< 1 Nyakati 15 >
1 Daudi akajingea nyumba zake katika mji wa Daudi. Akaanda sehemu kwa ajili ya sanduku la Mungu na hema lake.
Et il se bâtit des demeures en la ville de David, et il prépara un lieu pour l'arche du Seigneur, et il fit un tabernacle.
2 Kisha Daudi akasema, “Walawi pekee ndio watabeba sanduku la Mungu, kwa kuwa walichaguliwa na Yahweh kubeba sanduku la Yahweh, na kumtumikia milele.”
Alors David dit: Nul ne peut transporter l'arche de Dieu, sinon les lévites; car le Seigneur les a choisis pour porter l'arche du Seigneur et le servir éternellement.
3 Kisha Daudi akakusanya Israeli yote Yerusalemu, kuleta sanduku la Yahweh sehemu aliyo iandaa.
Et David réunit tout le peuple de Jérusalem, pour transporter l'arche au lieu qu'il avait préparé.
4 Daudi akakusanya uzao wa Aruni na Walawi pamoja.
David convoqua aussi les lévites, fils d'Aaron.
5 Kutoka uzao wa Kohathi, palikuwa na Urieli kiongozi na ndugu zake, wanaume 120.
Des fils de Caath: Uriel leur chef, et ses frères: cent vingt hommes.
6 Kutoka uzao wa Merari, palikuwa na Asaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 220.
Des fils de Mérari: Asaie leur chef, et ses frères: deux cent vingt.
7 Kutoka uzao wa Gerishomu, palikuwa na Yoeli kiongozi na ndugu zake, wanaume 130.
Des fils de Gerson: Johel leur chef, et ses frères: cent trente.
8 Kutoka uzao wa Elizafani, palikuwa na Shemaia kiongozi na ndugu zake, wanaume 200.
Des fils d'Elisaphat: Sémeï leur chef, et ses frères: deux cents.
9 Kutoka uzao wa Hebroni, palikuwa na Elieli kiongozi na ndugu zake, wanaume themanini.
Des fils d'Hébron: Elihel leur chef, et ses frères: quatre-vingts.
10 Kutoka uzao wa Uzieli, palikuwa na Aminadabu kiongozi na ndugu zake, wanaume 112.
Des fils d'Oziel: Aminadab leur chef, et ses frères: cent douze.
11 Daudi akaagiza Zadoki kuitwa na Abiathari kuhuani, na Walawi Urieli, Asaia, Yoeli, Shemaia, Elieli, na Aminadabu.
Et David appela les prêtres Sadoc et Abiathar avec les lévites: Uriel, et Asaïe, et Johel, et Sémeï, et Elihel, et Aminadab,
12 Akasema, “Nyinyi ni viongozi wa familia za Kilawi. Jiwekeni wakfu, nyie na ndugu zenu, ilikwamba mlete sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli, kwenye sehemu niliyo iandaa.
Et il leur dit: Vous êtes chefs de familles des lévites: purifiez-vous donc, et purifiez vos frères, et vous transporterez l'arche du Dieu d'Israël, au lieu que je lui ai préparé.
13 Mara ya kwanza hamkubeba. Ndio maana Yahweh Mungu wetu akawa na hasira kwetu, kwa kuwa hatuku mtafuta wala kutii amri yake.”
Car, d'abord, parce que vous n'étiez point là; le Seigneur Dieu nous a châtiés, pour ne l'avoir point cherché, selon la loi.
14 Hivyo makuhani na Walawi waka jiweka wakfu iliwaweze kuleta sanduku la Yahweh, Mungu wa Israeli.
Et les prêtres et les lévites se purifièrent, pour transporter l'arche du Dieu d'Israël.
15 Walawi wakabeba sanduku la Mungu katika mabega yao na nguzo, kama Musa alivyo amuru-kwa kufuata sheria zilizo tolewa na Yahweh.
Et les fils des lévites prirent l'arche de Dieu de la manière prescrite par Moïse, d'après la parole de Dieu et selon l'Écriture; puis, ils posèrent les leviers sur leurs épaules.
16 Daudi akazungumza na viongozi wa Walawi kuwapangia ndugu zao kuwa wana muziki wenye vyombo vya muziki, vyombo vya uzi, vinubi na upatu, kwa kupiga kwa sauti na furaha wakipaza sauti zao.
Et David dit aux chefs des lévites: Choisissez parmi vos frères des chantres, s'accompagnant d'instruments: de lyres, de harpes et de cymbales, pour chanter bien haut des cantiques d'allégresse,
17 Hivyo Walawi wakamchagua Hemani mwana wa Yoeli na mmoja wa kaka zake, Asafu mwana wa Berekia. Pia walimchagua ndugu wa uzao wa Merari na Ethani mwana wa Kushaia.
Et les lévites désignèrent Hêman, fils de Johel; puis, Asaph, fils de Barachia, un de leurs frères; puis, Ethan, fils de Cisaïe, un des fils de Mérari, un de leurs frères.
18 Pamoja nao walikuwa ndugu wa daraja la pili: Zekarai, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaia, Maasaeia, Matithia, Elifelehu, Mikineaia, Obedi Edomu, na Yeieli, mlinzi wa lango.
Et, avec eux, au second rang, leurs frères Zacharie, Oziel, Semiramoth, Jehiel, Eliohel, Eliab, Banaias, Maasaïe, Matthathias, Eliphena, Macélia, Abdedom, Jehiel et Ozias, qui étaient les portiers.
19 Wanamuziki Hemani, Asafu, na Ethani walichaguliwa kupiga upatu wa shaba.
Les chantres harpistes: Hêman, Asaph et Ethan, avaient des cymbales d'airain pour les faire retentir.
20 Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni Eliabu, Maaseia, na Benaia walicheza vyombo vya uzi.
Zacharie et Oziel, Semiramoth, Jéhiel, Oni, Eliab, Maasaïe, Banaïas, avaient des lyres sur l'alcimoth.
21 Matithia, Elifelehu, Mikineia, Obedi Edomu, Yeieli, na Azazia waliongoza njia na vinubi.
Et Matthathias, et Eliphalu, et Macélia, et Abdedom, et Jehiel, et Ozias, avaient des harpes pour renforcer l'amasenith.
22 Kenania, kiongozi wa Walawi, aliongoza uimbaji sababu alikuwa mwalimu wa muziki.
Honénias, chef des lévites, était maître du chant, à cause de son intelligence.
23 Berekia na Elikana walikuwa walinzi wa sanduku.
Barachias et Elcana étaient portiers de l'arche.
24 Shebania, Yoshafati, Nethanieli, Amasai, Zekaria, Benaia, na Eliezeri, makuhani, walikuwa wa kupuliza matarumbeta mbele ya sanduku la Mungu. Obedi Edomu na Yehia walikuwa walinzi wa sanduku.
Somnia, Josaphat, Nathanaël Amasaï, Zacharie, Banaïas et Eliézer, les prêtres, sonnaient de la trompette devant l'arche de Dieu. Abdedom et Jehia étaient portiers de l'arche de Dieu.
25 Hivyo Daudi, wazee wa Israeli, na wakuu wa maelfu wakaenda kuchukua sanduku la agano la Yahweh kutoka nyumba ya Obedi Edomu kwa shangwe.
David, et les anciens d'Israël et les chefs de mille hommes, partirent ainsi pour transférer l'arche de l'alliance de la maison d'Abdedom, avec allégresse.
26 Wakati Mungu alipo wasaidia Walawi kubeba sanduku la agano la Yahweh, walitoa ng'ombe saba na mbuzi
Et comme Dieu fortifiait les lévites qui portaient l'arche de l'alliance du Seigneur, on sacrifia devant le cortège sept bœufs et sept béliers.
27 Daudi alivishwa joho safi la maridadi, pamoja na Walawi walio beba sanduku, waimbaji, na Kenania, kiongozi wa nyimbo na waimbaji. Daudi alivaa juu ya joho lake naivera.
Or, David était revêtu d'une robe de lin, ainsi que tous les lévites qui portaient l'arche de l'alliance du Seigneur, et les chantres-harpistes, et Honénias, maître du chant; David avait comme eux une robe de lin.
28 Hivyo Israeli yote wakaleta sanduku la agano la Yahweh na kelele za shangwe, na sauti za tarumbeta, ngoma za saani, na vyombo vya uzi na vinubi.
Et tout Israël conduisait l'arche de l'alliance du Seigneur, jetant des cris de joie et chantant: les uns au son des trompettes et des cymbales, les autres avec accompagnement de lyres et de harpes.
29 Lakini sanduku la Yahweh lilivyokuja kwa mji wa Daudi, Mikali binti wa Sauli, alitazama nje ya dirisha, Akamuona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea. Kisha akamdharau moyoni mwake.
Lorsque l'arche de l'alliance du Seigneur entra dans la ville de David, Michol, fille de Sain, se penchant à sa fenêtre, vit le roi David danser et toucher de la harpe; et, en son âme, elle le méprisa.