< 1 Nyakati 23 >

1 Daudi alipo kuwa mzee na kukaribia mwisho wa maisha yake, alimfanya Sulemani mwanae mfalme juu ya Israeli.
Ya David era viejo y lleno de días, y puso a Salomón, su hijo, como rey de Israel.
2 Aliwakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, na makuhani na Walawi.
Reunió a todos los príncipes de Israel, con los sacerdotes y los levitas.
3 Walawi walio kuwa miaka thelathini na zaidi walihesabiwa. Idadi ya elfu thelathini na nane.
Los levitas fueron contados de treinta años en adelante, y su número por sus encuestas, hombre por hombre, era de treinta y ocho mil.
4 Kwa hawa, elfu ishirini na nne walikuwa kusimamia kazi ya nyumba ya Yahweh, na elfu sita walikuwa maaskari na waamuzi.
David dijo: “De ellos, veinticuatro mil estaban para supervisar la obra de la casa de Yahvé, seis mil eran oficiales y jueces,
5 Elfu nne walikuwa walinzi wa lango, na elfu nne walikuwa wamsifu Yahweh na vyombo nilivyo vitengeneza vya kusifu.” Daudi akasema.
cuatro mil eran porteros, y cuatro mil alababan a Yahvé con los instrumentos que yo hacía para dar alabanza.”
6 Akawatenganisha kwenye vikundi kulingana na wana wa Levi: Gerishoni, Kohathi, na Merari.
David los dividió según los hijos de Leví: Gersón, Coat y Merari.
7 Kwa koo za uzao wa Gerishoni, kulilkuwa na Ladani na Shimei.
De los gersonitas: Ladán y Simei.
8 Palikuwa na watatu wa wana wa Ladani: Yehieli kiongozi, Zethami, na Yoeli.
Los hijos de Ladán: Jehiel el principal, Zetham y Joel, tres.
9 Palikuwa na watatu wa wana wa Shimei: Shelomothi, Hazieli, na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa koo ya Ladani.
Los hijos de Simei: Selomot, Haziel y Harán, tres. Estos fueron los jefes de familia de Ladán.
10 Palikuwa na wanne wa wana wa Shimei: Yahathi, Ziza, Yeushi, na Beria.
Los hijos de Simei: Jahat, Zina, Jeús y Beriá. Estos cuatro fueron los hijos de Simei.
11 Yahathi alikuwa mkubwa, Ziza wapili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi, hivyo walihesabiwa kama ukoo mmoja na kupangiwa kazi sawa.
Jahat fue el jefe, y Zina el segundo; pero Jeús y Beriá no tuvieron muchos hijos, por lo que se convirtieron en una casa paterna en un conteo.
12 Palikuwa na wanne wa wana wa Kohathi: Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Los hijos de Coat: Amram, Izhar, Hebrón y Uziel, cuatro.
13 Hawa walikuwa wana wa Amramu: Aruni na Musa. Aruni alichaguliwa kuandaa vitu vitakatifu, yeye na uzao wake watatoa uvumba kwa Yahweh, kumtumikia na kumpa baraka kwa jina lake.
Los hijos de Amram: Aarón y Moisés; y Aarón fue separado para que santificara las cosas más santas, él y sus hijos para siempre, para quemar incienso ante Yahvé, para servirle y para bendecir en su nombre para siempre.
14 Lakini kwa Musa mtu wa Mungu, wana wake walihesabiwa kuwa Walawi.
En cuanto a Moisés, el hombre de Dios, sus hijos fueron nombrados en la tribu de Leví.
15 Wana wa Musa walikuwa Gerishomu na Eliezeri.
Los hijos de Moisés: Gersón y Eliezer.
16 Uzao wa Gerishomu ulikuwa Shebueli mkubwa.
Los hijos de Gersón: Sebuel, el jefe.
17 Uzao wa Eliezeri alikuwa Rehabia. Eliezeri hakuwa na wana wengine, lakini Rehabia alikuwa na uzao mkubwa.
El hijo de Eliezer fue Rehabía, el jefe; y Eliezer no tuvo más hijos, pero los hijos de Rehabía fueron muy numerosos.
18 Mwana wa Izihari alikuwa Shelomithi kiongonzi.
El hijo de Izhar: Selomit, el jefe.
19 Uzao wa Hebroni ulikuwa Yeria, mkubwa, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Los hijos de Hebrón: Jeria el principal, Amarías el segundo, Jahaziel el tercero y Jekam el cuarto.
20 Wana wa Uzieli walikuwa Mika mkubwa, na Ishia wapili.
Los hijos de Uziel: Miqueas, el primero, e Isías, el segundo.
21 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Wana wa Mahili walikuwa Eleazari na Kishi.
Los hijos de Merari: Mahli y Mushi. Los hijos de Mahli: Eleazar y Kish.
22 Eleazari alikufa bila mtoto wa kiume. Alikuwa na mabinti tu. Wana wa Kishi waliwaoa.
Eleazar murió y no tuvo hijos, sino sólo hijas; y sus parientes, los hijos de Cis, las tomaron como esposas.
23 Wana wa Mushi watatu walikuwa Mahili, Ederi, na Yeremothi.
Los hijos de Mushi: Mahli, Eder y Jeremot, tres.
24 Hawa walikuwa uzao wa Lawi kuligana na koo zao. Walikuwa viongozi, wamehesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, kuanzia koo zilizo fanya kazi katika nyumba ya Yahweh, kutoka miaka ishirini na zaidi.
Estos fueron los hijos de Leví según las casas paternas, los jefes de las casas paternas de los que fueron contados individualmente, en el número de nombres por sus encuestas, que hicieron el trabajo para el servicio de la casa de Yahvé, de veinte años en adelante.
25 Kwa kuwa Daudi alisema, “Yahweh, Mungu wa Israeli, amewapa pumziko watu wake. Anafanya makao yake Yerusalemu milele.
Porque David dijo: “Yahvé, el Dios de Israel, ha dado descanso a su pueblo; y él habita en Jerusalén para siempre.
26 Walawi hawataitaji kubeba hema la kuabuadia na vifaa vyake vinavyo tumika kwenye utumishi wake.”
También los levitas ya no necesitarán llevar el tabernáculo y todos sus utensilios para su servicio.”
27 Kwa maneno ya Daudi ya mwisho Walawi walihesabiwa, miaka ishirini na kuendelea.
Porque por las últimas palabras de David fueron contados los hijos de Leví, de veinte años para arriba.
28 Wajibu wao ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh. Walikuwa washughulikie nyuani, vyumbani, utakasaji wa vitu vyote vya Yahweh, na kazi zingine katika utumishi wa nyumba ya Mungu.
Porque el deber de ellos era servir a los hijos de Aarón para el servicio de la casa de Yahvé: en los atrios, en las habitaciones y en la purificación de todas las cosas santas, en la obra del servicio de la casa de Dios;
29 Pia walishughulikia mkate wa uwepo, unga safi wa mbegu za sadaka, maandazi ya siotiwa chachu, sadaka za ngano, sadaka ziliochanganywa na mafuta, na vipimo vyote vya idadi n a ukubwa wa vitu.
también para el pan de la proposición y para la harina fina para la ofrenda, ya sea de obleas sin levadura, o de la que se cuece en la sartén, o de la que se remoja, y para todas las medidas de cantidad y tamaño;
30 Pia walisimama kila asubui kumshukuru na kumsifu Yahweh. Pia walifanya hivi jioni
y que se pusieran de pie cada mañana para dar gracias y alabar a Yahvé, y lo mismo al atardecer;
31 na kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilipo tolewa kwa Yahweh, siku ya Sabato na sherehe za mwezi mpya na siku za maakuli. Idadi iliyo pangwa, iliyo tolewa kwa amri, ilipaswa kuwa mbele ya Yahweh.
y que ofrecieran todos los holocaustos a Yahvé en los sábados, en las lunas nuevas y en las fiestas señaladas, en número conforme a la ordenanza relativa a ellas, continuamente ante Yahvé;
32 Walikuwa viongozi wa hema la kukutania, patakatifu, na kuwasaidia ndugu zao wa uzao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh.
y que cumplieran con el deber de la Tienda de Reunión, el deber del lugar santo y el deber de los hijos de Aarón sus hermanos para el servicio de la casa de Yahvé.

< 1 Nyakati 23 >