< 1 Nyakati 10 >
1 Wafilisti wakapigana dhidi ya Israeli. Kila mwanaume wa Israeli alikimbia Wafilisti na kuanguka na kufa katika Mlima Giliboa.
Les Philistins ayant livré bataille à Israël, les hommes d’Israël prirent la fuite devant les Philistins, et tombèrent blessés à mort sur la montagne de Gelboé.
2 Wafilisti waliwakimbiza Sauli na mwanae. Waflisti walimuua Yonathani, Abinadabu, na Malichishua, wana wake.
Les Philistins s’attachèrent à poursuivre Saül et ses fils, et les Philistins tuèrent Jonathas, Abinadab et Melchisua, fils de Saül.
3 Pambano lilikuwa zito kwa Sauli, na wapiga mishale wakamshambulia. Alipatwa na maumivu makali sababu ya wapiga mishale.
L’effort du combat se porta sur Saül; les archers l’ayant découvert, il eut grandement peur des archers.
4 Kisha Sauli akasema kwa mbeba ngao wake, “Vuta upanga wako na unichome nao. Lasihivyo, hawa wasio tahiriwa watukuja na kunitesa”. Lakini mbeba ngao wake hakutaka, kwa kuwa aliogopa sana. Kwa hiyo Sauli akachukuwa upanga wake na kuuangukia.
Alors Saül dit à son écuyer: « Tire ton épée et m’en transperce, de peur que ces incirconcis ne viennent m’outrager. » L’écuyer ne le voulut pas faire, car il était saisi de crainte; alors Saül prit son épée et se jeta dessus.
5 Mbeba ngao alivyoona kuwa Sauli amekufa, naye akaangukia upanga wake na kufa.
L’écuyer, voyant que Saül était mort, se jeta aussi sur son épée, et mourut.
6 Kwaiyo Sauli akafa, na wana wake watatu, wote wa nyumba yake wakafa pamoja.
Ainsi périrent Saül et ses trois fils, et toute sa maison périt en même temps.
7 Kila mwanaume wa Israeli katika bonde alivyoona kuwa wamekimbia, na Sauli na wana wake wamekufa, walitelekeza miji yao na kukimbia. Kisha Wafilisti wakaja na kuishi humo.
Tous les hommes d’Israël qui étaient dans la plaine, voyant que les enfants d’Israël s’étaient enfuis, et que Saül et ses fils étaient morts, abandonnèrent leurs villes et prirent aussi la fuite; et les Philistins vinrent et s’y établirent.
8 Ikawa siku inayofuata, Wafilisti walipo kuja kukagua wafu, walimkuta Sauli na wana wake wameanguka katika Mlima Giliboa.
Le lendemain, les Philistins vinrent pour dépouiller les morts, et ils trouvèrent Saül et ses fils gisant sur la montagne de Gelboé.
9 Wakamvua nguo zote na kuchukuwa kichwa chake na ngao yake. Wakatuma wajumbe wapeleke habari Filistia yote kwa miungu yao na watu wote.
L’ayant dépouillé, ils emportèrent sa tête et ses armes; puis ils envoyèrent publier cette bonne nouvelle par tout le pays des Philistins, devant leurs idoles et le peuple.
10 Ngao yake wakaeka ndani ya hekalu la miungu yao, na kichwa chake waka kining'iniza katika hekalu la Dagoni.
Ils mirent les armes de Saül dans la maison de leur dieu, et ils attachèrent son crâne dans le temple de Dagon.
11 Yabeshi Gileadi yote ilipo sikia Wafilisti waliyo mtendea Sauli,
Tout Jabès en Galaad ayant appris tout ce que les Philistins avaient fait à Saül,
12 wanaume wote wa vita wakaenda na kuchukuwa mwili wa Sauli na hiyo ya wanae, na kuirejesha Yabeshi. Walizika mifupa yao chini ya mti huko Yabeshi na wakafunga siku saba.
tous les vaillants hommes se levèrent, prirent le corps de Saül et les corps de ses fils, et les transportèrent à Jabès. Ils enterrèrent leurs os sous le térébinthe, à Jabès, et ils jeûnèrent sept jours.
13 Kwaiyo Sauli akafa kwa kuwa hakuwa mwaminifu kwa Yahweh. Hakutii maelekezo ya Yahweh, lakini akauliza ushauri kwa mtu anaye ongea na wafu.
Saül mourut à cause de la transgression dont il s’était rendu coupable envers Yahweh, parce qu’il n’avait pas observé la parole de Yahweh, et pour avoir interrogé et consulté ceux qui évoquent les morts.
14 Hakutafuta mwongozo kwa Yahweh, hivyo Yahweh akamua na kupindua ufalme kwa Daudi mwana wa Yese.
Il ne consulta pas Yahweh, et Yahweh le fit mourir, et il transféra la royauté à David, fils d’Isaï.