< 1 Nyakati 19 >

1 Ikajakuwa baadae kwamba Nahashi, mfalme wa watu wa Amoni, akafa, na mwanae akawa mfalme baada yake.
Poslije toga umrije Nahaš, kralj Amonaca, i zakralji mu se sin na njegovo mjesto.
2 Daudi akasema, “Nitaonyesha ukarimu kwa mwana wa Hanuni wa Nahashi, kwasababu baba yake alionyesha ukarimu kwangu.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe kumfariji kuhusu baba yake. Watumishi wa Daudi wakaingia nchi ya Waamoni na kumfuata Hanuni, ilikumfariji.
David reče u sebi: “Iskazat ću ljubav Nahaševu sinu Hanunu jer je i njegov otac iskazao milost meni.” David uputi poslanike da mu izraze sućut zbog smrti njegova oca. Kad su Davidove sluge došle u zemlju Amonaca k Hanunu da mu izraze sućut,
3 Lakini viongozi wakamwambia Hanuni, “Unadhani Daudi anamheshimu baba yako sababu ametuma watu kukufaraji? Je watumishi wake hawajaja kutadhimini nchi iliwaipindue?
rekoše knezovi Amonaca Hanunu: “Zar misliš da je David poslao ljude da ti izraze sućut zato što bi htio iskazati čast tvome ocu? Nisu li zato došle njegove sluge k tebi da razvide, istraže i uhode zemlju?”
4 Hanuni akawakamata watumishi wa Daudi, akawanyoa, akakata mavazi ya nusu kwenye kiuno kushuka, na kuwarudisha.
Tada Hanun pograbi Davidove sluge i obrija ih, podreza im haljine dopola, do zadnjice, i posla ih natrag!
5 Walipo eleza haya kwa Daudi, alienda kukutana nao, kwa kuwa walifedheeka sana. Mfalme akasema, “Bakini Yeriko hadi ndevu zenu ziote tena, kisha mrudi.”
Kad su to javili Davidu, posla on čovjeka pred njih, jer su bili vrlo osramoćeni, i poruči im: “Ostanite u Jerihonu dok vam ne naraste brada pa se onda vratite.”
6 Waamoni walipoona wamekuwa kikwazo kwa Daudi, Hanuni na Waamoni walituma talanta elfu moja za fedha kukodisha magari ya farasi kwa Waaremei na wanaume wa farasi kutoka Naharaimu, Maka, na Zoba.
Kad su Amonovi sinovi vidjeli da su se omrazili s Davidom, poslao je Hanun s Amonovim sinovima tisuću srebrnih talenata da za plaću najme bojnih kola i konjanika iz Aram Naharajima, iz Aram Maake i iz Soba.
7 Waliwakodishia magari ya farasi elfu thelathini na mbili pamoja na mfalme wa Maka na watu wake, walio kuja na kueka kambi mbele ya Medeba. Waamoni walijikusanya pamoja kutoka miji yao, na wakaja kwa vita.
Najmili su za plaću trideset i dvije tisuće bojnih kola, i kralja Maake s njegovim narodom te su oni došli i utaborili se pred Medebom. Amonovi su se sinovi skupili iz svojih gradova i došli u boj.
8 Daudi alipo sikia, alimtuma Yoabu na wanajeshi wake wote.
Kad je to čuo David, poslao je Joaba sa svom svojom junačkom vojskom.
9 Watu wa Amoni walikuja na kupanga mstari kwa ajili ya pambano katika lango la mji, wafalme waliokuja walikuwa peke yao katika shamba.
Amonovi sinovi iziđoše i svrstaše se u bojni red pred gradskim vratima; a kraljevi koji su došli stajali su zasebno na polju.
10 Yoabu alipoona mistari ya pambano imemzunguka mbele na nyuma, alichagua wapambanaji shupavu wa Israeli na kuwa panga dhidi ya Waaremi.
Vidjevši postavljene bojne redove prema sebi, sprijeda i straga, Joab probra najvrsnije među Izraelcima i svrsta ih prema Aramejcima.
11 Wanajeshi wengine wote, aliwaeka chini ya Abishai kaka yake, akawapanga kwa mstari dhidi ya Amoni.
Ostalu vojsku predade bratu Abišaju da je svrsta prema Amoncima.
12 Yoabu akasema, “Kama Waaremi wananguvu kunizidi, kisha wewe, Abishai, lazima uniokoe. Lakini kama jeshi la Waamoni lina nguvu kukuzidi, nitakuja kukuokoa.
I reče mu: “Ako Aramejci budu jači od mene, onda ti meni priskoči u pomoć; ako li Amonci budu jači od tebe, ja ću tebi pohrliti u pomoć.
13 Kuwa thabiti, natujionyeshe kwa watu wetu kuwa ni wenye nguvu na kwa miji ya Mungu wetu, kwa kuwa Yahweh ata fanya lililo jema kwa kusudi lake.”
Budi hrabar i junački se držimo radi naroda i radi gradova svoga Boga; a Jahve neka učini što je dobro u njegovim očima.”
14 Hivyo Yoabu na wanajeshi wasogea kwenye pambano dhidi ya Waaremi, walio lazimika kukimbia mbele ya jeshi la Waisraeli.
Tada se Joab i vojska koja je bila s njim počeše primicati da udare na Aramejce, ali oni pobjegoše pred njima.
15 Jeshi la Waamoni walipoona kuwa Waaremi wamekimbia, wao pia wakamkimbia kaka yake Yoabu Abishai na kurudi mjini. Kisha Yoabu akarudi kutoka kwa watu wa Amoni na kurudi Yerusalemu.
Kad su Amonci vidjeli da su Aramejci pobjegli, umakoše i oni ispred njegova brata Abišaja i povukoše se u grad. Tada se Joab vrati u Jeruzalem.
16 Waaremi walipoona kuwa wanashindwa na Waisraeli, wakatuma msaada nyuma ya Mto Frati, na Shofaki mkuu wajeshi la Hadadezeri.
A Aramejci, vidjevši gdje su ih potukli Izraelci, uputili su poslanike i doveli Aramejce što su s onu stranu Rijeke, na čelu sa Šofakom, vojvodom Hadadezerove vojske.
17 Daudi alipo ambiwa haya, akakusanya Israeli yote, akuvuka Yordani, na kuja juu yao. Alipanga jeshi kwa ajili ya pambano dhidi ya Waaremi, na wakapigana nao.
Pošto su to javili Davidu, on skupi sve Izraelce i, prešavši preko Jordana, primače se Aramejcima i svrsta se prema njima; kad se David svrstao prema Aramejcima u bojni red, oni zametnuše s njime boj.
18 Waaremi waliwakimbia Waisraeli, na Daudi akaua waendesha magari ya farasi ya Waaremi elfu saba na wanajeshi wa miguu elfu arobaini. Pia alimuua Shopaki, mkuu wa jeshi.
Ali Aramejci udariše u bijeg ispred Izraelaca i David im pobi sedam tisuća konja od bojnih kola i četrdeset tisuća pješaka; pogubio je i vojvodu Šofaka.
19 Wafalme wote walio kuwa watumishi wa Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, walifanya amani na Daudi na kumtumikia. Hivyo watu wa Aramu hawakuwa tayari kuwasaidia Waamoni.
Kad Hadadezerove sluge vidješe da ih je razbio Izrael, sklopiše mir s Davidom i počeše mu služiti. A Aramejci se više nisu usuđivali pomagati Amoncima.

< 1 Nyakati 19 >