< 1 Nyakati 18 >

1 Baada ya haya Daudi akawashambulia Wafilisti na kuwashinda. Alichukuwa Gathi na vijiji vyake katika utawala wa Wafilisti.
Y después de esto, David atacó a los filisteos y los venció, y tomó a Gat con sus aldeas de las manos de los filisteos.
2 Kisha akamshinda Moabu, na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakamlipa ushuru maalumu.
Y venció a Moab, y los moabitas se convirtieron en sus sirvientes y tuvieron que dar ofrendas a David.
3 Daudi kisha akamshinda Hadadezeri, mfalme wa Zoba huko Hamathi, wakati Hadadezeri alipo kuwa akisafiri kuimarisha utawala wake kwa Mto wa Frati.
Entonces David venció a Hadadezer, rey de Soba, cerca de Hamat, cuando iba a hacer ver su poder junto al río Eufrates.
4 Daudi akateka magari ya farasi elfu, wanaume wa farasi elfu saba, na wanajeshi wa miguu elfu ishirini. Daudi aliwajeruhi farasi wote wagari, lakini akahifadhi baadhi kwa ajili ya magari ya farasi mia moja.
Y le quitó David mil carruajes de guerra, siete mil jinetes y veinte mil de infantería; y le cortaron los músculos de las patas de todos los caballos, conservando sólo lo suficiente para un centenar de carruajes de guerra.
5 Waaramia wa Damasko walipo kuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Zoba, Daudi aliua wanaume elfu ishirini na mbili wa Kiaramia.
Y cuando los sirios de Damasco acudieron en ayuda de Hadadezer, rey de Soba, David puso a filo de espada veintidós mil arameos.
6 Kisha Daudi akaweka vikosi huko Aramu ya Damasko, na Waaramia wakawa watumishi wake na wakamletea ushuru maalaumu. Yahweh alimpatia Daudi ushindi popote alipoenda.
Entonces David puso fuerzas armadas en Damasco, y los sirios se convirtieron en sus sirvientes y le dieron ofrendas. Y él Señor le dio la victoria a David dondequiera que iba.
7 Daudi alichukua ngao za dhahabu zilizo kuwa kwa watumishi wa Hadadezeri na kuleta Yerusalemu.
Y los escudos de oro de los siervos de Hadadezer, David los tomó, y los llevó a Jerusalén.
8 Kutoka Tibhathi na Kuni, miji ya Hadadezeri, Daudi alichukuwa shaba nyingi sana. Ilikuwa shaba hii ambayo baadae Sulemani alifanya saani ya shaba, nguzo, na vifaa vya shaba.
Y de Tibhat y de Cun, ciudades de Hadadezer, David tomó una gran cantidad de bronce, de los cuales Salomón hizo la gran vasija de agua de bronce y las columnas y recipientes de bronce.
9 Wakati Toi, mfalme wa Hamathi, alipo sikia kuwa Daudi ameshinda majeshi yote ya Hadadezeri mfalme wa Zoba,
Cuando Toi, rey de Hamat, tuvo noticias de que David había vencido a todo el ejército de Hadadezer, rey de Sobá,
10 Toi akamtuma Hadoramu mwanae kwa Mfalme Daudi kumsalimia na kumbariki, kwasababu Daudi amepigana na Hadadezeri na kumshinda, na kwasababu Hadadezeri alifanya vita na Toi. Hadoramu alipeleka vifaa vya fedha, dhahabu, na shaba.
Envió a su hijo Hadoram al rey David para darle palabras de paz y bendición, porque había vencido a Hadadezer en la lucha, porque Hadadezer había estado en guerra con Toi; y le dio todo tipo de vasos de oro, plata y bronce.
11 Mfalme Daudi alivitenga hivi vitu kwa ajili ya Yahweh, pamoja na fedha na dhahabu aliyo ibeba kutoka kwa mataifa yote: Edomu, Moabu, watu wa Amoni, Wafilisti, na Waamaleki.
Este rey David santificó al Señor, junto con la plata y el oro que había tomado de todas las naciones; de Edom y Moab y de los hijos de Amón y de los filisteos y de Amalec.
12 Abishai mwana wa Zeruia akawaua Waedomi elfu kumi na nane katika Bonde la Chumvi.
Ademas Abisai, hijo de Sarvia, derrotó a filo de espada dieciocho mil de los edomitas en el valle de la sal,
13 Alieka vikosi huko Edomu, na Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi. Yahweh alimpa Daudi ushindi pote alipoenda.
David puso fuerzas armadas en todas las ciudades de Edom; y todos los edomitas se convirtieron en siervos de David. El Señor hizo que David venciera dondequiera que iba.
14 Daudi alitawala Israeli yote, na alitenda haki na utaua kwa watu wote.
Así que David fue rey sobre todo Israel, juzgando y dando las decisiones correctas para todo su pueblo.
15 Yoabu mwana wa Zeruia walikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mtunza kumbukumbu.
Y Joab, hijo de Sarvia, era el jefe del ejército; y Josafat, hijo de Ahilud, era el guardián de los registros.
16 Zadoki mwana wa Ahitubi na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Shavisha alikuwa mwandishi.
Y Sadoc, hijo de Ahitob; y Ahimelec, el hijo de Abiatar, eran sacerdotes; y Savsa era el escriba;
17 Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwangalizi wa Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wakuu wa mfalme.
Y Benaía, hijo de Joiada, estaba sobre los cereteos y los peleteos; y los hijos de David fueron los principales de aquellos cuyos lugares estaban al lado del rey.

< 1 Nyakati 18 >