< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
To so Izraelovi sinovi: Ruben, Simeon, Levi, Juda, Isahár, Zábulon,
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
Dan, Jožef, Benjamin, Neftáli, Gad in Aser.
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
Judovi sinovi: Er, Onán in Šelá; ki so mu bili trije rojeni od kánaanske hčere Šue. Judov prvorojenec Er pa je bil zloben v Gospodovih očeh; in ga je usmrtil.
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
Njegova snaha Tamara mu je rodila Pareca in Zeraha. Vseh Judovih sinov je bilo pet.
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
Parecova sinova: Hecrón in Hamúl.
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
Zerahovi sinovi: Zimrí, Etán, Hemán, Kalkól in Dardá. Vseh skupaj pet.
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
Karmíjevi sinovi: Ahár, povzročevalec težav Izraelu, ki se je prekršil s prekleto stvarjo.
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
Etánovi sinovi: Azarjá.
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
Tudi sinovi Hecróna, ki so mu bili rojeni: Jerahmeél, Ram, in Kelubaj.
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
Ram je zaplodil Aminadába in Aminadáb je zaplodil Nahšóna, princa Judovih otrok.
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
Nahšón je zaplodil Salmóna in Salmón je zaplodil Boaza
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
in Boaz je zaplodil Obéda in Obéd je zaplodil Jeseja
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
in Jese je zaplodil prvorojenca Eliába in drugega Abinadába in tretjega Šimá,
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
četrtega Netanéla, petega Radája,
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
šestega Ocema, sedmega Davida;
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
katerega sestri sta bili Cerúja in Abigájila. Cerújini sinovi: Abišáj, Joáb in Asaél, trije.
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
Abigájila je rodila Amasá; in Amasájev oče je bil Izmaelec Jeter.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
Hecrónov sin Kaléb je zaplodil otroke od Azúbe, svoje žene in od Jerióte. Njeni sinovi so tile: Ješer, Šobáb in Ardón.
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
Ko je bila Azúba mrtva, je Kaléb k sebi vzel Efráto, ki mu je rodila Hura.
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
Hur je zaplodil Uríja in Uríja je zaplodil Becaléla.
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
Potem je Hecrón šel v hčer Mahírja, očeta Gileáda, ki jo je poročil, ko je bil star šestdeset let in rodila mu je Segúba.
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
Segúb je zaplodil Jaíra, ki je imel triindvajset mest v deželi Gileád.
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
Od njih je vzel Gešur in Arám z Jaírovimi mesti, s Kenátom in njegovimi mesti, celó šestdeset mest. Vsi ti so pripadali sinovom Mahírja, Gileádovega očeta.
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
Potem ko je bil Hecrón v Kaléb-efrati mrtev, mu je Hecrónova žena Abíja rodila Ašhúra, očeta Tekóe.
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
Sinovi Hecrónovega prvorojenca Jerahmeéla so bili: prvorojenec Ram, Buná, Oren, Ocem in Ahíja.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
Jerahmeél je imel še drugo ženo, ki ji je bilo ime Atára; bila je Onámova mati.
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
Sinovi Jerahmeélovega prvorojenca Rama so bili: Máac, Jamín in Eker.
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
Onámova sinova sta bila: Šamáj in Jadá. In Šamájeva sinova: Nadáb in Abišúr.
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
Ime Abišúrjeve žene je bilo Abihájila in rodila mu je Ahbána in Molída.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
Nadábova sinova: Seled in Apájim, toda Seled je umrl brez otrok.
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
Apájimovi sinovi: Jiší. Jišíjev sin: Šešán. Šešánovi otroci: Ahláj.
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
Sinova Šamájevega brata Jadája: Jeter in Jonatan: in Jeter je umrl brez otrok.
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
Jonatanova sinova: Pelet in Zazá. To so bili Jerahmeélovi sinovi.
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
Torej Šešán ni imel sinov, temveč hčere. Šešán je imel služabnika, Egipčana, katerega ime je bilo Jarhá.
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
Šešán je dal svojo hčer svojemu služabniku Jarháju za ženo in rodila mu je Atája.
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
Atáj je zaplodil Natána in Natán je zaplodil Zabáda
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
in Zabád je zaplodil Eflála in Eflál je zaplodil Obéda
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
in Obéd je zaplodil Jehúja in Jehú je zaplodil Azarjája
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
in Azarjá je zaplodil Heleca in Helec je zaplodil Elasája
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
in Elasáj je zaplodil Sismája in Sismáj je zaplodil Šalúma
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
in Šalúm je zaplodil Jekamjája in Jekamjáj je zaplodil Elišamája.
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
Torej sinovi Jerahmeélovega brata Kaléba so bili njegov prvorojenec Meša, ki je bil oče Zifov; in sinovi Marešá, očeta Hebróna.
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
Hebrónovi sinovi: Korah, Tapúah, Rekem in Šemaá.
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
Šemaá je zaplodil Rahama, Jorkoámovega očeta in Rekem je zaplodil Šamája.
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
Šamájev sin je bil Maón, in Maón je bil Bet Curov oče.
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
Kalébova priležnica Efá je rodila Harána, Mocája in Gazéza; in Harán je zaplodil Gazéza.
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
Jahdájevi sinovi so: Regem, Jotám, Gešán, Pelet, Efá in Šáaf.
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
Kalébova priležnica Maáha je rodila Šeberja in Tirhanája.
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
Rodila je tudi Šáafa, očeta Madmanája, Ševája, očeta Mahbenája in očeta Gíbee: in Kalébova hči je bila Ahsa.
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
To so bili sinovi Hurovega sina Kaléba, Efrátinega prvorojenca: Šobál, oče Kirját Jearíma,
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
Salmón, oče Betlehema, Haríf, oče Bet Gadêrja.
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
Šobál, oče Kirját Jearíma, je imel sinove: Haroe in polovica Manáhatovcev.
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
Družine Kirját Jearíma: Jéterjevci, Putéjci, Šuméjci in Mišraíti; iz katerih so izšli Corčani in Eštaólci.
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
Salmónovi sinovi: Betlehem, Netófčani, Atrót, Joábova hiša in polovica Manáhatovcev in Zorovci.
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.
Družine pisarjev, ki so prebivale pri Jabécu: Tiratéjci, Šimatéjci in Suhéjci. Ti so Kenéjci, ki so prišli iz Hamáta, očeta Rehábove hiše.

< 1 Nyakati 2 >