< 1 Nyakati 14 >

1 Kisha Hiramu mfalme wa Tire alituma wajumbe kwa Daudi, na miti ya mierezi, maseremala, na wajenzi. Walijenga nyumba kwa ajili yake.
Tyre gam a leng Hiram in asottole a pang thingthem bol le songkhen them ho chu Cedar thing ho a David inpi sah pih ding in ana sol in ahi.
2 Daudi alijua kuwa Yahweh alimfanya kuwa mfalme juu ya Waisraeli, na hivyo ufalme wake ulitukuzwa juu sana kwa ajili ya watu wa Israeli
Chule Pakai in israel pumpi a lengdia atun a amite Israelte ding a aleng gam phatthei na aboh chu David in jong ana geldoh tan ahi.
3 Ndani ya Yerusalemu, Daudi aliongeza wake, na akawa baba wa wana wengi na mabinti.
Chujouvin David in Jerusalem a chun ji akipui be in chanu le chapa jong tampi anei kit in ahi.
4 Haya yalikuwa majina ya watoto waliozaliwa nae huko yerusalemu: Shammua, Shobabu, nathani, Solimoni,
Amaho hi David in Jerusalem’a anahinsa achapate chu ahiuve: Shammu, Sobad, Nathan, Solomon
5 Ibhari, Elishama, Elpeleti,
Ibhar, Elishua, Elpelet
6 Noga, Nefegi, Jafia,
Noqah, Nepheg, Japhia
7 Elishama, Beliada, na Elifeleti.
Elishma, Beeliada chule Eliphelet ahiuve.
8 Sasa tangu Wafilisti waliposikia Daudi amepakwa mafuta kama mfalme juu ya Waisraeli, wote walitoka nje kwenda kumtafuta. Lakini Daudi alisikia kuhusu hilo nae akaenda nje kinyume nao.
David Israel pumpia a leng chan ding chu Philistine miten ajah phat uvin Philistine sepai ho chu David man ding in ahung kon uvin ahi, David in jong hiche thu ajah phat chun ama ho kimaito pi din akondoh pai kit in ahi.
9 Sasa wafilisti walikuja na kufanya shambulio katika bonde la Refaimu.
Hiti chun philistine sepai ho chun gang tah in Raphiam phaicham chu ahin nokhum pai jeng un ahi.
10 Kisha Daudi akaomba msaada kwa Mungu. Akasema, “Je niwashambulie Wafilisti? Utanipa ushindi juu yao?” Yahweh akamwambia, “Shambulia, kwa uhakika nitawakabidhi kwako.”
Hichun David in Pathen adong in, “Hiche Philistine te khu gasat leng achung'uva galjona neichan sah ding ham?” ati. Chuin Pakai in adonbut in, “Chenlang gasat in achung'uva galjo na nachan ding ahi,” ati.
11 Kwa hivyo wakaja Baali Perazimu na akawashinda. Akasema, “Yahweh kapasua maadui zangu kwa mkono wangu kama vile mpasuko wa mafuriko ya maji.” Hivyo jina la sehemu ile likawa Baali Perazimu.
Hichun David le asepai techu Baal-Perazim lam jon in akitol uvin Philistine techu agasat uvin ana jou tauve. Chuin David in hitin asei e, “Pathen in kamelmate chung a twisuh long bang a kalonkhum na din eina mang chai,” ati. Hijehchun hichelai mun hi Baal-perazam ana kisah in ahi.
12 Wafilisti walitelekeza miungu yao pale, na Daudi akatoa amri wateketezwe kwa moto.
Chuin Philistine te anajam uvin milim doi Pathen semthu ana dalhah hou chu David in ana hal vam sah in ahi.
13 Kisha Wafilisti wakavamia kwa mara nyingine tena.
Ahivang in Philistine techun hetman lou kah in phaicham chu ahin nokhum paikit uvin ahi.
14 Hivyo Daudi akaomba msaada kwa Mungu tena. Mungu akamwambia, “Usiwashambulie kwa mbele, lakini wazunguke kwa nyuma yao na uwajie kupitia misitu ya balisamu.
Hijeh chun David injong ipi bol ding hitam tin Pathen adong kit in ahile Pathen in amaho nungjui kit lou in amasang lam uva kon a ahinle del khum a balsom thingphung a hinno khum un tin asei e.
15 Utakaposikia sauti ya wanajeshi wanatembea kwenye upepo uvumao kutoka juu ya miti ya balisamu, kisha shambulia kwa nguvu. Fanya hivyo kwasababu Mungu atakutangulia kwenda kuwashambulia majeshi ya wafilisti.”
Nangman thingleh vum lang a pat mitampi kijot kengto gin najah teng pot inlang galsat pan jeng in ajeh chu Pathen in Philistine sepaite satgam nadia nangma nahin panpi ding chu avetsah ahi.
16 Hivyo Daudi alifanya kama Mungu alivyo muamuru. Aliwashinda jeshi la Wafilisti kutoka Gibeoni mpaka Gezeri.
Hitichun David in jong Pathen thupeh bang in abollin ahile Philistine sepaite chu Gibeon a kipat in Gezer chan in ana del jam suh in ahi.
17 Kisha umaarufu wa Daudi ukaenda katika nchi zote, na Yahweh akasababisha mataifa yote kumuhofia.
Chuin muntin jousea David ahung minthan phat in Pakai in David chu namjouse te ginle ja in aum sah tan ahi.

< 1 Nyakati 14 >