< 1 Nyakati 23 >

1 Daudi alipo kuwa mzee na kukaribia mwisho wa maisha yake, alimfanya Sulemani mwanae mfalme juu ya Israeli.
Ketika Daud sudah tua sekali ia mengangkat Salomo menjadi raja Israel.
2 Aliwakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, na makuhani na Walawi.
Raja Daud mengumpulkan semua pemimpin Israel, imam-imam dan orang Lewi,
3 Walawi walio kuwa miaka thelathini na zaidi walihesabiwa. Idadi ya elfu thelathini na nane.
lalu ia menghitung semua orang laki-laki suku Lewi yang berumur tiga puluh tahun ke atas. Semuanya ada 38.000 orang.
4 Kwa hawa, elfu ishirini na nne walikuwa kusimamia kazi ya nyumba ya Yahweh, na elfu sita walikuwa maaskari na waamuzi.
Lalu 24.000 orang di antara mereka ditugaskannya untuk menangani pekerjaan di Rumah TUHAN, 6.000 untuk mengurus administrasi dan perkara-perkara pengadilan,
5 Elfu nne walikuwa walinzi wa lango, na elfu nne walikuwa wamsifu Yahweh na vyombo nilivyo vitengeneza vya kusifu.” Daudi akasema.
4.000 untuk tugas pengawalan, dan 4.000 lagi untuk memuji TUHAN dengan alat-alat musik yang telah disediakan.
6 Akawatenganisha kwenye vikundi kulingana na wana wa Levi: Gerishoni, Kohathi, na Merari.
Daud membagi orang-orang Lewi itu dalam tiga kelompok menurut kaum mereka, yaitu kaum Gerson, Kehat dan Merari.
7 Kwa koo za uzao wa Gerishoni, kulilkuwa na Ladani na Shimei.
Gerson mempunyai dua anak laki-laki: Ladan dan Simei.
8 Palikuwa na watatu wa wana wa Ladani: Yehieli kiongozi, Zethami, na Yoeli.
Anak-anak lelaki Ladan ada tiga orang: Yehiel, Zetam dan Yoel.
9 Palikuwa na watatu wa wana wa Shimei: Shelomothi, Hazieli, na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa koo ya Ladani.
Mereka adalah kepala kaum keturunan Ladan. (Selomit, Haziel dan Haran adalah anak laki-laki Simei.)
10 Palikuwa na wanne wa wana wa Shimei: Yahathi, Ziza, Yeushi, na Beria.
Empat anak laki-laki Simei menurut urutan umur mereka adalah: Yahat, Ziza, Yeus dan Beria. Keturunan Yeus dan Beria tidak banyak, jadi mereka dianggap satu kaum.
11 Yahathi alikuwa mkubwa, Ziza wapili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi, hivyo walihesabiwa kama ukoo mmoja na kupangiwa kazi sawa.
12 Palikuwa na wanne wa wana wa Kohathi: Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Kehat mempunyai empat anak laki-laki: Amram, Yizhar, Hebron dan Uziel.
13 Hawa walikuwa wana wa Amramu: Aruni na Musa. Aruni alichaguliwa kuandaa vitu vitakatifu, yeye na uzao wake watatoa uvumba kwa Yahweh, kumtumikia na kumpa baraka kwa jina lake.
Amram adalah ayah Harun dan Musa. (Harun dan keturunannya untuk selama-lamanya telah dikhususkan untuk mengurus perkakas-perkakas ibadat, membakar dupa bagi TUHAN, melayani TUHAN dan memberkati rakyat atas nama TUHAN.
14 Lakini kwa Musa mtu wa Mungu, wana wake walihesabiwa kuwa Walawi.
Anak-anak lelaki Musa hamba Allah itu digolongkan ke dalam suku Lewi.)
15 Wana wa Musa walikuwa Gerishomu na Eliezeri.
Musa mempunyai dua anak laki-laki, yaitu Gersom dan Eliezer.
16 Uzao wa Gerishomu ulikuwa Shebueli mkubwa.
Yang menjadi pemimpin anak-anak Gersom ialah Sebuel.
17 Uzao wa Eliezeri alikuwa Rehabia. Eliezeri hakuwa na wana wengine, lakini Rehabia alikuwa na uzao mkubwa.
Eliezer mempunyai hanya seorang anak laki-laki, namanya Rehabya. Tetapi Rehabya mempunyai banyak sekali anak.
18 Mwana wa Izihari alikuwa Shelomithi kiongonzi.
Yizhar, anak Kehat yang kedua, mempunyai anak laki-laki bernama Selomit; ia adalah kepala kaum.
19 Uzao wa Hebroni ulikuwa Yeria, mkubwa, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Hebron, anak Kehat yang ketiga, mempunyai empat anak laki-laki: Yeria yang tertua, berikut Amarya, Yehaziel dan Yekameam.
20 Wana wa Uzieli walikuwa Mika mkubwa, na Ishia wapili.
Uziel, anak Kehat yang keempat, mempunyai dua anak laki-laki: Mikha yang tertua, dan Yisia.
21 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Wana wa Mahili walikuwa Eleazari na Kishi.
Merari mempunyai dua anak laki-laki bernama Mahli dan Musi. Mahli mempunyai dua anak laki-laki, yaitu Eleazar dan Kish,
22 Eleazari alikufa bila mtoto wa kiume. Alikuwa na mabinti tu. Wana wa Kishi waliwaoa.
tetapi Eleazar meninggal tanpa mempunyai anak laki-laki; hanya anak-anak perempuan yang kawin dengan saudara-saudara sepupu mereka, yaitu anak-anak Kish.
23 Wana wa Mushi watatu walikuwa Mahili, Ederi, na Yeremothi.
Musi, anak Merari yang kedua, mempunyai tiga anak laki-laki: Mahli, Eder dan Yeremot.
24 Hawa walikuwa uzao wa Lawi kuligana na koo zao. Walikuwa viongozi, wamehesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, kuanzia koo zilizo fanya kazi katika nyumba ya Yahweh, kutoka miaka ishirini na zaidi.
Itulah nama-nama keturunan Lewi yang tercatat menurut nama kepala kaum dan keluarganya masing-masing. Mereka berumur dua puluh tahun ke atas dan mendapat tugas di Rumah TUHAN.
25 Kwa kuwa Daudi alisema, “Yahweh, Mungu wa Israeli, amewapa pumziko watu wake. Anafanya makao yake Yerusalemu milele.
Daud berkata, "TUHAN Allah Israel telah memberikan ketentraman kepada umat-Nya, dan Ia sendiri tinggal di Yerusalem untuk selama-lamanya.
26 Walawi hawataitaji kubeba hema la kuabuadia na vifaa vyake vinavyo tumika kwenye utumishi wake.”
Karena itu, Kemah TUHAN dan semua perkakas yang dipakai untuk ibadat tidak perlu lagi dipikul oleh orang Lewi."
27 Kwa maneno ya Daudi ya mwisho Walawi walihesabiwa, miaka ishirini na kuendelea.
Berdasarkan perintah-perintah terakhir dari Daud, semua orang Lewi, apabila sudah berumur 20 tahun, harus didaftarkan untuk bertugas.
28 Wajibu wao ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh. Walikuwa washughulikie nyuani, vyumbani, utakasaji wa vitu vyote vya Yahweh, na kazi zingine katika utumishi wa nyumba ya Mungu.
Mereka harus membantu imam-imam keturunan Harun dalam menyelenggarakan upacara ibadat di Rumah TUHAN, memelihara pelataran-pelataran dan kamar-kamar di Rumah TUHAN itu, serta menjaga supaya segala sesuatu yang sudah dikhususkan untuk TUHAN tidak menjadi najis.
29 Pia walishughulikia mkate wa uwepo, unga safi wa mbegu za sadaka, maandazi ya siotiwa chachu, sadaka za ngano, sadaka ziliochanganywa na mafuta, na vipimo vyote vya idadi n a ukubwa wa vitu.
Mereka juga bertanggung jawab atas yang berikut ini: roti yang dipersembahkan kepada Allah, tepung yang dipakai untuk persembahan kepada TUHAN, kue tipis yang dibuat tanpa ragi, kurban panggangan, dan tepung yang dicampur dengan minyak zaitun. Mereka harus juga menimbang dan menakar persembahan-persembahan yang dibawa ke Rumah TUHAN.
30 Pia walisimama kila asubui kumshukuru na kumsifu Yahweh. Pia walifanya hivi jioni
Selain itu mereka harus menyanyi untuk memuji TUHAN setiap pagi dan setiap malam;
31 na kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilipo tolewa kwa Yahweh, siku ya Sabato na sherehe za mwezi mpya na siku za maakuli. Idadi iliyo pangwa, iliyo tolewa kwa amri, ilipaswa kuwa mbele ya Yahweh.
juga setiap waktu apabila ada kurban yang dibakar untuk TUHAN pada hari Sabat, pada perayaan Bulan Baru, dan pada perayaan-perayaan lainnya. Mengenai jumlah orang Lewi yang harus bertugas setiap kali, telah juga dibuat peraturannya. Untuk selama-lamanya orang Lewi harus melaksanakan tugas itu.
32 Walikuwa viongozi wa hema la kukutania, patakatifu, na kuwasaidia ndugu zao wa uzao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh.
Mereka diberi juga tanggung jawab untuk memelihara Kemah TUHAN serta Rumah TUHAN dan untuk membantu saudara-saudara mereka, yaitu para imam keturunan Harun, dalam menyelenggarakan ibadat di tempat itu.

< 1 Nyakati 23 >