< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
이스라엘의 아들은 이러하니 르우벤과, 시므온과, 레위와, 유다와, 잇사갈과, 스불론과
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
단과, 요셉과, 베냐민과, 납달리와, 갓과, 아셀이더라
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
유다의 아들은 에르와, 오난과, 셀라니 이 세 사람은 가나안 사람 수아의 딸이 유다로 말미암아 낳은 자요 유다의 맏아들 에르는 여호와 보시기에 악하였으므로 여호와께서 죽이셨고
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
유다의 며느리 다말이 유다로 말미암아 베레스와 세라를 낳았으니 유다의 아들이 모두 다섯이더라
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
베레스의 아들은 헤스론과, 하물이요
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
세라의 아들은 시므리와 에단과, 헤만과, 갈골과, 다라니 모두 다섯 사람이요
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
가르미의 아들은 아갈이니 저는 마땅히 멸할 물건으로 인하여 이스라엘을 괴롭게 한 자며
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
에단의 아들은 아사랴더라
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
헤스론의 낳은 아들은 여라므엘과, 람과, 글루배라
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
람은 암미나답을 낳았고, 암미나답은 나손을 낳았으니, 나손은 유다 자손의 방백이며
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
나손은 살마를 낳았고, 살마는 보아스를 낳았고
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
보아스는 오벳을 낳았고, 오벳은 이새를 낳았고
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
이새는 맏아들 엘리압과, 둘째로 아비나답과, 세째로 시므아와
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
네째로 느다넬과, 다섯째로 랏대와
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
여섯째로 오셈과, 일곱째로 다윗을 낳았으며
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
저희의 자매(姉妹)는 스루야와, 아비가일이라 스루야의 아들은 아비새와, 요압과 아사헬 삼형제요
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
아비가일은 아마사를 낳았으니 아마사의 아비는 이스마엘 사람 예델이었더라
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
헤스론의 아들 갈렙이 그 아내 아수바와 여리옷에게서 아들을 낳았으니 그 낳은 아들은 예셀과 소밥과 아르돈이며
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
아수바가 죽은 후에 갈렙이 또 에브랏에게 장가 들었더니 에브랏이 그로 말미암아 훌을 낳았고,
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
훌은 우리를 낳았고, 우리는 브사렐을 낳았더라
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
그 후에 헤스론이 육십세에 길르앗의 아비 마길의 딸에게 장가들어 동침하였더니 저가 헤스론으로 말미암아 스굽을 낳았으며
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
스굽은 야일을 낳았고 야일은 길르앗 땅에서 스물 세 성읍을 가졌더니
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
그술과 아람이 야일의 성읍들과 그낫과 그 성들 모두 육십을 그들에게서 빼앗았으며 저희는 다 길르앗의 아비 마길의 자손이었더라
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
헤스론의 맏아들 여라므엘의 아들은 맏아들 람과 그 다음 브나와 오렌과 오셈과 아히야며
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
여라므엘이 다른 아내가 있었으니 이름은 아다라라 저는 오남의 어미더라
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
여라므엘의 맏아들 람의 아들은 마아스와, 야민과, 에겔이요
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
오남의 아들들은 삼매와, 야다요 삼매의 아들은 나답과, 아비술이며
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
아비술의 아내의 이름은 아비하일이라 저가 그로 말미암아 아반과 몰릿을 낳았으며
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
나답의 아들은 셀렛과, 압바임이라 셀렛은 아들이 없이 죽었고
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
압바임의 아들은 이시요, 이시의 아들은 세산이요, 세산의 아들은 알래요
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
삼매의 아우 야다의 아들은 예델과, 요나단이라 예델은 아들이 없이 죽었고
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
요나단의 아들은 벨렛과, 사사라 여라므엘의 자손은 이러하며
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
세산은 아들이 없고 딸 뿐이라 그에게 야르하라 하는 애굽 종이 있는고로
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
딸을 그 종 야르하에게 주어 아내를 삼게 하였더니 저가 그로 말미암아 앗대를 낳았고,
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
앗대는 나단을 낳았고, 나단은 사밧을 낳았고,
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
사밧은 에블랄을 낳았고, 에블랄은 오벳을 낳았고,
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
오벳은 예후를 낳았고, 예후는 아사랴를 낳았고,
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
아사랴는 헬레스를 낳았고, 헬레스는 엘르아사를 낳았고,
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
엘르아사는 시스매를 낳았고, 시스매는 살룸을 낳았고,
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
살룸은 여가먀를 낳았고, 여가먀는 엘리사마를 낳았더라,
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
여라므엘의 아우 갈렙의 아들 곧 맏아들은 메사니 십의 아비요 그 아들은 마레사니 헤브론의 아비며
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
헤브론의 아들은 고라와, 답부아와, 레겜과, 세마라
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
세마는 라함을 낳았으니 라함은 요르그암의 아비며 레겜은 삼매를 낳았고,
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
삼매의 아들은 마온이라 마온은 벳술의 아비며
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
갈렙의 첩 에바는 하란과, 모사와, 가세스를 낳았고, 하란은 가세스를 낳았으며
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
야대의 아들은 레겜과, 요단과, 게산과, 벨렛과, 에바와, 사압이며
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
갈렙의 첩 마아가는 세벨과, 디르하나를 낳았고,
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
또 맛만나의 아비 사압을 낳았고 또 막베나와, 기브아의 아비 스와를 낳았으며 갈렙의 딸은 악사더라
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
갈렙의 자손 곧 에브라다의 맏아들 훌의 아들은 이러하니 기럇여아림의 아비 소발과
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
베들레헴의 아비 살마와, 벧가델의 아비 하렙이라
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
기럇여아림의 아비 소발의 자손은 하로에와, 므누홋 사람의 절반이니
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
기럇여아림 족속들은 이델 족속과, 붓 족속과, 수맛 족속과, 미스라 족속이라 이로 말미암아 소라와 에스다올 두 족속이 나왔으며
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
살마의 자손들은 베들레헴과 느도바 족속과, 아다롯벳 요압과, 마하낫 족속의 절반과 소라 족속과
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
야베스에 거한 서기관 족속 곧 디랏 족속과, 시므앗 족속과, 수갓 족속이니 이는 다 레갑의 집 조상 함맛에게서 나온 겐 족속이더라
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.

< 1 Nyakati 2 >