< 1 Nyakati 18 >

1 Baada ya haya Daudi akawashambulia Wafilisti na kuwashinda. Alichukuwa Gathi na vijiji vyake katika utawala wa Wafilisti.
Og det skete derefter, at David slog Filisterne og ydmygede dem, og han tog Gat og dens tilliggende Byer af Filisternes Haand.
2 Kisha akamshinda Moabu, na Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na wakamlipa ushuru maalumu.
Han slog og Moabiterne, og Moabiterne bleve Davids Tjenere og bragte ham Skænk.
3 Daudi kisha akamshinda Hadadezeri, mfalme wa Zoba huko Hamathi, wakati Hadadezeri alipo kuwa akisafiri kuimarisha utawala wake kwa Mto wa Frati.
David slog og Hadad-Eser, Kongen af Zoba, ved Hamat, der han drog hen at vende sin Haand imod Floden Frat.
4 Daudi akateka magari ya farasi elfu, wanaume wa farasi elfu saba, na wanajeshi wa miguu elfu ishirini. Daudi aliwajeruhi farasi wote wagari, lakini akahifadhi baadhi kwa ajili ya magari ya farasi mia moja.
Og David tog fra ham tusinde Vogne og syv Tusinde Ryttere og tyve Tusinde Fodfolk, og David lammede alle Vognhestene, og han lod kun hundrede Heste blive tilovers af dem.
5 Waaramia wa Damasko walipo kuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Zoba, Daudi aliua wanaume elfu ishirini na mbili wa Kiaramia.
Men Syrerne fra Damaskus kom for at hjælpe Hadad-Eser, Kongen af Zoba, og David slog af Syrerne to og tyve Tusinde Mand.
6 Kisha Daudi akaweka vikosi huko Aramu ya Damasko, na Waaramia wakawa watumishi wake na wakamletea ushuru maalaumu. Yahweh alimpatia Daudi ushindi popote alipoenda.
Og David lagde Besætning udi Syrien i Damaskus, og Syrerne bleve Davids Tjenere og bragte ham Skænk, og Herren frelste David, i hvor han drog hen.
7 Daudi alichukua ngao za dhahabu zilizo kuwa kwa watumishi wa Hadadezeri na kuleta Yerusalemu.
Og David tog de Guldskjolde, som vare hos Hadad-Esers Tjenere, og førte dem til Jerusalem.
8 Kutoka Tibhathi na Kuni, miji ya Hadadezeri, Daudi alichukuwa shaba nyingi sana. Ilikuwa shaba hii ambayo baadae Sulemani alifanya saani ya shaba, nguzo, na vifaa vya shaba.
Og fra Tibehat og fra Kun, Hadad-Esers Stæder, tog David saare meget Kobber; deraf gjorde Salomo Kobberhavet og Støtterne og Kobberkarrene.
9 Wakati Toi, mfalme wa Hamathi, alipo sikia kuwa Daudi ameshinda majeshi yote ya Hadadezeri mfalme wa Zoba,
Og der Thou, Kongen af Hamat, hørte, at David havde slaget hele Hadad-Esers, Kongen af Zobas, Hær,
10 Toi akamtuma Hadoramu mwanae kwa Mfalme Daudi kumsalimia na kumbariki, kwasababu Daudi amepigana na Hadadezeri na kumshinda, na kwasababu Hadadezeri alifanya vita na Toi. Hadoramu alipeleka vifaa vya fedha, dhahabu, na shaba.
da sendte han sin Søn Hadoram til Kong David for at hilse ham og at velsigne ham, fordi han havde stridt imod Hadad-Eser og slaget ham; thi Hadad-Eser førte stedse Krig imod Thou; og han havde alle Haande Guldkar og Sølvkar og Kobberkar med sig.
11 Mfalme Daudi alivitenga hivi vitu kwa ajili ya Yahweh, pamoja na fedha na dhahabu aliyo ibeba kutoka kwa mataifa yote: Edomu, Moabu, watu wa Amoni, Wafilisti, na Waamaleki.
Ogsaa dem helligede Kong David for Herren, tillige med det Sølv og Guld, som han havde taget fra alle Hedninger, fra Edom og fra Moab og fra Ammons Børn og fra Filisterne og fra Amalek.
12 Abishai mwana wa Zeruia akawaua Waedomi elfu kumi na nane katika Bonde la Chumvi.
Og Abisaj, Zerujas Søn, slog Edomiterne i Saltdalen, atten Tusinde.
13 Alieka vikosi huko Edomu, na Waedomi wote wakawa watumishi wa Daudi. Yahweh alimpa Daudi ushindi pote alipoenda.
Og han lagde Besætning i Edom, og alle Edomiterne bleve Davids Tjenere; og Herren frelste David, i hvor han drog hen.
14 Daudi alitawala Israeli yote, na alitenda haki na utaua kwa watu wote.
Saa var David Konge over hele Israel, og han gjorde Ret og Retfærdighed for alt sit Folk.
15 Yoabu mwana wa Zeruia walikuwa mkuu wa jeshi, na Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mtunza kumbukumbu.
Og Joab, Zerujas Søn, var over Krigshæren, og Josafat, Ahiluds Søn, var Historieskriver.
16 Zadoki mwana wa Ahitubi na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani, na Shavisha alikuwa mwandishi.
Og Zadok, Ahitubs Søn, og Abimelek, Abjathars Søn, vare Præster, og Sausa var Skriver.
17 Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwangalizi wa Wakerethi na Wapelethi, na wana wa Daudi walikuwa washauri wakuu wa mfalme.
Og Benaja, Jojadas Søn, var over de Krethi og de Plethi; og Davids Sønner vare de første ved Kongens Haand.

< 1 Nyakati 18 >