< 1 Nyakati 23 >

1 Daudi alipo kuwa mzee na kukaribia mwisho wa maisha yake, alimfanya Sulemani mwanae mfalme juu ya Israeli.
David was a very old man [DOU] when he appointed his son Solomon to be the next king.
2 Aliwakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, na makuhani na Walawi.
David gathered the leaders of Israel and the priests and other descendants of Levi.
3 Walawi walio kuwa miaka thelathini na zaidi walihesabiwa. Idadi ya elfu thelathini na nane.
He [commanded some of his officials to] count the descendants of Levi who were at least thirty years old, and they found out that there were 38,000 of them.
4 Kwa hawa, elfu ishirini na nne walikuwa kusimamia kazi ya nyumba ya Yahweh, na elfu sita walikuwa maaskari na waamuzi.
Then David said, “From those 38,000 men, I want 24,000 of them to supervise the work at the temple of Yahweh, and I want 6,000 of them to be officials and judges.
5 Elfu nne walikuwa walinzi wa lango, na elfu nne walikuwa wamsifu Yahweh na vyombo nilivyo vitengeneza vya kusifu.” Daudi akasema.
I want 4,000 to be guards at the gates, and 4,000 to praise Yahweh, using the musical instruments that I have provided for them.”
6 Akawatenganisha kwenye vikundi kulingana na wana wa Levi: Gerishoni, Kohathi, na Merari.
David divided the descendants of Levi into three family groups; each group consisted of men who were descendants of one of the three sons of Levi—Gershon, Kohath, and Merari.
7 Kwa koo za uzao wa Gerishoni, kulilkuwa na Ladani na Shimei.
From the descendants of Gershon there were Ladan and Shimei.
8 Palikuwa na watatu wa wana wa Ladani: Yehieli kiongozi, Zethami, na Yoeli.
There were three sons of Ladan: Jehiel was the oldest, and his [younger] brothers Zetham and Joel.
9 Palikuwa na watatu wa wana wa Shimei: Shelomothi, Hazieli, na Harani. Hawa walikuwa viongozi wa koo ya Ladani.
There were three of the sons of Shimei: Shelomoth, Haziel, and Haran. They were all leaders of the clans of Ladan.
10 Palikuwa na wanne wa wana wa Shimei: Yahathi, Ziza, Yeushi, na Beria.
There were four men who were other sons of Shimei:
11 Yahathi alikuwa mkubwa, Ziza wapili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi, hivyo walihesabiwa kama ukoo mmoja na kupangiwa kazi sawa.
Jahath, who was his oldest son, and his [younger] brothers Ziza, Jeush, and Beriah. Jeush and Beriah did not have many sons, so they were counted as though they were one family.
12 Palikuwa na wanne wa wana wa Kohathi: Amramu, Izhari, Hebroni, na Uzieli.
Kohath had four sons: Amram, Izhar, Hebron, and Uzziel.
13 Hawa walikuwa wana wa Amramu: Aruni na Musa. Aruni alichaguliwa kuandaa vitu vitakatifu, yeye na uzao wake watatoa uvumba kwa Yahweh, kumtumikia na kumpa baraka kwa jina lake.
There were two sons of Amram: Aaron and Moses. Aaron and his descendants were set apart to dedicate the very holy things, to offer sacrifices to Yahweh, to serve in his presence, and to declare [to the people] what Yahweh [MTY] would do to bless them. They were to do those things forever.
14 Lakini kwa Musa mtu wa Mungu, wana wake walihesabiwa kuwa Walawi.
The sons of Moses, the man who served God [well], were counted as part of the tribe of Levi.
15 Wana wa Musa walikuwa Gerishomu na Eliezeri.
The sons of Moses were Gershom and Eliezer.
16 Uzao wa Gerishomu ulikuwa Shebueli mkubwa.
The oldest son of Gershom was Shubael.
17 Uzao wa Eliezeri alikuwa Rehabia. Eliezeri hakuwa na wana wengine, lakini Rehabia alikuwa na uzao mkubwa.
Rehabiah was the oldest son of Eliezer. Eliezer had no other sons, but Rehabiah had many sons.
18 Mwana wa Izihari alikuwa Shelomithi kiongonzi.
The oldest son of Izhar was Shelomith.
19 Uzao wa Hebroni ulikuwa Yeria, mkubwa, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
Hebron had four sons. Jeriah was his oldest son, and his [younger] brothers were Amariah, Jahaziel, and Jekameam.
20 Wana wa Uzieli walikuwa Mika mkubwa, na Ishia wapili.
Uzziel had two sons. Micah was the oldest son, and his [younger] brother was Isshiah.
21 Wana wa Merari walikuwa Mahili na Mushi. Wana wa Mahili walikuwa Eleazari na Kishi.
Merari had two sons: Mahli and Mushi. The sons of Mahli were Eleazar and Kish.
22 Eleazari alikufa bila mtoto wa kiume. Alikuwa na mabinti tu. Wana wa Kishi waliwaoa.
Eleazar had no sons; he had only daughters. Their cousins, the sons of Kish, married them.
23 Wana wa Mushi watatu walikuwa Mahili, Ederi, na Yeremothi.
The three sons of Mushi were Mahli, Eder, and Jerimoth.
24 Hawa walikuwa uzao wa Lawi kuligana na koo zao. Walikuwa viongozi, wamehesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, kuanzia koo zilizo fanya kazi katika nyumba ya Yahweh, kutoka miaka ishirini na zaidi.
Those were the descendants of Levi, whose names were listed according to their families/clans. They were chosen for special jobs by (casting lots/throwing small marked stones). Each person who was at least 20 years old was listed. They all worked in the temple of Yahweh.
25 Kwa kuwa Daudi alisema, “Yahweh, Mungu wa Israeli, amewapa pumziko watu wake. Anafanya makao yake Yerusalemu milele.
David had said previously, “Yahweh, the God to whom we Israeli people belong, has enabled us to have peace, and he [has come to] live in Jerusalem forever.
26 Walawi hawataitaji kubeba hema la kuabuadia na vifaa vyake vinavyo tumika kwenye utumishi wake.”
Therefore, the descendants of Levi no longer need to carry the Sacred Tent and the items used in the work there.”
27 Kwa maneno ya Daudi ya mwisho Walawi walihesabiwa, miaka ishirini na kuendelea.
Obeying the final instructions of David [before he died, instructions for doing this work at the temple], they counted only the descendants of Levi who were at least 20 years old.
28 Wajibu wao ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh. Walikuwa washughulikie nyuani, vyumbani, utakasaji wa vitu vyote vya Yahweh, na kazi zingine katika utumishi wa nyumba ya Mungu.
The work of those descendants of Levi was to assist the descendants of Aaron in their work in the temple of Yahweh: To be in charge of the temple courtyards and the side rooms, the ceremonies for purifying all the sacred things, and to do other work at the temple.
29 Pia walishughulikia mkate wa uwepo, unga safi wa mbegu za sadaka, maandazi ya siotiwa chachu, sadaka za ngano, sadaka ziliochanganywa na mafuta, na vipimo vyote vya idadi n a ukubwa wa vitu.
They were also in charge of the sacred loaves of bread that were placed [each week] on the table [in the temple], the flour for the grain offerings, the wafers that were made without yeast, and the measuring the ingredients and mixing them and baking that bread and those wafers.
30 Pia walisimama kila asubui kumshukuru na kumsifu Yahweh. Pia walifanya hivi jioni
They were also told to stand every morning [at the temple] and thank Yahweh and praise him. They were also required to do the same thing every evening.
31 na kila wakati sadaka ya kuteketezwa ilipo tolewa kwa Yahweh, siku ya Sabato na sherehe za mwezi mpya na siku za maakuli. Idadi iliyo pangwa, iliyo tolewa kwa amri, ilipaswa kuwa mbele ya Yahweh.
And they were to do the same thing whenever offerings that were to be completely burned [on the altar] were presented/offered to Yahweh on Sabbath days and during the new moon celebrations and other religious festivals. They were told how many of them should be there and what they should do each time.
32 Walikuwa viongozi wa hema la kukutania, patakatifu, na kuwasaidia ndugu zao wa uzao wa Aruni katika utumishi wa nyumba ya Yahweh.
So the descendants of Levi did the work that was assigned to them by their fellow Israelis who were descendants of Aaron. They did that work in the area surrounding the Sacred Tent, and in the Sacred Tent, and [later] at the temple.

< 1 Nyakati 23 >