< 1 Nyakati 12 >

1 Hawa walikuwa wanaume walio kuja kwa Daudi huko Zikilagi, wakati akiwa bado amefukuzwa katika uwepo wa Sauli mwana wa Kishi. Walikuwa miongoni mwa wanajeshi, wasaidizi wake katika mapambano.
and these [the] to come (in): come to(wards) David to/for Ziklag still to restrain from face: before Saul son: child Kish and they(masc.) in/on/with mighty man to help [the] battle
2 Walikuwa wana upinde na waliweza kutumia mkono wa kuume na wakushoto kurusha mawe na manati na kupiga mishale kutoka kwenye upinde. Walikuwa Wabenjamini, ndugu wa kabila moja na Sauli.
to handle bow to go right and to go left in/on/with stone and in/on/with arrow in/on/with bow from brother: male-relative Saul from Benjamin
3 Kiongozi alikuwa Ahi Eza, halafu Yoashi, Wana wote wa Shemaa Mgibeathi. Kulikuwa na Yezieli na Peleti, wana wa Azimavethi. Kulikuwa pia na Beraka, Yehu Waanathothi,
[the] head: leader Ahiezer and Joash son: child [the] Shemaah [the] Gibeathite (and Jeziel *Q(K)*) and Pelet son: child Azmaveth and Beracah and Jehu [the] Anathoth
4 Ishimaia Mgibeoni, mwanajeshi kati ya wale thelathini ( na kiongozi wa wale thelathini); Yeremia, Yahazieli, Yohana, Yozabadi Wagederathi,
and Ishmaiah [the] Gibeonite mighty man in/on/with thirty and upon [the] thirty and Jeremiah and Jahaziel and Johanan and Jozabad [the] Gederathite
5 Eluzai, Yerimothi, Bealia, Shemaria, Shefatia Waharufi,
Eluzai and Jerimoth and Bealiah and Shemariah and Shephatiah ([the] Haruphite *Q(K)*)
6 Wakorahi ni Elkana, Ishia, Azareli, Yoeza, Yashobeamu, na
Elkanah and Isshiah and Azarel and Joezer and Jashobeam [the] Korahite
7 Yoela na Zebadia, wana wa Yeroham wa Gedori.
and Joelah and Zebadiah son: child Jeroham from [the] Gedor
8 Baadhi ya Wagadi walijiunga na Daudi katika ngome iliyo nyikani. Walikuwa wanaume wapiganaji, waliofundishwa kwa mapambano, walioweza kumudu ngao na mkuki; ambao nyuso zao zilikuwa kali kama za simba. Walikuwa wepesi kwenye milima kama swala.
and from [the] Gad to separate to(wards) David to/for stronghold wilderness [to] mighty man [the] strength human army: war to/for battle to arrange shield and spear and face lion face their and like/as gazelle upon [the] mountain: mount to/for to hasten
9 Kulikuwa na Eza kiongozi, Obadia wapili, Eliabu watatu,
Ezer [the] head: leader Obadiah [the] second Eliab [the] third
10 Mishimana wanne, Yeremia watano,
Mishmannah [the] fourth Jeremiah [the] fifth
11 Atai wasita, Elieli wasaba,
Attai [the] sixth Eliel [the] seventh
12 Yohana wanane, Elizabadi watisa,
Johanan [the] eighth Elzabad [the] ninth
13 Yeremia wakumi, Makibanai wakumi na moja.
Jeremiah [the] tenth Machbannai eleven ten
14 Wana wa Gadi walikuwa viongozi wa jeshi. Wamwisho aliongoza mia moja, na mkubwa aliongoza elfu moja.
these from son: descendant/people Gad head: leader [the] army one to/for hundred [the] small and [the] great: large to/for thousand
15 Walikatisha Yordani kwa mwezi wa kwanza, wakati vijito vyake vilipofurika, na kuwafukuza wote wanaoishi katika mabonde, pande zote za mashariki na magharibi.
these they(masc.) which to pass [obj] [the] Jordan in/on/with month [the] first and he/she/it to fill upon all (bank his *Q(K)*) and to flee [obj] all [the] valley to/for east and to/for west
16 Baadhi ya wanaume wa Benjamini na Yuda walikuja kwenye ngome kwa Daudi.
and to come (in): come from son: descendant/people Benjamin and Judah till to/for stronghold to/for David
17 Daudi alienda nje kuwasalimu na kuwahutubia: “kama mmekuja kwa amani kunisaidia, mnaweza kujiunga nami. Lakini kama mmekuja kunisaliti kwa maadui zangu, Ee Mungu wa mababu zetu awaone na kuwakemea, tangu sijafanya kosa.”
and to come out: come David to/for face: before their and to answer and to say to/for them if to/for peace: friendship to come (in): come to(wards) me to/for to help me to be to/for me upon you heart to/for unitedness and if to/for to deceive me to/for enemy my in/on/with not violence in/on/with palm my to see: see God father our and to rebuke
18 Kisha roho ikaja juu ya Amasai, ambaye alikuwa kiongozi wa wale thelathini. Amasai alisema, “Sisi ni wako, Daudi. Sisi tupo upande wako, mwana wa Yesse. na amani iwe juu ya yeyote atakaye kusaidia. Kuwa Mungu wako anakusaidia.” Kisha Daudi akawapokea na kuwafanya wakuu wa watu wake.
and spirit to clothe [obj] Amasai head: leader ([the] officer *Q(K)*) to/for you David and with you son: child Jesse peace peace to/for you and peace to/for to help you for to help you God your and to receive them David and to give: put them in/on/with head: leader [the] band
19 Baadhi kutoka kwa Manase pia wakamwendea Daudi alipokuja na Wafilisti dhidi ya Sauli katika pambano. Lakini hawakuwasaidia Wafilisti kwasababu mabwana wa Wafilisti walishauriana na wakamfukuza Daudi. Walisema, “Atamwendea Bwana wake Sauli na kuhatarisha maisha yetu.”
and from Manasseh to fall: deserting upon David in/on/with to come (in): come he with Philistine upon Saul to/for battle and not to help them for in/on/with counsel to send: depart him lord Philistine to/for to say in/on/with head our to fall: deserting to(wards) lord his Saul
20 Alipokwenda kwa Zikilagi, wanaume wa Manase walioungana nae walikuwa Adina, Yozabadi, Yediaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu wa Manase.
in/on/with to go: went he to(wards) Ziklag to fall: deserting upon him from Manasseh Adnah and Jozabad and Jediael and Michael and Jozabad and Elihu and Zillethai head: leader [the] thousand which to/for Manasseh
21 Walimsaidia Daudi kupigana na kikundi cha wezi, maana walikuwa wanaume wa mapambano. Baadae walikuwa wakuu katika jeshi.
and they(masc.) to help with David upon [the] band for mighty man strength all their and to be ruler in/on/with army
22 Siku hadi siku, wanaume walikuja kwa Daudi kumsaidia, mpaka wakawa jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.
for to/for time day: daily in/on/with day: daily to come (in): come upon David to/for to help him till to/for camp great: large like/as camp God
23 Hii ni kumbukumbu ya wanajeshi wa vita, walio kuja kwa Daudi Hebroni, kuupindua ufalme wa Sauli kwake, ilikutimiza neno la Yahweh.
and these number head: group [the] to arm to/for army to come (in): come upon David Hebron [to] to/for to turn: turn royalty Saul to(wards) him like/as lip: word LORD
24 Kutoka Yuda walio beba ngao na mkuki ni 6, 800, tayari kwa vita.
son: descendant/people Judah to lift: bear shield and spear six thousand and eight hundred to arm army
25 Kutoka kwa Wasimeoni walikuwa 7, 100 wanaume wa mapambano.
from son: descendant/people Simeon mighty man strength to/for army: war seven thousand and hundred
26 Kutoka kwa Walawi kulikuwa na wanaume wa mapambano 4, 600.
from son: descendant/people [the] Levi four thousand and six hundred
27 Yehoiada alikuwa kiongozi wa uzao wa Aruni, na kwa yeye walikuwa 3, 700.
and Jehoiada [the] leader to/for Aaron and with him three thousand and seven hundred
28 Kwa Zadoki, kijana, mwenye nguvu, na mjasiri, walikuwa viongozi ishirini na mbili kwa familia ya baba yake.
and Zadok youth mighty man strength and house: household father his ruler twenty and two
29 Kutoka kwa Benjamini, kabila la Sauli, walikuwa elfu tatu. Wengi wao walibaki waaminifu kwa Sauli mpaka muda huu.
and from son: descendant/people Benjamin brother: male-relative Saul three thousand and till here/thus greatness their to keep: obey charge house: household Saul
30 Kutoka kwa Waefraimu palikuwa na wanume wa mapambano 20, 800, wanaume maharufu kwenye familia za baba zao.
and from son: descendant/people Ephraim twenty thousand and eight hundred mighty man strength human name to/for house: household father their
31 Kutoka kabila nusu la Manase palikuwa na wanaume elfu kumi na nane maharufu walio kuja kufanya Daudi mfalme.
and from half tribe Manasseh eight ten thousand which to pierce in/on/with name to/for to come (in): come to/for to reign [obj] David
32 Kutoka kwa Isakari, palikuwa na viongozi mia mbili walio kuwa na ufahamu wa nyakati na walijua nini Israeli ya paswa kufanya. Ndugu zao wote walikuwa chini ya amri yao.
and from son: descendant/people Issachar to know understanding to/for time to/for to know what? to make: do Israel head: leader their hundred and all brother: male-relative their upon lip: word their
33 Kutoka Zebuloni palikuwa na wanaume elfu hamsini wa mapambano, tayari kwa vita, na silaha zote za vita, na tayari kutoa uwaminifu usio pungua.
from Zebulun to come out: regular army: war to arrange battle in/on/with all article/utensil battle fifty thousand and to/for to help in/on/with not heart and heart
34 Kutoka kwa Naftali palikuwa na askari elfu moja, na pamoja nao wanaume elfu thelathini na saba wenye ngao na mikuki.
and from Naphtali ruler thousand and with them in/on/with shield and spear thirty and seven thousand
35 Kutoka kwa Wadani palikuwa na wanaume 28, 600 wameandaliwa kwa ajili ya pambano.
and from [the] Danite to arrange battle twenty and eight thousand and six hundred
36 Kutoka kwa Asheri palikuwa na wanaume elfu arobaini wameandaliwa kwa pambano.
and from Asher to come out: regular army: war to/for to arrange battle forty thousand
37 Kutoka upande wa pili wa Yordani, kutoka kwa Warubeni, Wagadi, na nusu kabila la Manase, palikuwa na wanaume 120, 000 wameandaliwa na silaha za kila namna kwa ajili ya pambano.
and from side: beyond to/for Jordan from [the] Reubenite and [the] Gad and half tribe: staff Manasseh in/on/with all article/utensil army: war battle hundred and twenty thousand
38 Wanajeshi hawa wote, waliandaliwa kwa pambano, kuja Hebroni kwa dhumuni maalumu la kumfanya Daudi mfalme wa Israeli yote. Israeli yote ilikubaliana na kumfanya Daudi mfalme.
all these human battle to help rank in/on/with heart complete to come (in): come Hebron [to] to/for to reign [obj] David upon all Israel and also all remnant Israel heart one to/for to reign [obj] David
39 Walikuwa na Daudi siku tatu, kula na kunywa, kwa kuwa ndugu zao waliwapa mahitaji ya kwenda nayo.
and to be there with David day three to eat and to drink for to establish: prepare to/for them brother: male-sibling their
40 Kwa kuongezea, wao walio kuwa karibu nao, kwa umbali wa Isakari na Zebuloni na Naftali, walileta mkate kwa punda, ngamia, ng'ombe, na keki, mvinyo, mafuta, ng'ombe, na kondoo, kwa kuwa Israeli walikuwa wana sherehekea
and also [the] near to(wards) them till Issachar and Zebulun and Naphtali to come (in): come food in/on/with donkey and in/on/with camel and in/on/with mule and in/on/with cattle food flour fig cake and cluster and wine and oil and cattle and flock to/for abundance for joy in/on/with Israel

< 1 Nyakati 12 >