< 1 Nyakati 11 >
1 Kisha Waisraeli wote walikuja Hebroni kwa Daudi na kusema, “Angalia, sisi ni nyama na mifupa yako.
以色列眾人聚集到希伯崙見大衛,說:「我們原是你的骨肉。
2 Katika wakati uliopita, Sauli alipoo kuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliye ongoza jeshi la Israeli. Yahweh Mungu wako alisema kwako, 'utawachunga watu wangu wa Isaraeli, na utakuwa mtawala wa watu wangu wa Israeli”'.
從前掃羅作王的時候,率領以色列人出入的是你;耶和華-你的上帝也曾應許你說:『你必牧養我的民以色列,作以色列的君。』」
3 Kwaiyo wazee wote wa Israeli wakamjia mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao mbele ya Yahweh. Wakampaka mafuta Daudi kuwa mfalme wa Israeli. Kwa namna hii, neno la Yahweh lilo nenwa na Samweli likawa kweli.
於是以色列的長老都來到希伯崙見大衛王。大衛在希伯崙耶和華面前與他們立約,他們就膏大衛作以色列的王,是照耶和華藉撒母耳所說的話。
4 Daudi na Israeli yote wakaenda Yerusalemu (yani, Yebusi). Sasa Wayebusi, wakazi wa nchi, walikuwa pale.
大衛和以色列眾人到了耶路撒冷,就是耶布斯;那時耶布斯人住在那裏。
5 Wakazi wa yebusi wakamwabia Daudi, “Hautakuja humu.” Lakini Daudi alichukuwa ngome ya Sayuni, mji wa Daudi.
耶布斯人對大衛說:「你決不能進這地方。」然而大衛攻取錫安的保障,就是大衛的城。
6 Daudi alisema, “Yeyote atakaye washambulia Wayebusi wa kwanza atakuwa mkuu wa jeshi” kwaiyo Yoabu mwana wa Zeruia akashambulia wa kwanza, hivyo akafanywa mkuu wa jeshi.
大衛說:「誰先攻打耶布斯人,必作首領元帥。」洗魯雅的兒子約押先上去,就作了元帥。
7 Daudi akaanza kuishi katika hiyo ngome. Kwaiyo wakaiita mji wa Daudi.
大衛住在保障裏,所以那保障叫作大衛城。
8 Akaimarisha mji kutoka Milo na hadi mpaka ukuta unao zunguka. Yoabu akaimairisha mji wote uliyo baki.
大衛又從米羅起,四圍建築城牆,其餘的是約押修理。
9 Daudi akawa mkuu na mkuu kwa sababu Yahweh wa Majeshi alikuwa naye.
大衛日見強盛,因為萬軍之耶和華與他同在。
10 Hawa walikuwa viongozi Daudi aliyo kuwa nao, waliyo jionyesha imara katika ufalme wake, pamoja na Israeli, kumfanya mfalme, kutii neno la Yahweh kuhusu Israeli.
以下記錄跟隨大衛勇士的首領,就是奮勇幫助他得國、照着耶和華吩咐以色列人的話、與以色列人一同立他作王的。
11 Hii ni orodha ya wanajeshi shupavu wa Daudi. Yashobeami, mwana wa Mhakimoni, alikuwa mkuu wa kikosi cha thelathini. Aliwaua wanaume mia tatu na mkuki wake katika sehemu moja.
大衛勇士的數目記在下面:哈革摩尼的兒子雅朔班,他是軍長的統領,一時舉槍殺了三百人。
12 Baada ya yeye alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mahohi, aliyekuwa mmoja wa wanaume watatu hodari.
其次是亞合人朵多的兒子以利亞撒,他是三個勇士裏的一個。
13 Alikuwa na Daudi huko Pasidamimu, na pale Wafilisti wakakusanyika pamoja kwa mapambano, ambapo palikuwa na uwanja wa ngano na jeshi liliwakimbia Wafilisti.
他從前與大衛在巴斯‧達閔,非利士人聚集要打仗。那裏有一塊長滿大麥的田,眾民就在非利士人面前逃跑;
14 Walisimama katikati ya uwanja. Wakautetea na kuwakata Wafilisti na Yahweh akawaokoa na ushindi mkubwa.
這勇士便站在那田間擊殺非利士人,救護了那田。耶和華使以色列人大獲全勝。
15 Kisha watatu wa viongozi thelathini wakashuka chini kwenye mwamba wa Daudi, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti walieka kambi katika bonde la Refaim.
三十個勇士中的三個人下到磐石那裏,進了亞杜蘭洞見大衛;非利士的軍隊在利乏音谷安營。
16 Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu.
那時大衛在山寨,非利士人的防營在伯利恆。
17 Daudi alikuwa na kiu ya maji na akasema, “Laiti mtu akanipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho Bethilehemu, kisima kilicho pembeni mwa lango!”
大衛渴想,說:「甚願有人將伯利恆城門旁井裏的水打來給我喝!」
18 Hawa wanaume hodari watatu wakatoboa kupita jeshi la Wafilisti na kuchota maji kwenye kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango. Wakachukuwa maji na kumletea Daudi, lakini alikataa kunywa. Badala yake, akamwaga chini kwa Yahweh.
這三個勇士就闖過非利士人的營盤,從伯利恆城門旁的井裏打水,拿來奉給大衛。他卻不肯喝,將水奠在耶和華面前,
19 Kisha akasema, “Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji. Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao?” Kwa sababu wameeka maisha ya hatarini, akakataa kunywa. Haya ni mambo wanaume hodari watatu walio fanya.
說:「我的上帝啊,這三個人冒死去打水,這水好像他們的血一般,我斷不敢喝!」如此,大衛不肯喝。這是三個勇士所做的事。
20 Abishai kaka wa Yoabu, alikuwa kiongozi wa watatu. Alitumia mkuki wake dhidi ya watu mia tatu na kuwaua. Ametajwa pamoja na wale watatu.
約押的兄弟亞比篩是這三個勇士的首領;他舉槍殺了三百人,就在三個勇士裏得了名。
21 Kati ya wale watatu, yeye alipewa heshima mara mbili na akawa kiongozi wao. Japo hakuwa mmoja wa miongoni mwao.
他在這三個勇士裏是最尊貴的,所以作他們的首領;只是不及前三個勇士。
22 Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwanaume mwenye nguvu aliye fanya mambo makuu. Aliua wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka chini ya shimo na kumuua simba wakati theluji ikianguka.
有甲薛勇士耶何耶大的兒子比拿雅行過大能的事:他殺了摩押人亞利伊勒的兩個兒子,又在下雪的時候下坑裏去殺了一個獅子,
23 Alimua hadi Mmisri, mwanaume mwenye mita mbili na theluthi moja. Mmisri alikuwa na mkuki kama gongo la mshonaji, lakini alimfuata chini na fimbo tu. Akakamata mkuki katika mkono wa Mmisri na kumuua na mkuki wake.
又殺了一個埃及人。埃及人身高五肘,手裏拿着槍,槍桿粗如織布的機軸;比拿雅只拿着棍子下去,從埃及人手裏奪過槍來,用那槍將他刺死。
24 Benaia mwana wa Yehoiada alifanya haya matukio, na akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu.
這是耶何耶大的兒子比拿雅所行的事,就在三個勇士裏得了名。
25 Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari. Daudi alimueka kiongozi wa walinzi wake.
他比那三十個勇士都尊貴,只是不及前三個勇士。大衛立他作護衛長。
26 Wanaume hodari walikuwa Asaheli kaka wa Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethilehemu,
軍中的勇士有約押的兄弟亞撒黑,伯利恆人朵多的兒子伊勒哈難,
27 Shamothi Mherori, Helezi Mpeloni,
哈律人沙瑪,比倫人希利斯,
28 Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abi Eza Manathothi,
提哥亞人益吉的兒子以拉,亞拿突人亞比以謝,
29 Sibekai Mhushathite, Ilai Mahohite,
戶沙人西比該,亞合人以來,
30 Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathite,
尼陀法人瑪哈萊,尼陀法人巴拿的兒子希立,
31 Itai mwana wa Ribai wa Gibea uzao wa Benjamini, Benaia Mpirathoni,
便雅憫族基比亞人利拜的兒子以太,比拉頓人比拿雅,
32 Hurai wa mabonde ya Gaashi, Abieli Marbathi,
迦實溪人戶萊,亞拉巴人亞比,
33 Azmavethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
巴路米人押斯瑪弗,沙本人以利雅哈巴,
34 Mwana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani mwana wa Shagee Mhararite,
基孫人哈深的眾子,哈拉人沙基的兒子約拿單,
35 Ahiamu mwana wa Sacari Mhararite, Elifali mwana wa Uri,
哈拉人沙甲的兒子亞希暗,吾珥的兒子以利法勒,
36 Hefa Mmekarathi, Ahija Mpeloni,
米基拉人希弗,比倫人亞希雅,
37 Hezro Mcarmeli, Maarai mwana wa Ezibai,
迦密人希斯羅,伊斯拜的兒子拿萊,
38 Yoeli kaka wa Nathani, Mibhari mwana wa Hagiri,
拿單的兄弟約珥,哈基利的兒子彌伯哈,
39 Zeleki Mamoni, Naharai Mberothi ( mbeba ngao ya Yoabu mwana wa Zeruia),
亞捫人洗勒,比錄人拿哈萊(拿哈萊是給洗魯雅的兒子約押拿兵器的),
40 Ira Mithire, Garebu Mithire,
以帖人以拉,以帖人迦立,
41 Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Ahlai,
赫人烏利亞,亞萊的兒子撒拔,
42 Adina mwana wa Shiza Mreubeni ( kiongozi wa Wareubeni) na thelathini pamoja nae,
呂便人示撒的兒子亞第拿(他是呂便支派中的一個族長,率領三十人),
43 Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithini,
瑪迦的兒子哈難,彌特尼人約沙法,
44 Uzia Mashiterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Waaroeri,
亞施他拉人烏西亞,亞羅珥人何坦的兒子沙瑪、耶利,
45 Jediaeli mwana wa Shimri, Joha ( kaka yake Mtize),
提洗人申利的兒子耶疊和他的兄弟約哈,
46 Elieli Mmahavi, Yeribai na Yoshavia mwana wa Elnaamu, Ithima Mmoabi,
瑪哈未人以利業,伊利拿安的兒子耶利拜、約沙未雅,摩押人伊特瑪、
47 Elieli, Obedi, na Yaasieli Wamezobai.
以利業、俄備得,並米瑣八人雅西業。