< 1 Nyakati 13 >
1 Daudi akashuriana na wakuu wa jeshi la maelfu na mamia, na kila kiongozi.
Aa le nisafiry amo mpifelek’ arivo naho zatoo vaho amo mpifehe iabio t’i Davide.
2 Daudi akasema kwa kusanyiko la Isaraeli, “Kama itakuwa vyema, na kama hii inatoka kwa Yahweh Mungu wetu, na tutume wajumbe kila sehemu kwa ndugu zetu walio baki maeneo yote ya Israeli, na kwa makuhani na Walawi walio kwenye miji yao. Waambiwe wajiunge nasi.
Le hoe t’i Davide amy valobohò’ Israele iabiy, Aa naho mete ama’ areo naho am’ Iehovà Andrianañaharen-tika, antao hañitrike mb’eo mb’eo hikoike o longontika sisa amo hene tane’ Israeleo, rekets’ o mpisoroñe naho nte-Levý androva naho am-paripari’ iareoo, hifanontoñe,
3 Na tulete sanduku la Mungu wetu, kwa kuwa hatukutafuta mapenzi yake katika siku za Sauli.”
hampolian-tika mb’etoa i vatan’ Añaharen-tikañey, ie tsy nipaiaen-tika tañ’ andro’ i Saole.
4 Kusanyiko lote liliafiki kufanya haya yote, kwa kuwa yalionekana sawa machoni pa watu wote.
Le nanao ty hoe i valobohòkey, t’ie hanoeñe, fa nimete am-pihaino’ ze hene ondaty.
5 Kwaiyo Daudi akakusanya Israeli yote, kutoka mto Shihori ulio Misri hadi Lebo Hamathi, kuleta sandaku la Mungu kutoka Kiriathi Yearimu.
Aa le natonto’ i Davide t’Israele iaby, boake Sikore e Mitsraime añe pak’ am-pimoahañe e Kamate añe, hindesa’ iareo boake Kiriate-Iearime ao i vatan’ Añaharey.
6 Daudi na Israeli yote walienda mpaka Baala, ambayo ni, Kiriathi Yearimu, ambao ni ya Yuda, kuleta sanduku la Mungu, ambalo linaitwa kwa jina la Yahweh, Yahweh, ambaye ameketi juu ya makerubi.
Aa le nindre am’ Israele iaby t’i Davide nionjomb’e Baalà—i Kiriate-Iearime’ Iehoda—mb’eo hindesa’ iareo boak’ao i vatan’ Añahare iambesara’ Iehovà amo kerobeoy, i fikanjiañe i tahina’eiy.
7 Kwaiyo wakaketisha sanduku la Mungu juu ya chombo kipya cha matairi. Wakaleta nje ya nyumba ya Abinadabu. Uza na Ahio walikuwa wakilinda hicho chombo.
Le nente’ iareo an-tsarete vao boak’ añ’ anjomba’ Abinadabe ao i vatan’ Añaharey; vaho ninday i saretey t’i Ozà naho i Akio.
8 Daudi na Israeli yote walikuwa wakishangilia mbele za Mungu kwa nguvu zao zote. Walikuwa wakiimba na vyombo vya uzi, vinubi, upatu, na tarumbeta.
Le nifale añatrefan’ Añahare an-kaliforan-kaozarañe t’i Davide naho Israele; reke-tsabo naho marovany, jejobory, fikorintsañe, fikarantsañe vaho an-trompetra.
9 Walipo kuja eneo la kupeta mazao huko Kidoni, Uza alinyoosha mkono wake kuzuia sandaku, sababu ng'ombe aliyekuwa amebeba sanduku aliyumba.
Ie nivotrak’ an-tanem-pifofoha’ i Kidone eo, le nahiti’ i Ozà ty fità’e hikalañ’ i vatay, fa ho nabalitaboa’ o añombeio.
10 Hasira ya Yahweh ikawaka juu ya Uza, na Yahweh akamua kwasababu Uza alishika na mkono wake sanduku. Akafa pale mbele za Mungu.
Le nisolebotse amy Ozà ty haviñera’ Iehovà naho zinevo’e amy te nitakare’e fitàñe i vatay vaho nihomak’ añatrefan’ Añahare.
11 Daudi alipatwa na hasira kwa kuwa Yahweh alimshambulia Uza. Hiyo sehemu inaitwa Perezi Uza hadi leo.
Tsy nahafale i Davide ty fitorotosi’ Iehovà amy Ozày; aa le natao Perets’ Ozà i toetsey pak’ henaneo.
12 Daudi alimuogopa Mungu hiyo siku. Akasema, “Nawezaje kuleta sanduku la Mungu nyumbani mwangu?”
Nahahembañe i Davide t’i Andrianañahare amy andro zay, le hoe re: Akore ty hampipoliako amako i vatan’ Añaharey?
13 Kwaiyo Daudi hakuleta sanduku kwenye mji wa Daudi, lakini aliweka pembeni mwa nyumba ya Obedi Edomu Mgiti.
Aa le tsy nendese’ i Davide moly ama’e mb’an-drova’ i Davide mb’eo i vatay fa nampitsile’e mb’ añ’anjomba’ i Ovededome nte Gate ao.
14 Sanduku la Mungu lilibaki nyumbani mwa Obedi Edomu kwa miezi mitatu. Kwaiyo Yahweh akabariki nyumba yake na yote aliyo miliki.
Nitobok’ an-kasavereña’ i Ovededome añ’ anjomba’e ao telo volañe i vatan’ Añaharey; vaho nitahie’ Iehovà ty anjomba’ i Ovededome naho ze hene fanaña’e.