< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
Isarel imthung hateh Reuben, Simeon, Levih, Judah, Issakhar hoi Zebulun,
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
Dan, Joseph, Benjamin, Naphtali, Gad hoi Asher.
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
Judah casaknaw teh: Er, Onan hoi Shelah. Hate kathum touh teh Kanaan napui Bathshua hoi a sak e naw doeh. Er teh Judah e camin lah ao ei, BAWIPA mithmu vah tamikathout lah ao dawkvah a due sak.
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
A langa Tamar ni hai ahni hanlah Perez hoi Zerah a khe pouh dawkvah, Judah casak heh abuemlah panga touh a pha awh.
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
Perez casaknaw teh: Khetsron hoi Hamul.
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
Zerah casaknaw teh: Zimri, Ethan, Heman, Khalkol hoi Dara hoi abuemlah panga touh a pha awh.
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
Karmi casak teh Akhar doeh. Isarelnaw runae ka poe e, thoebo e ka parawt e Akhan doeh.
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
Ethan casak Azariah.
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
Khetsron casak Jerahmeel ni ahni hanlah Ram hoi Khelubai a sak pouh.
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
Ram ni Amminadab a sak. Amminadab ni Judah casak khobawi Nahshon a sak.
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
Nahshon ni Salma hah a sak teh Salma ni Boaz hah a sak.
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
Boaz ni Obed a sak teh Obed ni Jesi a sak.
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
Jesi ni a camin Eliab a sak. Apâhni lah Abinadab, apâthum lah Shimea,
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
apali nah Nethanel, apanga nah Raddai,
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
ataruk nah Ozem, asari nah Devit a sak.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
A tawncanu hai ao teh Zeruiah hoi Abigail heh a tawncanu doeh. Zeruiah casak Abishai, Joab, Asahel hoi kathum touh a pha awh.
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
Abigail ni Amasa a sak. Amasa na pa teh Ishmael Jether doeh.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
Khetsron capa Kaleb ni a yu Azubah hoi Jerioth koehoi ca a sak. Ahnie canaw teh: Jesher, Shobab hoi Ardon.
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
Azubah a due hoi Kaleb ni Epharath hah ama koe a la teh ahni hanlah Hur a sak pouh.
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
Hur ni Uri hah a sak teh Uri ni Bezalel a sak.
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
Hahoi Khetsron ni Gilead tami Makhir canu a ikhai teh, Khetsron hah a la teh kum 60 a pha toteh, Khetsron hanlah Segub a sak pouh.
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
Segub ni Jair a sak teh Gilead ram e khopui 23 touh hah ahnie lah ao.
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
Hatei, Geshur, Aram khocanaw hoi Jair, hotnaw thung hoi Kenath hoi a khotenaw, khopui 60 touh a la sin. Hotnaw pueng teh Gilead na pa Makhir casaknaw e doeh.
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
Hahoi Khetsron teh Kalebephratha kho dawk a due. Khetsron yu Abijah ni ahni hanlah Tekoa na pa Ashhur a sak pouh.
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
Khetsron e camin Jerahmeel casaknaw a camin Ram hoi Bunah, Oren hoi Ozem hoi Ahijah naw doeh.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
Jerahmeel teh a yu bout a la teh, a min teh Onam manu Atarah doeh.
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
Jerahmeel camin Ram casaknaw teh Maaz, Jamin hoi Eker naw doeh.
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
Onam casak teh Shammai hoi Jada lah ao teh Shammai casak teh Nadab hoi Abishur lah ao.
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
Abishur e yu min teh Abihail doeh, ahni ni Ahban hoi Molid a sak pouh.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
Nadab casak teh Seled hoi Appaimnaw doeh, Seled teh ca sak laipalah a due.
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
Appaim casak teh Ishi, Ishi casak teh Sheshan, Sheshan casak teh Ahlai.
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
Shammai e nawngha Jada casak teh Jether hoi Jonathan lah a o, Jether teh ca sak laipalah a due.
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
Jonathan casak teh Peleth, Zaza. Hetnaw teh, Jerahmeel casak lah ao awh.
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
Sheshan teh ca tongpa awm hoeh, napuinaw dueng doeh kaawm. Sheshan koevah, Izip san, a min lah Jarha ao.
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
Sheshan ni a canu teh a san Jarha koevah a yu lah a poe dawkvah ahni hanlah Attai a sak pouh.
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
Attai ni Nathan a sak teh Nathan ni Zabad a sak.
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
Zabad ni Ephlal a sak teh Ephlal ni Obed a sak.
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
Obed ni Jehu a sak teh Jehu ni Azariah a sak.
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
Azariah ni Helez a sak teh Helez ni Eleasah a sak.
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
Eleasah ni Sismai a sak teh Sismai ni Shallum a sak.
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
Shallum ni Jekamiah a sak teh Jekamiah ni Elishama a sak.
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
Jerahmeel nawngha Kaleb casak Ziph na pa Mesha hah a camin teh Mareshah casak Hebron na pa lah ao.
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
Hebron casak teh Korah, Tappuah, Rekem hoi Shema doeh.
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
Shema ni Jorkeam na pa Raham a sak teh Rekem ni Shammai a sak.
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
Shammai casak Moan doeh, Maon teh Bethzur na pa doeh.
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
Kaleb e ado Ephah ni Haran, Moza hoi Gazez a sak. Haran ni Gazez a sak.
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
Jahdai casak teh Regem, Jotham, Geshan, Pelet, Ephah hoi Shaaph doeh.
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
Kaleb e ado Maakah ni Sheber hoi Tirhannah a sak.
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
Madmannah na pa Shaaph, Makhbena na pa Sheva hoi Gibea na pa hai a sak. Aksah heh Kaleb canu doeh.
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
Hetnaw heh Kaleb casak lah ao awh. Hur casak a camin lah Epharath lah ao teh, Kiriathjearim na pa Shobal.
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
Bethlehem na pa Salma, Bethgader na pa Hareph hai ao.
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
Kiriathjearim na pa Shobal casak thung hoi Manahati tangawn, Haroehnaw hai ao rah.
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
Kiriathjearim casak dawkvah Ithrite hoi Puthit, Shumati, Mishraitinaw ao awh teh, hetnaw koehoi Zorath hoi Eshtaol lah a tâco.
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
Salma casak Bethlehem, Netophah, Atrothbethjoab hoi Manahati tangawn Zorithnaw hah doeh.
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.
Cakathutkungnaw casak lah kaawm e teh Jabez, Tirathites, Shimeathi hoi Shukathi doeh. Hetnaw heh Rekhab imthung e a na pa Khammath koehoi ka tâcawt e Keninaw doeh.

< 1 Nyakati 2 >