< 1 Nyakati 13 >
1 Daudi akashuriana na wakuu wa jeshi la maelfu na mamia, na kila kiongozi.
Ja David piti neuvoa tuhanten ja satain pääruhtinain ja kaikkein päämiesten kanssa.
2 Daudi akasema kwa kusanyiko la Isaraeli, “Kama itakuwa vyema, na kama hii inatoka kwa Yahweh Mungu wetu, na tutume wajumbe kila sehemu kwa ndugu zetu walio baki maeneo yote ya Israeli, na kwa makuhani na Walawi walio kwenye miji yao. Waambiwe wajiunge nasi.
Ja David sanoi kaikelle Israelin joukoille: jos teille kelpaa, ja jos se on Herralta meidän Jumalaltamme, niin toimittakaamme kaikella muotoa menemään muiden meidän veljeimme tykö koko Israelin maahan, ja pappein ja Leviläisten tykö kaupunkeihin, joissa esikaupungit ovat, että he kokoontuisivat meidän tykömme,
3 Na tulete sanduku la Mungu wetu, kwa kuwa hatukutafuta mapenzi yake katika siku za Sauli.”
Ja noutakaamme Jumalamme arkki meidän tykömme; sillä emme Saulin aikana siitä lukua pitäneet.
4 Kusanyiko lote liliafiki kufanya haya yote, kwa kuwa yalionekana sawa machoni pa watu wote.
Niin kaikki joukko vastasi, että niin piti tehtämän; sillä se kelpasi kaikelle kansalle.
5 Kwaiyo Daudi akakusanya Israeli yote, kutoka mto Shihori ulio Misri hadi Lebo Hamathi, kuleta sandaku la Mungu kutoka Kiriathi Yearimu.
Niin David kokosi kaiken Israelin, Egyptin Siihorista aina Hamatiin asti, noutamaan Jumalan arkkia Kirjatjearimista.
6 Daudi na Israeli yote walienda mpaka Baala, ambayo ni, Kiriathi Yearimu, ambao ni ya Yuda, kuleta sanduku la Mungu, ambalo linaitwa kwa jina la Yahweh, Yahweh, ambaye ameketi juu ya makerubi.
Ja David meni ja kaikki Israel Baalatiin, Kirjatjearimiin, joka on Juudassa, noutamaan sieltä Herran Jumalan arkkia, joka Kerubimin päällä istuu, jonka nimeä rukoillaan.
7 Kwaiyo wakaketisha sanduku la Mungu juu ya chombo kipya cha matairi. Wakaleta nje ya nyumba ya Abinadabu. Uza na Ahio walikuwa wakilinda hicho chombo.
Ja he panivat Jumalan arkin uuteen vaunuun, veivät sen Abinadabin huoneesta, ja Ussa ja Ahio ajoivat vaunua.
8 Daudi na Israeli yote walikuwa wakishangilia mbele za Mungu kwa nguvu zao zote. Walikuwa wakiimba na vyombo vya uzi, vinubi, upatu, na tarumbeta.
Mutta David ja kaikki Israel iloitsivat Jumalan edessä kaikesta voimastansa, lauluilla, kanteleilla, psaltareilla, trumpuilla, symbaleilla ja basunilla.
9 Walipo kuja eneo la kupeta mazao huko Kidoni, Uza alinyoosha mkono wake kuzuia sandaku, sababu ng'ombe aliyekuwa amebeba sanduku aliyumba.
Ja he tulivat Kidonin lakeudelle, niin ojensi Ussa kätensä arkkia pitelemään; sillä härjät poikkesivat sivulle.
10 Hasira ya Yahweh ikawaka juu ya Uza, na Yahweh akamua kwasababu Uza alishika na mkono wake sanduku. Akafa pale mbele za Mungu.
Niin Herran viha julmistui Ussan päälle ja löi häntä, että hän ojensi kätensä arkkia pitämään, niin että hän siinä kuoli Jumalan edessä.
11 Daudi alipatwa na hasira kwa kuwa Yahweh alimshambulia Uza. Hiyo sehemu inaitwa Perezi Uza hadi leo.
Niin David tuli murheelliseksi, että Herra Ussan repäisi rikki. Ja hän kutsui sen paikan Perets-ussa tähän päivään asti,
12 Daudi alimuogopa Mungu hiyo siku. Akasema, “Nawezaje kuleta sanduku la Mungu nyumbani mwangu?”
Ja David pelkäsi Jumalaa sinä päivänä ja sanoi: kuinka minun pitää viemän Jumalan arkin minun tyköni?
13 Kwaiyo Daudi hakuleta sanduku kwenye mji wa Daudi, lakini aliweka pembeni mwa nyumba ya Obedi Edomu Mgiti.
Sentähden ei David antanut viedä Jumalan arkkia tykönsä Davidin kaupunkiin, vaan antoi poiketa Obededomin Gatilaisen huoneesen.
14 Sanduku la Mungu lilibaki nyumbani mwa Obedi Edomu kwa miezi mitatu. Kwaiyo Yahweh akabariki nyumba yake na yote aliyo miliki.
Ja Jumalan arkki viipyi Obededomin tykönä hänen huoneessansa kolme kuukautta. Ja Herra siunasi Obededomin huoneen ja kaikki mitä hänellä oli.