ĉefoj de patrodomoj de la pastroj kaj de la Levidoj; unu loto estis por patrodomo de Eleazaridoj, kaj unu loto estis por patrodomo de Itamaridoj.
7 Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
La unua loto eliris por Jehojarib, la dua por Jedaja,
8 ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
la tria por Ĥarim, la kvara por Seorim,
9 ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
la kvina por Malkija, la sesa por Mijamin,
10 ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
la sepa por Hakoc, la oka por Abija,
11 ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
la naŭa por Jeŝua, la deka por Ŝeĥanja,
12 ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
la dek-unua por Eljaŝib, la dek-dua por Jakim,
13 ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
la dek-tria por Ĥupa, la dek-kvara por Jeŝebab,
14 ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
la dek-kvina por Bilga, la dek-sesa por Imer,
15 ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
la dek-sepa por Ĥezir, la dek-oka por Hapicec,
16 ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
la dek-naŭa por Petaĥja, la dudeka por Jeĥezkel,
17 ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
la dudek-unua por Jaĥin, la dudek-dua por Gamul,
18 ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
la dudek-tria por Delaja, la dudek-kvara por Maazja.
19 Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
Tio estis ilia ordo ĉe ilia servado, por iri en la domon de la Eternulo laŭ la preskribo donita per ilia patro Aaron, kiel ordonis al li la Eternulo, Dio de Izrael.
20 Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
La ordo por la ceteraj idoj de Levi: el la idoj de Amram: Ŝubael; el la idoj de Ŝubael: Jeĥdeja;
21 Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
ĉe Reĥabja: el la idoj de Reĥabja la unua estis Jiŝija;
22 Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
ĉe la Jicharidoj: Ŝelomot; el la filoj de Ŝelomot: Jaĥat;
23 Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
la filoj de Ĥebron: Jerija, Amarja estis la dua, Jaĥaziel la tria, Jekameam la kvara;
24 Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
el la filoj de Uziel: Miĥa; el la filoj de Miĥa: Ŝamir;
25 Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
la frato de Miĥa estis Jiŝija; el la filoj de Jiŝija: Zeĥarja;
26 Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
el la filoj de Merari: Maĥli kaj Muŝi; el la filoj de Jaazija: Beno;
27 Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
el la idoj de Merari: ĉe Jaazija: Beno, Ŝoham, Zakur, kaj Ibri;
28 Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
ĉe Maĥli: Eleazar; li ne havis filojn;
29 Wana wa Kishi: Yerameli
ĉe Kiŝ: el la filoj de Kiŝ: Jeraĥmeel;
30 wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
la filoj de Muŝi: Maĥli, Eder, kaj Jerimot. Tio estas la Levidoj laŭ iliaj patrodomoj.
31 Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.
Ili ankaŭ lotis samtempe kun siaj fratoj la Aaronidoj, antaŭ la reĝo David, Cadok, Aĥimeleĥ, kaj la ĉefoj de patrodomoj de la pastroj kaj de la Levidoj: ĉefo de patrodomo egale kun sia pli malgranda frato.