< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
these son: child Israel Reuben Simeon Levi and Judah Issachar and Zebulun
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
Dan Joseph and Benjamin Naphtali Gad and Asher
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
son: child Judah Er and Onan and Shelah three to beget to/for him from Bath (Shua) Shua [the] Canaanite and to be Er firstborn Judah bad: evil in/on/with eye: seeing LORD and to die him
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
and Tamar daughter-in-law his to beget to/for him [obj] Perez and [obj] Zerah all son: child Judah five
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
son: child Perez Hezron and Hamul
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
and son: child Zerah Zimri and Ethan and Heman and Calcol and Dara all their five
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
and son: child Carmi Achan to trouble Israel which be unfaithful in/on/with devoted thing
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
and son: child Ethan Azariah
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
and son: child Hezron which to beget to/for him [obj] Jerahmeel and [obj] Ram and [obj] Chelubai
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
and Ram to beget [obj] Amminadab and Amminadab to beget [obj] Nahshon leader son: child Judah
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
and Nahshon to beget [obj] Salmon and Salmon to beget [obj] Boaz
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
and Boaz to beget [obj] Obed and Obed to beget [obj] Jesse
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
and Jesse to beget [obj] firstborn his [obj] Eliab and Abinadab [the] second and Shimea [the] third
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
Nethanel [the] fourth Raddai [the] fifth
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
Ozem [the] sixth David [the] seventh
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
(and sister their *Q(k)*) Zeruiah and Abigail and son: child Zeruiah Abishai and Joab and Asahel Asahel three
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
and Abigail to beget [obj] Amasa and father Amasa Jether [the] Ishmaelite
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
and Caleb son: child Hezron to beget [obj] Azubah woman: wife and with Jerioth and these son: child her Jesher and Shobab and Ardon
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
and to die Azubah and to take: marry to/for him Caleb [obj] Ephrathah and to beget to/for him [obj] Hur
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
and Hur to beget [obj] Uri and Uri to beget [obj] Bezalel
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
and after to come (in): come Hezron to(wards) daughter Machir father Gilead and he/she/it to take: marry her and he/she/it son: aged sixty year and to beget to/for him [obj] Segub
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
and Segub to beget [obj] Jair and to be to/for him twenty and three city in/on/with land: country/planet [the] Gilead
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
and to take: take Geshur and Aram [obj] Havvoth-jair Havvoth-jair from with them [obj] Kenath and [obj] daughter: village her sixty city all these son: descendant/people Machir father Gilead
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
and after death Hezron in/on/with Caleb Caleb and woman: wife Hezron `his father` and to beget to/for him [obj] Ashhur father Tekoa
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
and to be son: child Jerahmeel firstborn Hezron [the] firstborn Ram and Bunah and Oren and Ozem Ahijah
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
and to be woman: wife another to/for Jerahmeel and name her Atarah he/she/it mother Onam
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
and to be son: child Ram firstborn Jerahmeel Maaz and Jamin and Eker
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
and to be son: child Onam Shammai and Jada and son: child Shammai Nadab and Abishur
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
and name woman: wife Abishur Abihail and to beget to/for him [obj] Ahban and [obj] Molid
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
and son: child Nadab Seled and Appaim and to die Seled not son: child
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
and son: child Appaim Ishi and son: child Ishi Sheshan and son: child Sheshan Ahlai
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
and son: child Jada brother: male-sibling Shammai Jether and Jonathan and to die Jether not son: child
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
and son: child Jonathan Peleth and Zaza these to be son: descendant/people Jerahmeel
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
and not to be to/for Sheshan son: child that if: except if: except daughter and to/for Sheshan servant/slave Egyptian and name his Jarha
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
and to give: give Sheshan [obj] daughter his to/for Jarha servant/slave his to/for woman: wife and to beget to/for him [obj] Attai
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
and Attai to beget [obj] Nathan and Nathan to beget [obj] Zabad
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
and Zabad to beget [obj] Ephlal and Ephlal to beget [obj] Obed
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
and Obed to beget [obj] Jehu and Jehu to beget [obj] Azariah
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
and Azariah to beget [obj] Helez and Helez to beget [obj] Eleasah
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
and Eleasah to beget [obj] Sismai and Sismai to beget [obj] Shallum
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
and Shallum to beget [obj] Jekamiah and Jekamiah to beget [obj] Elishama
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
and son: child Caleb brother: male-sibling Jerahmeel Mareshah firstborn his he/she/it father Ziph and son: child Mareshah father Hebron
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
and son: child Hebron Korah and Tappuah and Rekem and Shema
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
and Shema to beget [obj] Raham father Jorkeam and Rekem to beget [obj] Shammai
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
and son: child Shammai Maon and Maon father Beth-zur Beth-zur
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
and Ephah concubine Caleb to beget [obj] Haran and [obj] Moza and [obj] Gazez and Haran to beget [obj] Gazez
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
and son: child Jahdai Regem and Jotham and Geshan and Pelet and Ephah and Shaaph
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
concubine Caleb Maacah to beget Sheber and [obj] Tirhanah
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
and to beget Shaaph father Madmannah [obj] Sheva father Machbenah and father Gibea and daughter Caleb Achsah
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
these to be son: descendant/people Caleb son: child Hur firstborn Ephrathah Shobal father Kiriath-jearim Kiriath-jearim
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
Salma father Bethlehem Bethlehem Hareph father Beth-gader Beth-gader
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
and to be son: descendant/people to/for Shobal father Kiriath-jearim Kiriath-jearim Haroeh half [the] Menuhoth
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
and family Kiriath-jearim Kiriath-jearim [the] Ithrite and [the] Puthite and [the] Shumathite and [the] Mishraite from these to come out: produce [the] Zorathite and [the] Eshtaolite
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
son: descendant/people Salma Bethlehem Bethlehem and Netophathite Atroth-beth-joab Atroth-beth-joab Atroth-beth-joab and half [the] Manahathite [the] Zorathite
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.
and family secretary (to dwell *Q(K)*) Jabez Tirathite Shimeathite Sucathites they(masc.) [the] Kenite [the] to come (in): come from Hammath father house: household Rechab

< 1 Nyakati 2 >