< 1 Nyakati 10 >

1 Wafilisti wakapigana dhidi ya Israeli. Kila mwanaume wa Israeli alikimbia Wafilisti na kuanguka na kufa katika Mlima Giliboa.
Les Philistins firent la guerre à Israël; les hommes d'Israël s'enfuirent devant les Philistins, et tombèrent morts sur la montagne de Guilboa.
2 Wafilisti waliwakimbiza Sauli na mwanae. Waflisti walimuua Yonathani, Abinadabu, na Malichishua, wana wake.
Les Philistins poursuivirent Saül et ses fils, et ils tuèrent Jonathan, Abinadab et Malkischua, fils de Saül.
3 Pambano lilikuwa zito kwa Sauli, na wapiga mishale wakamshambulia. Alipatwa na maumivu makali sababu ya wapiga mishale.
La bataille s'acharna sur Saül, et les archers l'atteignirent; il fut troublé par les archers.
4 Kisha Sauli akasema kwa mbeba ngao wake, “Vuta upanga wako na unichome nao. Lasihivyo, hawa wasio tahiriwa watukuja na kunitesa”. Lakini mbeba ngao wake hakutaka, kwa kuwa aliogopa sana. Kwa hiyo Sauli akachukuwa upanga wake na kuuangukia.
Alors Saül dit à celui qui portait son armure: « Tire ton épée, et transperce-moi avec, de peur que ces incirconcis ne viennent me maltraiter. » Mais son porteur d'armure ne voulait pas, car il était terrifié. Alors Saül prit son épée et s'y jeta.
5 Mbeba ngao alivyoona kuwa Sauli amekufa, naye akaangukia upanga wake na kufa.
Lorsque le porteur de la cuirasse vit que Saül était mort, il tomba aussi sur son épée et mourut.
6 Kwaiyo Sauli akafa, na wana wake watatu, wote wa nyumba yake wakafa pamoja.
Saül mourut avec ses trois fils, et toute sa maison mourut ensemble.
7 Kila mwanaume wa Israeli katika bonde alivyoona kuwa wamekimbia, na Sauli na wana wake wamekufa, walitelekeza miji yao na kukimbia. Kisha Wafilisti wakaja na kuishi humo.
Lorsque tous les hommes d'Israël qui étaient dans la vallée virent qu'ils s'enfuyaient et que Saül et ses fils étaient morts, ils abandonnèrent leurs villes et s'enfuirent, et les Philistins vinrent s'y installer.
8 Ikawa siku inayofuata, Wafilisti walipo kuja kukagua wafu, walimkuta Sauli na wana wake wameanguka katika Mlima Giliboa.
Le lendemain, lorsque les Philistins vinrent dépouiller les morts, ils trouvèrent Saül et ses fils tombés sur la montagne de Gilboa.
9 Wakamvua nguo zote na kuchukuwa kichwa chake na ngao yake. Wakatuma wajumbe wapeleke habari Filistia yote kwa miungu yao na watu wote.
Ils le dépouillèrent, prirent sa tête et son armure, puis envoyèrent dans le pays des Philistins tout autour porter la nouvelle à leurs idoles et au peuple.
10 Ngao yake wakaeka ndani ya hekalu la miungu yao, na kichwa chake waka kining'iniza katika hekalu la Dagoni.
Ils mirent son armure dans la maison de leurs dieux, et fixèrent sa tête dans la maison de Dagon.
11 Yabeshi Gileadi yote ilipo sikia Wafilisti waliyo mtendea Sauli,
Lorsque tout Jabesh Galaad apprit tout ce que les Philistins avaient fait à Saül,
12 wanaume wote wa vita wakaenda na kuchukuwa mwili wa Sauli na hiyo ya wanae, na kuirejesha Yabeshi. Walizika mifupa yao chini ya mti huko Yabeshi na wakafunga siku saba.
tous les vaillants hommes se levèrent et emportèrent le corps de Saül et les corps de ses fils, les transportèrent à Jabesh, enterrèrent leurs os sous le chêne à Jabesh et jeûnèrent sept jours.
13 Kwaiyo Sauli akafa kwa kuwa hakuwa mwaminifu kwa Yahweh. Hakutii maelekezo ya Yahweh, lakini akauliza ushauri kwa mtu anaye ongea na wafu.
Saül mourut donc à cause de la faute qu'il avait commise contre l'Éternel, à cause de la parole de l'Éternel qu'il n'avait pas observée, et aussi parce qu'il avait demandé conseil à un esprit familier pour s'informer,
14 Hakutafuta mwongozo kwa Yahweh, hivyo Yahweh akamua na kupindua ufalme kwa Daudi mwana wa Yese.
et qu'il n'avait pas consulté l'Éternel. Il le fit donc mourir, et remit le royaume à David, fils de Jessé.

< 1 Nyakati 10 >