< 1 Nyakati 17 >
1 Ikawa baada ya mfalme kuwa katika nyumba yake, akasema kwa Nathani yule nabii, “Angalia, nina ishi katika nyumba iliyo jengwa na mierezi, lakini sanduku la agano la Yahweh lipo kwenye chini ya hema.”
Lorsque David habitait dans sa maison, il dit à Nathan, le prophète: « Voici, j'habite dans une maison de cèdre, mais l'arche de l'alliance de Yahvé est dans une tente. »
2 Kisha Nathani akasema kwa Daudi, Nenda, fanya yalio moyoni mwako, kwa kuwa Mungu yupo nawe.”
Nathan dit à David: « Fais tout ce qui est dans ton cœur, car Dieu est avec toi. »
3 Lakini usiku huo neno la Mungu lilimjia Nathani, nakusema,
Cette même nuit, la parole de Dieu fut adressée à Nathan, en ces termes:
4 “Nenda umwambie Daudi mtumishi wangu, 'Hivi ndivyo Yahweh asemavyo: Hautanijengea nyumba ya kuishi.
Va dire à David, mon serviteur: L'Éternel dit: Tu ne me bâtiras pas de maison pour que j'y habite;
5 Kwa kuwa sijaishi katika nyumba toka ile siku niliyo ileta Israeli hadi leo. Badala yake, nimeishi ndani ya hema, hema la kukusanyikia, sehemu mbali mbali.
car je n'ai pas habité dans une maison depuis le jour où j'ai fait monter Israël jusqu'à ce jour, mais j'ai marché de tente en tente et de tente en tente.
6 Katika sehemu zote nilizo enda na Israeli, niliwai kusema lolote kwa viongozi wa Israeli niliyo wachagua kuwa chunga watu wangu, kwa kusema, “Kwa nini haujanijengea mimi nyumba ya mierezi?””
Dans tous les lieux où j'ai marché avec tout Israël, j'ai dit à l'un des juges d'Israël, à qui j'avais donné l'ordre de paître mon peuple, pourquoi vous ne m'avez pas bâti une maison de cèdre.
7 “Kisha sasa, mwambie mtumishi wangu Daudi, 'Hili ndilo Yahweh wa majeshi anasema: Nilikuchugua kutoka malishoni, kufuata kondoo, ilikwamba uwe mtawala wa watu wangu Waisraeli.
« Maintenant, tu diras à mon serviteur David: « L'Éternel des armées dit: « Je t'ai pris de la bergerie, de la suite des brebis, pour être prince sur mon peuple d'Israël.
8 Nimekuwa nawe pote ulipo enda na nimewakata maadui zako wote, na na nitakufanyia jina, kama jina la wakuu wa dunia.
J'ai été avec toi partout où tu es allé, et j'ai exterminé tous tes ennemis devant toi. Je te donnerai un nom semblable au nom des grands qui sont sur la terre.
9 Nitachagua sehemu ya watu wangu Israeli na nitawapanda hapo, iliwaishi sehemu yao na wasisumbuke tena. Watu wa ovu hawata watesa tena, kama walivyo fanya mwanzo,
J'établirai un lieu pour mon peuple d'Israël, et je le planterai, afin qu'il habite dans son lieu et qu'il ne soit plus déplacé. Les enfants du mal ne le détruiront plus, comme au début,
10 kama walivyo kuwa wakifanya toka siku zile nilipo waamuru waamuzi kuwa juu ya watu wangu Waisraeli. Kisha nitawatiisha maadui zako wote. Zaidi sana nina kwambia kwamba mimi, Yahweh, nitakujengea nyumba.
et depuis le jour où j'ai ordonné à des juges d'être à la tête de mon peuple d'Israël. Je soumettrai tous vos ennemis. Et je vous dis que l'Éternel vous bâtira une maison.
11 Itakuja kuwa hapo siku zako zitapo timia za wewe kwenda kwa baba zako, nitainua uzao wako baada yako, na mmoja wa uzao wako nitaimarisha ufalme wake.
Lorsque tes jours seront accomplis et que tu devras aller auprès de tes pères, j'établirai ta descendance après toi, qui sera du nombre de tes fils, et j'affermirai son règne.
12 Yeye atanijengea nyumba, na nitaimarisha kiti chake cha enzi milele.
Il me bâtira une maison, et j'établirai son trône pour toujours.
13 Nitakuwa baba kwake, naye atakuwa mwana wangu. Sitaondoa uwaminifu wa Agano langu kwake, kama nilivyo ondoa kwa Sauli, aliye tawala kabla yako.
Je serai son père, et il sera mon fils. Je ne lui retirerai pas ma bonté, comme je l'ai retirée à celui qui était avant toi,
14 Nitamweka juu ya nyumba yangu na katika ufalme wangu milele, na kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.”
mais je l'établirai dans ma maison et dans mon royaume pour toujours. Son trône sera établi pour toujours. »'"
15 Nathani akanena haya kwa Daudi na kumtaarifu, na akamwambia kuhusu maono yote.
D'après toutes ces paroles et d'après toute cette vision, c'est ainsi que Nathan parla à David.
16 Kisha Daudi mfalme akaenda ndani na kuketi mbele za Yahweh; akasema, “Mimi ni nani, Yahweh Mungu, na familia yangu ni nini, hadi unilete umbali huu?
Alors le roi David entra et s'assit devant l'Éternel, et il dit: Qui suis-je, Éternel Dieu, et quelle est ma maison, pour que tu m'aies amené jusqu'ici?
17 Hili lilikuwa jambo dogo machoni pako, Mungu. Umezungumzia familia ya mtumishi wako kwa muda mrefu ujao, na umenionyesha vizazi vijavyo, Yahweh Mungu.
C'était peu de chose à tes yeux, ô Dieu, mais tu as parlé de la maison de ton serviteur pour longtemps, et tu m'as respecté comme un homme de haut rang, Yahvé Dieu.
18 Nini zaidi mimi, Daudi, niseme? Umemheshimu mtumishi wako. Umemtambua kwa kipekee mtumishi wako.
Que peut encore te dire David au sujet de l'honneur qui est fait à ton serviteur? Car tu connais ton serviteur.
19 Yahweh, kwa ajili ya mtumishi wako, na kutimiza kusudi lako, umefanya hili ilikudhihirisha matendo yako makuu.
Yahvé, c'est à cause de ton serviteur, et selon ton propre cœur, que tu as fait toute cette grandeur, pour faire connaître toutes ces grandes choses.
20 Yahweh, hakuna aliye kama wewe, na hakuna Mungu zaidi yako, kama tulivyo sikia mara zote.
Yahvé, il n'y a personne comme toi, et il n'y a aucun Dieu en dehors de toi, selon tout ce que nous avons entendu de nos oreilles.
21 Ni taifa gani duniani kama watu wako Israeli, ambaye wewe, Mungu, uliwaokoa kutoka Misri iliwawe watu wako, kujifanyia jina lako kwa matendo makuu na yahajabu? Uliondoa mataifa mbele za watu wako, uliye waokoa kutoka Misri.
Quelle nation sur la terre est semblable à ton peuple d'Israël, que Dieu est allé racheter pour en faire un peuple, pour te faire un nom par des choses grandes et impressionnantes, en chassant les nations devant ton peuple que tu as racheté d'Égypte?
22 Ulifanya Israeli watu wako milele, na wewe, Yahweh, ukawa Mungu wao.
Car tu as fait de ton peuple d'Israël ton peuple pour toujours, et toi, Yahvé, tu es devenu son Dieu.
23 Hivyo sasa, Yahweh, ile ahadi uliyo iweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake itimizwe milele. Fanya kama ulivyo nena.
Maintenant, Yahvé, que la parole que tu as prononcée sur ton serviteur et sur sa maison soit affermie pour toujours, et que tu fasses ce que tu as dit.
24 Jina lako na litukuzwe milele na kuwa kuu, ili watu waseme, 'Yahweh wa majeshi ni Mungu wa Israeli,' na nyumba yangu, mimi Daudi, mtumishi wako ikiwa imeimarishwa mbele zako.
Que ton nom soit affermi et magnifié à jamais, en disant: « L'Éternel des armées est le Dieu d'Israël, le Dieu d'Israël. La maison de David, ton serviteur, est affermie devant toi »
25 Kwa kuwa wewe, Mungu wangu, umedhihirisha kwa mtumishi wako utamjengea nyumba. Hiyo ndio sababu, mimi mtumishi wako, nimepata ujasiri wa kuomba kwako.
Car toi, mon Dieu, tu as révélé à ton serviteur que tu lui bâtirais une maison. C'est pourquoi ton serviteur a trouvé le courage de prier devant toi.
26 Sasa, Yahweh, wewe ni Mungu, na umefanya hii ahadi nzuri kwa mtumishi wako:
Or, Yahvé, tu es Dieu, et tu as promis ce bien à ton serviteur.
27 Sasa imekupendeza kubariki nyumba ya mtumishi wako, iliiendelee milele mbele zako. Wewe, Yahweh, umeibariki, na itabarikiwa milele.”
Maintenant, il t'a plu de bénir la maison de ton serviteur, afin qu'elle subsiste à jamais devant toi; car c'est toi, Yahvé, qui as béni, et elle est bénie à jamais. »