< 1 Nyakati 20 >

1 Ikaja kuwa wakati wa mvua, kipindi wafalme uenda vitani, Yoabu akaongaza jeshi kwenda kupambana na kusikitisha nchi ya Waamoni. Alienda na kuteka Raba. Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu alishambulia Raba na kuishinda.
Ja kuin ajastaika kulunut oli siihen aikaan kuin kuninkaat lähtevät ulos, johdatti Joab sotajoukon ja hävitti Ammonin lasten maan, tuli ja piiritti Rabban; mutta David oli Jerusalemissa. Ja Joab löi Rabban ja kukisti sen.
2 Daudi alichukuwa taji la mfalme wao kichwani mwake, na akagundua linauzito wa talanta moja ya dhahabu, na ndani yake kulikuwa na mawe ya thamani. Taji liliwekwa kichwani mwa Daudi, na akaleta mali nyingi za mji.
Ja David otti heidän kuninkaansa kruunun hänen päästänsä ja löysi sen painavan leiviskän kultaa, ja siinä oli kalliita kiviä, ja se pantiin Davidin päähän. Hän toi myös sangen paljon saalista kaupungista.
3 Aliwaleta watu walio kuwa ndani ya mji na kuwalazimisha wafanye kazi kwa msumeno na jembe na shoka. Daudi aliwataka watu wote wa mji kufanya kazi hii. Daudi na jeshi lote wakarudi Yerusalemu.
Mutta väen, joka siellä oli, toi hän ulos ja siirsi heidät sahoihin ja rautahaudoille ja kirvestöihin. Niin teki David kaikkein Ammonin lasten kaupunkein kanssa. Ja David palasi sitte kaiken väen kanssa Jerusalemiin.
4 Ilikuwa baada ya haya kukawa na pambano huko Gezeri na Wafilisti. Sibekai Mhushathi akamua Sipai, mmoja wa uzao wa Refaimu, na wa Filisti wakazidiwa.
Sitte nousi sota taas Gaserissa Philistealaisten kanssa. Silloin löi Sibbekai Husatilainen Sippain, joka oli Raphan lapsia, ja he lannistettiin.
5 Ikawa tena katika pambano na Wafilisti huko Gobu, kwamba Elhanani mwana wa Yari Mbethilehemu akamua Lami kaka wa Goliathi Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa kama gongo la mshonaji.
Ja vielä nousi sota Philistealaisten kanssa. Silloin löi Elhanan Jairin poika Lahemin Goljatin Gatilaisen veljen, jonka keihään varsi oli niinkuin kankaan puu.
6 Ikaja kuwa tena katika pambano lingine huko Gathi kwamba mwanaume mmoja aliye mrefu sana mwenye vidole sita kila mkono na vidole sita mguuni. Naye alikuwa pia wa uzao wa Refaimu.
Ja taas nousi sota Gatissa; siellä oli suuri mies, ja hänellä oli kuusi sormea ja kuusi varvasta, se on neljäkolmattakymmentä. Ja hän myös oli syntynyt Raphan pojista.
7 Alipo dhihaki jeshi la Israeli, Yehonadabu mwana wa Shimea, kaka wa Daudi, akamuua.
Ja hän pilkkasi Israelia; mutta Jonatan Simean poika, Davidin veljen poika, löi hänen.
8 Hawa walikuwa uzao wa Refaimu wa Gathi, na waliuawa na mkono wa Daudi na mkono wa wanajeshi wake.
Nämät olivat syntyneet Raphalle Gatissa; ja he lankesivat Davidin käden ja hänen palveliainsa kätten kautta.

< 1 Nyakati 20 >