< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
Cić są synowie Izraelowi: Ruben, Symeon, Lewi, i Juda, Isaschar i Zabulon,
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
Dan, Józef, i Benjamin, Neftali, Gad i Aser.
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
Synowie Judy: Her, i Onan, i Sela. Ci trzej urodzili mu się z córki Sui Chananejskiej. Ale Her, pierworodny Judy, był złym przed oczyma Pańskiemi; przetoż go zabił.
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
Tamar zasię, niewiastka jego, urodziła mu Faresa i Zarę. Wszystkich synów Judowych pięć.
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
Synowie Faresowi: Hesron i Hamuel.
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
Synowie zaś Zary: Zamry, i Etan, i Heman, i Chalkol, i Darda; wszystkich tych było pięć.
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
Asynowie Zamrego: Charmi, wnuk Acharowy, który zamięszanie uczynił w Izraelu, zgrzeszywszy kradzieżą rzeczy przeklętych.
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
Asynowie Etanowi: Azaryjasz.
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
A synowie Esronowi, którzy mu się urodzili: Jerameel, i Ram, i Chalubaj.
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
Ale Ram spłodził Aminadaba, a Aminadab spłodził Naasona, książęcia synów Judzkich.
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
A Naason spłodził Salmona, a Salmon spłodził Booza.
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
A Booz spłodził Obeda, a Obed spłodził Isajego.
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
A Isaj spłodził pierworodnego swego Elijaba, i Abinadaba wtórego, i Samma trzeciego.
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
Natanaela czwartego, Raddaja piątego.
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
Ozema szóstego, Dawida siódmego.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
A siostry ich: Sareija, i Abigail; a synowie Sarwii: Abisaj, i Joab, i Asael, trzej.
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
A Abigail urodziła Amazę, a ojciec Amazy był Jeter Ismaelczyk.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
A Kaleb, syn Hesronowy, spłodził z Azubą, małżonką swoją, i z Jeryjotą synów. A ci byli synowie jego: Jeser, i Sobab, i Ardon.
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
A gdy umarła Azuba, pojął sobie Kaleb Esratę, która mu urodziła Hura.
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
A Hur spłodził Ury, a Ury spłodził Besaleela.
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
Potem wszedł Hesron do córki Machyra, ojca Galaadowego, a pojął ją, będąc w sześćdizesiąt lat; która mu urodziła Seguba.
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
A Segub spłodził Jaira, który miał dwadzieścia trzy miast w ziemi Galaadskiej.
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
Bo wziął Giessurytom, i Assyryjczykom wsi Jairowe, i Kanat z miasteczkami jego, sześćdziesiąt miast. To wszystko pobrali synowie Machyra, ojca Galaadowego.
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
A gdy umarł Hesron w Kaleb Efrata, tedy żona Hesronowa Abija porodziła mu Assura, ojca Tekui.
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
Byli też synowie Jerameelowi, pierworodnego Hesronowego: Pierworodny Ram, po nim Buana, i Oren, i Osem z Abii.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
Miał także drugą żonę Jerameel, imieniem Atara; ta jest matka Onamowa.
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
Ale synowie Ramowi, pierworodnego Jerameelowego, byli: Maas, i Jamin, i Achar.
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
Byli też synowie Onamowi: Semaj, i Jada, a synowie Semejego: Nadad i Abisur;
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
A imię żony Abisurowej Abihail, która mu urodziła Achobbana i Molida.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
Synowie Nadabowi: Saled i Affaim; lecz Saled umarł bez potomstwa.
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
A synowie Affaimowi Jesy; a synowie Jesy Sesan, a córka Sesana Achialaj.
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
A synowie Jady, brata Semejego, Jeter i Jonatan; ale Jeter umarł bez potomstwa.
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
A synowie Jonatanowi: Falet i Zyza. Cić byli synowie Jerameelowi.
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
Lecz nie miał Sesan synów, jedno córki; miał też Sesan sługę Egipczanina, imieniem Jeracha.
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
I dał Sesan córkę Jerachowi, słudze swemu, za żonę, która mu urodziła Etaja.
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
Etaj spłodził Natana, a Natan spłodził Zabada.
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
A Zabad spłodził Efijala, a Efijal spłodził Obeda.
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
A obed spłodził Jehu, a Jehu spłodził Azaryjasza.
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
A Azaryjasz spłodził Helesa, a Heles spłodził Elasa.
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
A Elas spłodził Sysmaja, a Sysmaj spłodził Selluma.
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
A Sellum spłodził Ikamijasza, a Ikamijasz spłodził Elisama.
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
A synowie Kaleba, brata Jerameelowego: Mesa pierworodny jego, który był ojcem Zyfejczyków i synów Maresy, ojca Hebrowowego.
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
A synowie Hebronowi: Kore i Tafua, i Rechem, i Semma.
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
A Semma spłodził Rahama, syna Jerkaamowego, a Rechem spłodził Sammajego.
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
A Sammaj był synem Maonowym, a Maon był ojcem Betsurczyków.
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
Efa też, założnica Kalebowa, urodziła Harana, i Moze, i Giezeza; a Haran spłodził Giezeza.
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
A synowie Jachdajowi: Regiem, i Jotam, i Giesan, i Falet, i Efa, i Saaf,
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
Założnica zaś druga Kalebowa Maacha urodziła Sabera, i Tyrchana.
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
A żona Saafowa urodziła ojca Madmeńczyków, i Sewa, ojca Machbeńczyków, i ojca Gabaończyków; a córka Kalebowa była Achsa.
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
Cić byli synowie Kaleba, syna Hurowego, pierworodnego Efraty: Sobal, ojciec Karyjatyjarymczyków.
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
Salma, ojciec Betlehemczyków, Charef, ojciec Betgaderczyków.
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
Miał też synów Sobal, ojciec Karyjatyjarymczyków, który doglądał połowy Menuchoty.
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
A domy Karyjatyjarymskie były Jetrejczycy, i Futejczycy, i Sematejczycy, i Maserejczycy, z których też poszli Saraitowie, o Estaolitowie.
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
A synowie Salmy: Betlehemczycy, i Netofatczycy, ozdoby domu Joabowego, i połowa Manachaty, ojca Sorygo.
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.
A domy pisarzów mieszkających w Jabez: Tyryjatejczycy, Symatejczycy, Suchatejczycy. Cić są Cynejczycy, którzy poszli z Hemata, ojca domu Rechabowego.

< 1 Nyakati 2 >