< 1 Nyakati 12 >
1 Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
Ceux-ci aussi vinrent vers David à Sicéleg, lorsqu’il fuyait encore Saül, fils de Cis; c’étaient des hommes très forts et d’excellents combattants,
2 Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
Tendant l’arc, et des deux mains jetant les pierres de la fronde et dirigeant les flèches: ils étaient frères de Saül, de la tribu de Benjamin.
3 Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
Le premier était Ahiézer, ensuite Joas, les fils de Samaa, le Gabaathite, puis Jaziel, et Phallet, les fils d’Azmoth, Baracha et Jéhu, l’Anathothite;
4 Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
De plus Samaïas, le Gabaonite, le plus vaillant parmi les trente, et qui les commandait; Jérémie, Jéhéziel, Johanan, et Jézabad, le Gadérothite;
5 Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
Eluzaï, Jérimuth, Baalia, Samaria et Saphatia, l’Haruphite;
6 Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
Elcana, Jésia, Azaréel, Joézer, et Jesbaam de Caréhim;
7 Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
De plus Joéla et Zabadia, les fils de Jéroham, de Gédor.
8 Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
Mais d’entre les Gaddites aussi passèrent à David, lorsqu’il était caché dans le désert, des hommes très vigoureux, et excellents combattants, tenant un bouclier et une lance; leur face était comme la face d’un lion, et ils étaient agiles comme des chevreuils sur les montagnes.
9 Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
Ezer était le premier, Obdias, le second, Eliab, le troisième,
10 Mishimana wanne, Yeremia watano,
Masmana, le quatrième, Jérémie, le cinquième,
11 Atai wasita, Elieli wasaba,
Ethi, le sixième, Eliel, le septième,
12 Yohana wanane, Elizabadi watisa,
Johanan, le huitième, Elzébad, le neuvième,
13 Yeremia wakumi, Makibanai wakumi na moja.
Jérémie, le dixième, Machbanaï, le onzième.
14 Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
Ceux-là, fils de Gad, étaient princes de l’armée: le moindre commandait cent soldats; et le plus grand, mille.
15 Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
Ce sont eux qui passèrent le Jourdain au premier mois, quand il a accoutumé de déborder sur ses rives, et qui mirent en fuite tous ceux qui demeuraient dans les vallées, vers le côté oriental et occidental.
16 Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
Il y en eut aussi qui vinrent même de Benjamin et de Juda dans la forteresse, dans laquelle se trouvait David.
17 Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
Et David sortit au-devant d’eux, et dit: Si c’est pacifiquement que vous êtes venus vers moi, afin de me secourir, que mon cœur s’unisse à vous; mais si vous me tendez un piège dans l’intérêt de mes ennemis, quoique je n’aie point d’iniquité en mes mains, que le Dieu de nos pères voie et juge.
18 Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
Alors un esprit remplit Amasaï, le premier entre les trente, et il répondit: Nous sommes à vous, ô David, et avec vous, ô fils d’Isaï. Paix, paix à vous, et paix à vos partisans! car votre Dieu vous aide. David les reçut donc et les établit chefs des troupes.
19 Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
Il y en eut aussi de Manassé qui passèrent à David, quand il venait avec les Philistins contre Saül pour se battre; mais il ne combattit pas avec eux, parce qu’un conseil ayant été tenu, les princes des Philistins le renvoyèrent, disant: Au péril de notre tête, il retournera vers son maître, Saül.
20 Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
Quand donc il revint à Sicéleg, passèrent à lui de Manassé, Ednas, Jozabad, Jédihel, Michaël, Ednas, Jozabad, Eliu et Salathi, chefs de mille soldats en Manassé.
21 Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
Ce sont eux qui donnèrent du secours à David contre les voleurs; car ils étaient tous des hommes très braves; et ils furent faits princes dans l’armée.
22 Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
Enfin il venait tous les jours des troupes vers David, pour le secourir, jusque-là que leur grand nombre devint comme une armée de Dieu.
23 Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
Voici aussi le nombre des princes de l’armée qui vinrent vers David lorsqu’il était à Hébron, pour lui transférer le royaume de Saül, selon la parole du Seigneur:
24 Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
Les fils de Juda, portant le bouclier et la lance, six mille huit cents, prêts au combat.
25 Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
D’entre les fils de Siméon, très braves pour combattre, sept mille cent.
26 Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
D’entre les fils de Lévi, quatre mille six cents.
27 Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
De plus, Joïada, prince de la race d’Aaron, et avec lui trois mille sept cents hommes.
28 Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
Sadoc aussi, jeune homme d’un excellent naturel, et la maison de son père, vingt-deux princes.
29 Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
Mais d’entre les fils de Benjamin, frères de Saül, trois mille hommes; car une grande partie d’entre eux suivait encore la maison de Saül.
30 Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
Et d’entre les fils d’Ephraïm, vingt mille huit cents, d’une très grande force, hommes renommés dans leur parenté.
31 Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
Et de la demi-tribu de Manassé, dix-huit mille vinrent, chacun selon son nom, pour établir David roi.
32 Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
Comme aussi il vint d’entre les fils d’Issachar des hommes instruits, qui connaissaient tous les temps, afin d’ordonner ce que devait faire Israël: les principaux étaient au nombre de deux cents, et tout le reste de leur tribu suivait leur conseil.
33 Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
Mais ceux de Zabulon qui sortaient pour le combat, et qui se tenaient dans la bataille munis d’armes guerrières, vinrent au nombre de cinquante mille au secours de David, sans duplicité de cœur.
34 Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
Et de Nephthali, mille princes, et avec eux des hommes armés d’une lance et d’un bouclier, au nombre de trente-sept mille.
35 Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
De Dan aussi, préparés au combat, vingt-huit mille six cents;
36 Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
Et d’Aser, sortant pour le combat, et en bataille provoquant l’ennemi, quarante mille.
37 Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
Mais au-delà du Jourdain, des fils de Ruben et de Gad, et de la demi-tribu de Manassé, munis d’armes guerrières, cent vingt mille.
38 Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
Tous ces hommes de guerre, disposés à combattre, vinrent avec un cœur parfait à Hébron, pour établir David roi sur tout Israël; et de plus tout le reste d’Israël avait un même cœur pour que David fût fait roi.
39 Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
Et ils furent là près de David durant trois jours, mangeant et buvant; car leurs frères avaient tout préparé;
40 Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea
Mais de plus, ceux qui étaient proche d’eux, jusqu’à Issachar, à Zabulon et à Nephthali, apportaient des pains sur les ânes, les chameaux, les mulets et les bœufs, pour qu’ils s’en nourrissent; de la farine, des figues, des raisins secs, du vin, de l’huile, des bœufs et des béliers en toute abondance; car c’était une joie en Israël.