< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
Dessa voro Israels söner: Ruben, Simeon, Levi och Juda, Isaskar och Sebulon,
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
Dan, Josef och Benjamin, Naftali, Gad och Aser.
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
Judas söner voro Er, Onan och Sela; dessa tre föddes åt honom av Suas dotter, kananeiskan. Men Er, Judas förstfödde, misshagade HERREN; därför dödade han honom.
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
Och Tamar, hans sonhustru, födde åt honom Peres och Sera, så att Judas söner voro tillsammans fem.
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
Peres' söner voro Hesron och Hamul.
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
Seras söner voro Simri, Etan, Heman, Kalkol och Dara, tillsammans fem.
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
Men Karmis söner voro Akar, som drog olycka över Israel, när han trolöst förgrep sig på det tillspillogivna.
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
Och Etans söner voro Asarja.
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
Och de söner som föddes åt Hesron voro Jerameel, Ram och Kelubai.
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
Och Ram födde Amminadab, och Amminadab födde Naheson, hövding för Juda barn.
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
Naheson födde Salma, och Salma födde Boas.
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
Boas födde Obed, och Obed födde Isai.
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
Isai födde Eliab, som var hans förstfödde, Abinadab, den andre, och Simea, den tredje,
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
Netanel, den fjärde, Raddai, den femte,
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
Osem, den sjätte, David, den sjunde.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
Och deras systrar voro Seruja och Abigail. Och Serujas söner voro Absai, Joab och Asael, tillsammans tre.
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
Och Abigail födde Amasa, och Amasas fader var ismaeliten Jeter.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
Och Kaleb, Hesrons son, födde ett barn av kvinnkön, Asuba, därtill ock Jeriot; och dessa voro henne söner: Jeser, Sobab och Ardon.
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
Och när Asuba dog, tog Kaleb Efrat till hustru åt sig, och hon födde åt honom Hur.
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
Och Hur födde Uri, och Uri födde Besalel.
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
Därefter gick Hesron in till Makirs, Gileads faders, dotter; henne tog han till hustru, när han var sextio år gammal. Och hon födde åt honom Segub.
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
Och Segub födde Jair; denne hade tjugutre städer i Gileads land.
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
Men gesuréerna och araméerna togo ifrån dem Jairs byar jämte Kenat med underlydande orter, sextio städer. Alla dessa voro söner till Makir, Gileads fader.
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
Och sedan Hesron hade dött i Kaleb-Efrata, födde Hesrons hustru Abia åt honom Ashur, Tekoas fader.
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
Och Jerameels, Hesrons förstföddes, söner voro Ram, den förstfödde, vidare Buna, Oren och Osem samt Ahia.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
Men Jerameel hade en annan hustru som hette Atara; hon var moder till Onam.
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
Och Rams, Jerameels förstföddes, söner voro Maas, Jamin och Eker.
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
Onams söner voro Sammai och Jada; och Sammais söner voro Nadab och Abisur.
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
Och Abisurs hustru hette Abihail; hon födde åt honom Aban och Molid.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
Nadabs söner voro Seled och Appaim. Seled dog barnlös.
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
Men Appaims söner voro Jisei; Jiseis söner voro Sesan; Sesans söner voro Alai.
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
Jadas, Sammais broders, söner voro Jeter och Jonatan. Jeter dog barnlös.
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
Men Jonatans söner voro Pelet och Sasa. Dessa voro Jerameels söner.
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
Men Sesan hade inga söner, utan allenast döttrar. Nu hade Sesan en egyptisk tjänare som hette Jarha.
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
Och Sesan gav sin dotter till hustru åt sin tjänare Jarha, och hon födde åt honom Attai.
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
Attai födde Natan, och Natan födde Sabad.
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
Sabad födde Eflal, och Eflal födde Obed.
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
Obed födde Jehu, och Jehu födde Asarja.
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
Asarja födde Heles, och Heles födde Eleasa.
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
Eleasa födde Sisamai, och Sisamai födde Sallum.
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
Sallum födde Jekamja, och Jekamja födde Elisama.
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
Och Kalebs, Jerameels broders, söner voro Mesa, hans förstfödde, som var Sifs fader, och Maresas, Hebrons faders, söner.
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
Men Hebrons söner voro Kora, Tappua, Rekem och Sema.
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
Sema födde Raham, Jorkeams fader. Men Rekem födde Sammai.
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
Sammais son var Maon, och Maon var Bet-Surs fader.
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
Och Efa, Kalebs bihustru, födde Haran, Mosa och Gases; och Haran födde Gases.
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
Och Jadais söner voro Regem, Jotam, Gesan, Pelet, Efa och Saaf.
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
Kalebs bihustru Maaka födde Seber och Tirhana.
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
Hon födde ock Saaf, Madmannas fader, Seva, Makbenas fader och Gibeas fader. Och Kalebs dotter var Aksa.
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
Dessa voro Kalebs söner: Hurs, Efratas förstföddes, son var Sobal Kirjat-Jearims fader,
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
vidare Salma, Bet-Lehems fader, och Haref, Bet-Gaders fader.
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
Söner till Sobal, Kirjat-Jearims fader, voro Haroe och hälften av Hammenuhot-släkten.
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
Men Kirjat-Jearims släkter voro jeteriterna, putiterna, sumatiterna och misraiterna. Från dem utgingo sorgatiterna och estaoliterna.
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
Salmas söner voro Bet-Lehem och netofatiterna, Atrot-Bet-Joab, så ock hälften av manahatiterna, sorgiterna.
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.
Och de skriftlärdes släkter, deras som bodde i Jaebes, voro tireatiterna, simeatiterna, sukatiterna. Dessa voro de kainéer som härstammade från Hammat, fader till Rekabs släkt.

< 1 Nyakati 2 >