< 1 Nyakati 2 >

1 Hawa ndio wana wa Israeli: Reubeni, Simioni, Lawi, Yuda, Isakari, Zebuloni,
Israel koca rhoek he tah Reuben, Simeon, Levi, Judah, Issakhar neh Zebulun.
2 Dani, Yusufu, Benyamini, Naftali, Gadi, na Asheri.
Dan, Joseph, Benjamin, Naphtali, Gad neh Asher.
3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela, ambao walizaliwa na binti wa Shua, Wakanaani. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa muovu katika macho ya Yahweh, na Yahweh akamwua.
Judah koca la Er, Onan neh Shelah om. Anih ham Kanaan nu Bathshua loh pathum a sak. Er tah Judah caming la om dae BOEIPA mikhmuh ah a thae dongah anih te a duek sak.
4 Tamari, mkwe wake, alimzalia Peresi na Zera. Yuda alikuwa na wana wa kiume wa tano.
A langa Tamar long khaw anih ham te Perez neh Zerah a sak pah dongah Judah koca he a pum la panga lo.
5 Wana wa Peresi walikuwa Hesroni na Hamuli.
Perez koca ah Khetsron neh Hamul.
6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Ethani, Hemani, Kalikoli na Darda, wote kwa jumla ni watano.
Zerah koca ah Zimri, Ethan, Heman, Khalkol neh Dara neh a pum la panga lo uh.
7 Mwana wa Karmi alikuwa ni Akani, aliye leta taabu katika Israeli alipo iba kile kilicho hifadhiwa kwa ajili ya Mungu.
Karmee koca Akhar loh Israel a lawn tih yaehtaboeih la boe a koek.
8 Mwana wa Ethani alikuwa Azaria.
Ethan koca ah Azariah.
9 Wana wa Hezroni walikuwa ni Yerameeli, Ramu, na Kalebu.
Khetsron koca la Jerahmeel loh anih ham te Ram neh Khelubai a sak pah.
10 Ramu akawa baba wa Aminadabu, na Aminadabu akawa baba wa Nashoni, kiongozi miongoni uzao wa Yuda.
Ram loh Amminadab a sak. Amminadab loh Judah koca kah khoboei Nahshon a sak.
11 Nashoni akawa baba wa Salmoni, na Salmon akawa baba wa Boazi.
Nahshon loh Salma te a sak tih Salma loh Boaz te a sak.
12 Boazi akawa baba wa Obedi, na Obedi akawa baba wa Yese.
Boaz loh Obed a sak tih Obed loh Jesse a sak.
13 Yese akawa baba wa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu, wa tatu Shama.
Jesse loh a caming la Eliab, a pabae ah Abinadab, a pathum ah Shimea,
14 Nethaneli wa nne, Radai wa tano.
a pali ah Nethanel, a panga ah Raddai,
15 Ozemu wa sita, na Daudi wa saba.
a parhuk ah Ozem, a parhih ah David a sak.
16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa Abishai, Yoabu, na Asaheli, jumla watatu.
A ngannu khaw om tih Zeruiah neh Abigail he a ngannu nah. Zeruiah koca ah Abishai, Joab, Asahel neh pathum lo uh.
17 Abigali akamzaa Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri Mwishmaeli.
Abigail loh Amasa a sak. Amasa napa tah Ishmael Jether ni.
18 Kalebu mwana wa Hesroni akawa baba wa watoto wa Azubu mkewe, na Yeriothi. Wanawe walikuwa Yesheri, Shobabu, na Ardoni.
Khetsron capa Kaleb loh a yuu Azubah neh Jerioth lamloh ca a sak. Anih ca rhoek he Jesher, Shobab neh Ardon.
19 Azuba akafa, na Kalebu akamuoa Efrathi, aliye mzalia Huri.
Azubah a duek neh Kaleb loh a Epharath te amah taengla a loh tih anih ham te Hur a sak pah.
20 Huri akawa baba wa Uri, na Uri akawa baba wa Besaleli.
Hur loh Uri te a sak tih Uri loh Bezalel a sak.
21 Baadae Hesroni (alipo kuwa na miaka sitini) akamuoa binti wa Makiri, baba wa Gileadi. Akamzalia Segubu.
A hnukah Khetsron te Gilead napa Makir canu taengla kun. Khetsron loh anih te a loh tih kum sawmrhuk a lo ca vaengah tah Khetsron ham te Segub a sak pah.
22 Segubu akawa baba wa Yairi, aliye miliki miji ishirini na mitatu katika nchi ya Gileadi.
Segub loh Jair a sak tih Gilead khohmuen kah khopuei pakul pathum te anih hut la om.
23 Geshuri na Aramu wakawapokonya miji ya Yairi na Kenathi, pamoja na miji sitini iliyo zunguka. Hawa wakazi wote walikuwa ni uzao wa Makiri, baba wa Gileadi.
Tedae Geshuri, Aram vangca rhoek neh Jair, te khui lamloh Kenath neh a khobuel, khopuei sawmrhuk te a loh thil. Te boeih te Gilead napa Makir koca rhoek kah ni.
24 Baada ya kifo cha Hesroni, Kalebu akalala na Efrata, mke wa baba yake Hesroni. Akamzalia Ashuri, baba wa Tekoa.
A hnukah Khetsron he Kalebephratha ah duek. Khetsron yuu Abijah loh anih ham te Tekoa napa Ashhur a sak pah.
25 Wana wa Yerameeli, mzaliwa wa kwanza wa Hesroni, walikuwa ni Ramu mzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya.
Khetsron caming Jerahmeel koca ah a caming Ram neh Bunah, Oren neh Ozem neh Ahijah om uh.
26 Yerameeli alikuwa na mke mwingine, Jina lake lilikuwa Atara. Yeye alikuwa mama wa Onamu.
Jerahmeel te a yuu tloe om tih a ming tah Onam manu Atarah ni.
27 Wana wa Ramu, mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli, walikuwa Maasi, Yamini, na Ekeri.
Jerahmeel caming Ram koca la Maaz, Jamin neh Eker om.
28 Wana wa Onamu walikuwa ni Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa ni Nadabu na Abishuri.
Onam koca la Shammai neh Jada om tih Shammai koca la Nadab neh Abishur om.
29 Jina la mke wa Abishuri lilikuwa Abihaili, na akamzalia Abani na Molidi.
Abishur yuu ming tah Abihail tih anih ham Ahban neh Molid a sak pah.
30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa pasipo watoto.
Nadab koca la Seled neh Appaim om dae Seled tah camoe om kolla duek.
31 Mwana wa Apaimu alikuwa Ishi. Mwana wa Ishi alikuwa Sheshani. Mwana wa Sheshani alikuwa Alai.
Appaim koca la Ishi, Ishi koca la Sheshan, Sheshan koca la Ahlai.
32 Wana wa Yada, kaka yake Shamai, walikuwa Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa pasipo mtoto.
Shammai mana Jada koca la Jether neh Jonathan om dae Jether tah camoe om kolla duek.
33 Wana wa Yonathani walikuwa Pelethi na Zaza. Hawa ndio uzao wa Yerameeli.
Jonathan koca la Peleth, Zaza. Te rhoek te Jerahmeel koca la om uh.
34 Sasa Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, bali wa kike pekee. Sheshani alikuwa na mtumishi, wa Kimisri, ambaye jina lake lilikuwa Yariha.
Sheshan te ca tongpa om pawt tih huta rhoek bueng om. Sheshan taengah Egypt sal, a ming ah Jarha om.
35 Sheshani alimkabidhi binti yake kwa Yariha mtumishi wake kama mke wake. Akamzalia Atai.
Sheshan loh a canu te a sal Jarha taengah a yuu la a paek dongah anih ham te Attai a sak pah.
36 Atai akawa baba wa Nathani, na Nathani akawa baba wa Zabadi.
Attai loh Nathan a sak tih Nathan loh Zabad a sak.
37 Zabadi akawa baba wa Efalali, na Afalali akawa baba wa Obedi.
Zabad loh Ephlal a sak tih Ephlal loh Obed a sak.
38 Obedi akawa baba wa Yehu, na Yehu akawa baba wa Azaria.
Obed loh Jehu a sak tih Jehu loh Azariah a sak.
39 Azaria akawa baba wa Helesi, na Helesi akawa baba wa Eleasa.
Azariah loh Helez a sak tih Helez loh Elasah a sak.
40 Eleasa akawa baba wa Sismai, na Sismai akawa baba wa Shalumu.
Elasah loh Sismai a sak tih Sismai loh Shallum a sak.
41 Shalumu akawa baba wa Yekamia, na Yekamia akawa baba wa Elishama.
Shallum loh Jekamiah a sak tih Jekamiah loh Elishama a sak.
42 Wana wa Kalebu, kaka yake Yerameeli, walikuwa ni Mesha mzaliwa wake wa kwanza, aliye kuwa baba wa Zifu. Mwanae wa pili, Maresha, allikuwa baba wa Hebroni.
Jerahmeel mana Kaleb koca ah Ziph napa Mesha he a caming tih Mareshah koca Hebron napa om.
43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema.
Hebron koca ah Korah, Tapuah, Rekem neh Shema om.
44 Shema akawa baba wa Rahamu, baba wa Yorkeamu. Rekemu akawa baba wa Shamai.
Shema loh Jorkeam napa Raham a sak tih Rekem loh Shammai a sak.
45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni, na Maoni alikuwa baba wa Bethsuri.
Shammai koca ah Moan tih Maon tah Bethzur napa ni.
46 Efa, suria wa Kalebu, alimza Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akawa baba wa Gazezi.
Kaleb yula Ephah loh Haran, Moza neh Gazez a sak. Haran loh Gazez a sak.
47 Wana wa Yadai walikuwa Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafa.
Jahdai koca ah Regem, Jotham, Geshan, Pelet, Ephah neh Shaaph om.
48 Maaka, suria wa Kalebu, alimza Sheberi na Tirhana.
Kaleb yula Maakah loh Sheber neh Tirhannah a sak.
49 Pia akamza Shaafu baba wa Madmana, Sheva baba wa Makbena na baba wa Gibea. Binti wa Kalebu alikuwa Aksa. Hawa walikuwa uzao wa Kalebu.
Madmannah napa Shaaph, Makhbenah napa Sheva neh Gibea napa khaw a sak. Akcah he Kaleb canu bal ni.
50 Hawa walikuwa wana wa Huri, mzaliwa wake wa kwanza kwa Efratha: Shobali baba wa Kiriath-Yearimu.
He rhoek he Kaleb koca la om uh. Hur koca ah a caming la Epharath tih Kiriathjearim napa Shobal.
51 Salma baba wa Bethlehemu, na Harefu baba wa Beth-gaderi.
Bethlehem napa Salma, Bethgader napa Hareph khaw om.
52 Shobali baba wa kiriath-Yearimu alikuwa na uzao: Haroe, nusu ya watu Wamenuthite,
Kiriathjearim napa Shobal koca dongah Manahati hlangvang Haroeh khaw om pueng.
53 na ukoo wa Kiriath-Yearimu: Waithri, Waputhi, Washumathi, na Wamishrai. Wasorathi na Waeshtaoli walitoka huku.
Kiriathjearim koca dongah Yitha neh Puthi, Shumati, Mishrati om tih te rhoek lamloh Zorathi neh Eshtaoi la pawk.
54 Ukoo wa Salma ulikuwa kama ufatao: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, na nusu ya Wamenuhothi na Wazori,
Salma koca ah Bethlehem, Netophah, Atrothbethjoab neh Manahati ngancawn Zorathi om.
55 ukoo wa waandishi walio ishi Yabesi: Watirathi, Washimeathi, na Wasukathi. Hawa walikuwa Wakeni walio toka katika uzao wa Hamathi, babu wa Warekabu.
Cadaek koca la aka om tah Jabez, Tirathites, Shimeathi neh Shukathi ni. Te rhoek te Rekhab imkhui kah a napa Khammath lamkah aka thoeng Keni rhoek ni.

< 1 Nyakati 2 >