< 1 Nyakati 1 >

1 Adamu, Sethi, Enoshi,
Adán, Set, Enós,
2 Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
Cainán, Mahalaleel, Jared,
3 Henoko, Methusela, Lameki.
Enoc, Matusalén, Lamec,
4 Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
Noé, Sem, Cam, y Jafet.
5 Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
Los hijos de Jafet: Gomer, Magog, Madai, Javán, Tubal, Mesec, y Tiras.
6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
Los hijos de Gomer: Askenaz, Rifat, y Togarma.
7 Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
Los hijos de Javán: Elisa, Tarsis, Quitim, y Dodanim.
8 Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
Los hijos de Cam: Cus, Mizraim, Fut, y Canaán.
9 Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
Los hijos de Cus: Seba, Havila, Sabta, Raama, y Sabteca. Y los hijos de Raama: Seba y Dedán.
10 Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
Cus engendró a Nimrod; éste comenzó a ser poderoso en la tierra.
11 Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
Mizraim engendró a Ludim, Anamim, Lehabim, Naftuhim,
12 Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
Patrusim y Casluhim; de éstos salieron los filisteos, y los caftoreos.
13 Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
Canaán engendró a Sidón, su primogénito;
14 Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
y al heteo, y al jebuseo, y al amorreo, y al gergeseo;
15 Mhivi, Mwarki, Msini,
y al heveo, y al araceo, y al sineo;
16 Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
al arvadeo, y al zemareo, y al hamateo.
17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
Los hijos de Sem: Elam, Asur, Arfaxad, Lud, Aram, Uz, Hul, Geter, y Mesec.
18 Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
Arfaxad engendró a Sela, y Sela engendró a Heber.
19 Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
Y a Heber nacieron dos hijos; el nombre del uno fue Peleg, por cuanto en sus días fue dividida la tierra; y el nombre de su hermano fue Joctán.
20 Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Y Joctán engendró a Almodad, Selef, Hazarmavet, Jera,
21 Hadoramu, Uzali, Dikla,
Adoram, Uzal, Dicla,
22 Obali, Abimaeli, Sheba,
Ebal, Abimael, Seba,
23 Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
Ofir, Havila, y Jobab: todos hijos de Joctán.
24 Shemu, Arfaksadi, Sala,
Sem, Arfaxad, Sela,
25 Eberi, Pelegi, Reu,
Heber, Peleg, Reu,
26 Serugi, Nahori, Tera,
Serug, Nacor, Taré,
27 Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
y Abram, el cual es Abraham.
28 Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
Los hijos de Abraham: Isaac e Ismael.
29 Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
Y estas son sus descendencias: el primogénito de Ismael, Nebaiot; después Cedar, Adbeel, Mibsam,
30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
Misma, Duma, Massa, Hadad, Tema, Jetur, Nafis, y Cedema. Estos son los hijos de Ismael.
31 Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
Y Cetura, concubina de Abraham, dio a luz a Zimram, Jocsán, Medán, Madián, Isbac, y a Súa.
32 Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
Los hijos de Jocsán: Seba y Dedán.
33 Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
Los hijos de Madián: Efa, Efer, Hanoc, Abida, y Elda; todos estos fueron hijos de Cetura.
34 Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
Y Abraham engendró a Isaac; y los hijos de Isaac fueron Esaú e Israel.
35 Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
Los hijos de Esaú: Elifaz, Reuel, Jeús, Jaalam, y Coré.
36 Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
Los hijos de Elifaz: Temán, Omar, Zefo, Gatam, Cenaz, Timna, y Amalec.
37 Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
Los hijos de Reuel: Nahat, Zera, Sama, y Miza.
38 Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
Los hijos de Seir: Lotán, Sobal, Zibeón, Aná, Disón, Ezer, y Disán.
39 Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
Los hijos de Lotán: Hori, y Homam; y Timna fue hermana de Lotán.
40 Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
Los hijos de Sobal: Alván, Manahat, Ebal, Sefo y Onam. Los hijos de Zibeón: Aja, y Aná.
41 Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
Disón fue hijo de Aná. Los hijos de Disón: Amram, Esbán, Itrán y Querán.
42 Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
Los hijos de Ezer: Bilhán, Zaaván, y Jaacán. Los hijos de Disán: Uz y Arán.
43 Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
Y estos son los reyes que reinaron en la tierra de Edom, antes que reinase rey sobre los hijos de Israel. Bela, hijo de Beor; y el nombre de su ciudad fue Dinaba.
44 Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
Y muerto Bela, reinó en su lugar Jobab, hijo de Zera, de Bosra.
45 Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
Y muerto Jobab reinó en su lugar Husam, de la tierra de los temanitas.
46 Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
Muerto Husam, reinó en su lugar Hadad, hijo de Bedad, el cual hirió a Madián en la campaña de Moab; y el nombre de su ciudad fue Avit.
47 Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
Muerto Adad, reinó en su lugar Samla, de Masreca.
48 Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
Muerto también Samla, reinó en su lugar Saúl de Rehobot, que está junto al río.
49 Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
Y muerto Saúl, reinó en su lugar Baal-hanán, hijo de Acbor.
50 Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
Y muerto Baal-hanán, reinó en su lugar Hadad. El nombre de su ciudad fue Pai; y el nombre de su mujer Mehetabel, hija de Matred, y ésta hija de Mezaab.
51 Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
Muerto Hadad, sucedieron los duques en Edom; el duque Timna, el duque Alva, el duque Jetet,
52 Oholibama, Ela, Pinoni,
el duque Aholibama, el duque Ela, el duque Pinón,
53 Kenazi, Temani, Mibsari,
el duque Cenaz, el duque Temán, el duque Mibzar,
54 Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.
el duque Magdiel, y el duque Iram. Estos fueron los duques de Edom.

< 1 Nyakati 1 >