< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
Estes são os filhos de Israel: Rúben, Simeão, Levi, Judá, Issacar, Zebulom,
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
Dã, José, Benjamim, Naftali, Gade, e Aser.
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
Os filhos de Judá foram: Er, Onã, e Selá. [Estes] três lhe nasceram de Bete-Suá, Cananeia. E Er, primogênito, de Judá, foi mau diante do Senhor, que o matou.
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
E Tamar, sua nora, lhe deu à luz Perez e a Zerá. Todos os filhos de Judá foram cinco.
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
Os filhos de Perez: Hezrom e Hamul.
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
E os filhos de Zerá: Zinri, Etã, Hemã, e Calcol, e Darda; cinco ao todo.
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
O filho de Carmi foi Acar, o perturbador de Israel, porque transgrediu naquilo que estava separado por maldiçãos.
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
O filho de Etã foi Azarias.
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
Os filhos que nasceram a Hezrom foram: Jerameel, Rão, e Quelubai.
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
E Rão gerou a Aminadabe; e Aminadabe gerou a Naasom, príncipe dos filhos de Judá;
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
E Naasom gerou a Salmom, e Salmom gerou a Boaz;
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
E Boaz gerou a Obede, e Obede gerou a Jessé;
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
E Jessé gerou a Eliabe, seu primogênito, e o segundo Abinadabe, o terceiro Simeia;
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
O quarto Natanael, o quinto Radai;
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
O sexto Ozém, o sétimo Davi;
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
As irmãs dos quais foram Zeruia e Abigail. Os filhos de Zeruia foram três: Abisai, Joabe, e Asael.
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
E Abigail deu à luz Amasa, cujo pai foi Jéter, o Ismaelita.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
E Calebe filho de Hezrom gerou de sua mulher Azuba, e de Jeriote. E os filhos dela foram: Jeser, Sobabe, e Ardom.
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
E Azuba morreu, e Calebe tmou por mulher a Efrate, a qual lhe gerou a Hur.
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
E Hur gerou a Uri, e Uri gerou a Bezalel.
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
Depois Hezrom se deitou com a filha de Maquir, pai de Gileade, a qual ele tomou por esposa quando ele tinha sessenta anos, e ela lhe gerou a Segube.
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
E Segube gerou a Jair, que teve vinte e três cidades na terra de Gileade.
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
E Gesur e Arã tomaram deles as cidades de Jair, e a Quenate com suas aldeias, sessenta cidades. Todos estes foram filhos de Maquir, pai de Gileade.
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
E depois da morte de Hezrom, em Calebe de Efrata, Abia mulher de Hezrom, lhe gerou a Asur, pai de Tecoa.
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
E os filhos de Jerameel primogênito de Hezrom foram: Rão (seu primogênito), Buna, Orém, Ozém, e Aías.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
Jerameel também teve outra mulher chamada Atara, que foi mãe de Onã.
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
E os filhos de Rão, primogênito de Jerameel, foram: Maaz, Jamim, e Equer.
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
E os filhos de Onã foram: Samai, e Jada. E os filhos de Samai: Nadabe, e Abisur.
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
E o nome da mulher de Abisur era Abiail, a qual lhe gerou a Abã e a Molide.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
E os filhos de Nadabe foram: Selede e Apaim. E Selede morreu sem filhos.
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
E o filho de Apaim foi Isi; o filho de Isi foi Sesã; e o filho de Sesã foi Alai.
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
E os filhos de Jada, irmão de Simmai, foram: Jéter e Jônatas. E Jéter morreu sem filhos.
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
E os filhos de Jônatas foram: Pelete, e Zaza. Estes foram os filhos de Jerameel.
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
E Sesã não teve filhos, mas somente filhas. E Sesã tinha um servo egípcio, cujo nome era Jará.
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
Sesã deu sua filha a seu servo Jará, e ela lhe gerou a Atai.
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
E Atai gerou a Natã, e Natã gerou a Zabade;
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
E Zabade gerou a Eflal, e Eflal gerou a Obede;
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
E Obede gerou a Jeú, e Jeú gerou a Azarias;
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
E Azarias gerou a Helez, Helez gerou a Eleasá;
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
Eleasá gerou a Sismai, e Sismai gerou a Salum;
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
E Salum gerou a Jecamias, e Jecamias gerou a Elisama.
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
Os filhos de Calebe, irmão de Jerameel, foram: Messa seu primogênito, que foi o pai de Zife; e os filhos de Maressa, pai de Hebrom.
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
E os filhos de Hebrom foram: Corá, Tapua, Requém, e Sema.
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
E Sema gerou a Raão, pai de Jorqueão; e Requém gerou a Samai.
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
E o filho de Samai foi Maom, e Maom foi pai de Bete-Zur.
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
E Efá, a concubina de Calebe, lhe gerou a Harã, Moza, e a Gazez. E Harã gerou a Gazez.
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
E os filhos de Jadai foram: Regém, Jotão, Gesã, Pelete, Efá, e Saafe.
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
Maaca, concubina de Calebe, lhe gerou a Seber, e a Tiraná.
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
Ela também deu à luz a Saafe, pai de Madmana, e a Seva, pai de Macbena e pai de Gibeá. E a filha de Calebe foi Acsa.
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
Estes foram os filhos de Calebe, filho de Hur, primogênito de Efrata: Sobal, pai de Quiriate-Jearim;
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
Salma, pai dos belemitas; e Harefe, pai de Bete-Gader.
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
E os filhos de Sobal, pai de Quiriate-Jearim foram: Haroé, a metade dos Manaatitas.
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
E as famílias de Quiriate-Jearim foram os itreus, os puteus, os sumateus, e os misraeus; destes saíram os zorateus e os estaoleus.
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
Os filhos de Salma foram: Belém, e os netofatitas, Atarote, Bete-Joabe; e da metade dos manaatitas, [e] os zoritas.
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.
E as famílias dos escribas, que habitavam em Jabez, foram os tiratitas, os simeatitas, [e] os sucatitas; estes foram os queneus que vieram de Hamate, pai da casa de Recabe.

< 1 Nyakati 2 >