< 1 Nyakati 12 >

1 Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
Et voici ceux qui vinrent auprès de David à Tsiklag, pendant qu'il fuyait Saül, fils de Kish. Ils étaient parmi les hommes forts, ses aides dans la guerre.
2 Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
Ils étaient armés d'arcs et pouvaient se servir de la main droite et de la main gauche pour lancer des pierres et tirer des flèches de l'arc. Ils étaient de la famille de Saül, de la tribu de Benjamin.
3 Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
Le chef était Ahiézer, puis Joas, fils de Shemaa, le Gibéen; Jeziel et Pelet, fils d'Azmaveth; Beraca; Jéhu, l'Anathothite;
4 Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
Ismaeja, le Gibéonite, homme puissant parmi les trente et chef des trente; Jérémie; Jahaziel, Jochanan, Jozabad, de Guéderath,
5 Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
Eluzaï, Jerimoth, Bealia, Shemaria, Shephathia, d'Haruph,
6 Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
Elkana, Ischia, Azarel, Jœzer et Jashobeam, de Koré,
7 Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
Joéla et Zebadia, fils de Jerocham, de Guedor.
8 Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
Des Gadites se joignirent à David dans la forteresse du désert, hommes vaillants, entraînés à la guerre, sachant manier le bouclier et la lance; leur visage était semblable à celui des lions, et ils étaient aussi rapides que les gazelles sur les montagnes:
9 Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
Ezer, le chef, Abdias, le second, Éliab, le troisième,
10 Mishimana wanne, Yeremia watano,
Mischmanna, le quatrième, Jérémie, le cinquième,
11 Atai wasita, Elieli wasaba,
Attaï, le sixième, Éliel, le septième,
12 Yohana wanane, Elizabadi watisa,
Jochanan, le huitième, Elzabad, le neuvième,
13 Yeremia wakumi, Makibanai wakumi na moja.
Jérémie, le dixième, et Machbannaï, le onzième.
14 Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
Ceux-ci, parmi les fils de Gad, étaient chefs de l'armée. Le plus petit était égal à cent, et le plus grand à mille.
15 Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
Ce sont ceux qui passèrent le Jourdain au premier mois, quand il avait débordé sur toutes ses rives, et qui mirent en fuite tous les habitants des vallées, à l'est et à l'ouest.
16 Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
Quelques-uns des enfants de Benjamin et de Juda vinrent à la forteresse auprès de David.
17 Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
David alla au-devant d'eux et leur répondit: « Si vous êtes venus pacifiquement à moi pour m'aider, mon cœur s'unira à vous; mais si vous êtes venus pour me livrer à mes adversaires, puisqu'il n'y a pas de mal dans mes mains, que le Dieu de nos pères voie cela et le réprouve. »
18 Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
Alors l'Esprit vint sur Amasaï, qui était le chef des trente, et il dit: « Nous sommes à toi, David, et de ton côté, toi, fils de Jessé. Que la paix, la paix soit avec toi, et que la paix soit avec ceux qui te soutiennent, car ton Dieu te soutient. » Alors David les reçut et les nomma chefs de la troupe.
19 Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
Quelques-uns de Manassé se joignirent aussi à David lorsqu'il vint combattre avec les Philistins contre Saül, mais ils ne les aidèrent pas, car les chefs des Philistins le renvoyèrent après l'avoir consulté, en disant: « Il va déserter vers son maître Saül au péril de nos têtes. »
20 Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
Comme il allait à Ziklag, des gens de Manassé se joignirent à lui: Adna, Jozabad, Jediaël, Michel, Jozabad, Elihu et Zillethaï, chefs de milliers qui étaient de Manassé.
21 Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
Ils aidèrent David à combattre la bande de pillards, car ils étaient tous des hommes vaillants et des chefs de l'armée.
22 Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
Car de jour en jour, des hommes venaient à David pour l'aider, jusqu'à ce qu'il y ait une grande armée, comme l'armée de Dieu.
23 Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
Voici le nombre des têtes de ceux qui étaient armés pour la guerre et qui vinrent auprès de David à Hébron pour lui remettre le royaume de Saül, selon la parole de l'Éternel.
24 Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
Les fils de Juda qui portaient le bouclier et la lance étaient six mille huit cents, armés pour la guerre.
25 Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
Des fils de Siméon, hommes vaillants pour la guerre: sept mille cent.
26 Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
des fils de Lévi: quatre mille six cents.
27 Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
Jehojada était le chef de la maison d'Aaron; il avait avec lui trois mille sept cents hommes,
28 Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
Zadok, jeune homme vaillant, et vingt-deux chefs de la maison de son père.
29 Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
Des fils de Benjamin, parents de Saül: trois mille, car jusqu'alors, la plus grande partie d'entre eux avaient gardé leur allégeance à la maison de Saül.
30 Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
des fils d'Éphraïm: vingt mille huit cents, vaillants hommes, célèbres dans la maison de leurs pères.
31 Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
de la demi-tribu de Manassé: dix-huit mille, qui furent nommément désignés pour venir faire roi David.
32 Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
Des fils d'Issacar, hommes qui avaient l'intelligence des temps, pour savoir ce qu'Israël devait faire: leurs têtes étaient deux cents, et tous leurs frères étaient à leurs ordres.
33 Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
De Zabulon, ceux qui étaient capables d'aller à l'armée, qui pouvaient se mettre en ordre de bataille avec toutes sortes d'instruments de guerre: cinquante mille qui pouvaient commander et qui n'avaient pas le cœur double.
34 Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
De Nephtali: mille chefs, et avec eux, avec le bouclier et la lance, trente-sept mille.
35 Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
des Danites qui savaient se mettre en ordre de bataille: vingt-huit mille six cents.
36 Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
d'Aser, ceux qui étaient capables d'aller à l'armée et de se ranger en bataille: quarante mille.
37 Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
De l'autre côté du Jourdain, des Rubénites, des Gadites et de la demi-tribu de Manassé, avec toutes sortes d'instruments de guerre pour le combat: cent vingt mille.
38 Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
Tous ceux-là étaient des hommes de guerre capables d'ordonner le dispositif de combat, et ils vinrent à Hébron avec un cœur parfait pour faire de David le roi de tout Israël; et tout le reste d'Israël était aussi d'un même cœur pour faire de David le roi.
39 Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
Ils restèrent là trois jours avec David, mangeant et buvant, car leurs frères leur avaient fourni des provisions.
40 Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea
Ceux qui étaient près d'eux, jusqu'à Issacar, Zabulon et Nephtali, apportèrent du pain sur des ânes, des chameaux, des mulets et des bœufs, des provisions de farine, des gâteaux de figues, des grappes de raisins secs, du vin, de l'huile, du bétail et des moutons en abondance, car il y avait de la joie en Israël.

< 1 Nyakati 12 >